Mahakama yatupilia mbali Rufaa ya Odinga, yakubali Ruto ameshinda kihalali Urais wa Kenya, leo Jumatatu Septemba 5, 2022

#WakenyaTBT ya Raila Odinga akisherehekea nje ya Mahakama ya Juu ya Kenya baada ya kushinda kesi ya urais mwaka 2017.
 
George Wajackoyah akiwa na Ababu Namwamba katika Mahakama ya Juu ya Kenya.
 
Wanasheria na waangalizi kwa sasa wanasubiri Majaji wa Mahakama ya Juu.
Your browser is not able to display this video.
 
Tuwaombee hekima Wajaluo majibu yakija kinyume na matarajio yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…