Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,386
- 57,588
Kabisa. Mungu wa Ruto ni mkuu kwa kweli.Baba is gone!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa. Mungu wa Ruto ni mkuu kwa kweli.Baba is gone!
Kenyatta amekeep his promise kijanja sio kama Mzee wetu JK alivyomtupa msela wake wa damu Mamvi...Kenyatta na Ruto wamemchezea Raila mchezo wa Karata 3.
Nakumbuka maagano ya wapiganaji wa MAUMAU walisema Jaluo hatkuja kutawala Kenya kutokana na dhambi yao ya kuwa ma SNITCH wakati wa kumtoa MKOLONI.
Hivi Raila kwa akili yake alitehgemea Kikuyu wampigie kura?
Uamuzi unasemajeKila kitu kimetupwa. Raila get a rest and kubali kushindwa
Mungu Huwa anahusika na chaguzi ZETU KWELI!!?Kabisa. Mungu wa Ruto ni mkuu kwa kweli.
Ila wakenya kwa mother tongue nature. Jaji koome bana kataamka ballot (mbarrot) unabaki kushangaa tu WTF?!
Ruto the 5th
Huyu mama ni kiboko ya Uhuru.Huyu Madam Judge, kama anatabasamu ila ndo anakuua eti...pole Mzee Odinga, it is enough, kapumzike. In that age, katulie ule pensheni tu!
Mungu na aitunze amani