Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Wanawake na uvimilivu
Sijui Rebecca sasa ana umri gani sasa..... ndoa miaka 21 jumlisha umri wake kabla ya ndoa kama mpango bado ni kuwa na familia ndio anaenda kuanza maisha upya
 
Naunga hoja ..kwan lazima atumie kiungo chake?si kuna vitu vingine vingesapot .ila nao 21 yrs mnakuja achana ijumaa kuu leo? Wangemaliza uzee pamoja tu
Yaani, yawezekana hivyo vitu vingine ambavyo vingesapoti vimetumika, rejea 👇

"Mahakama imeamua kuvunja ndoa hiyo baada ya kutambua kuwa wanandoa hao wanatenda matendo ambayo si ya kindoandoa"
 
Basi JF navowajua hawataamini mpk wawekewe na ka picha[emoji16][emoji16]...
 
Wanawake na uvimilivu
Sijui Rebecca sasa ana umri gani sasa..... ndoa miaka 21 jumlisha umri wake kabla ya ndoa kama mpango bado ni kuwa na familiq ndio anaenda kuanza maisha upya
Atakuwa alimloga sio bure atakuwa alitumia ndumba kumpata na kumshikilia sio kitu cha kawaida hicho sasa hivi uchawi utakuwa umrisha nguvu ndipo mwanamke anajitambua

Alifugwa kama ndondocha huyo
 
Kwani binadamu tunatakiwa tuvumiliane muda gani Boss? 🤔

Inategemea kwenye issue gani ,kwenye issue hii ya Rebecca hapo hakuna uvumilivu maana zablon jogoo hapandi mtungi,zablon amefanya kosa kuoa huku akijua ana tatizo,hapo hakuna kuvumilia kwasababu tatizo la zablon ni kubwa ,kuna ya kuvumilia lakini sio kwenye "UCHAKATAJI" ,lengo la ndoa ni kuja kuijaza dunia sharti la kwanza lazima viungo vya uzazi kwa wote iwe vinafanya kazi swala la kupata mtoto au kukosa ni matokeo(yapo nje ya uwezo wetu).
 
Alikuona fala,alikuwa anasuguliwa kwingine huyo,yaani apate ujasiri wa kula na wewe anaoga halafu hupigi,dah we wa wapi jombaa
Nishawahi Pata mpenzi mlokole akaniambia ananipenda kweli ila hataki tushiriki hilo tendo

kwakua namimi nilimpenda kweli nikakubali tukapeana ahadi mpaka NDOA kweli mahusiano

yakaanza,siku - wiki - mwezi - miezi - mwaka tuna romance mashine inasimama ila ndio haina pa kwenda

mwaka wa 1 mwaka wa 2 nikapata mchepuko 1 Chance one Goal,huyo katekista wangu tukaachana

ndani ya miaka miwili no kwichikwichi, kitanda kimoja, bafu 1,tunaishi ka tuko beach nikifikiriaga ile kipindi

najiona kama nilikuaga SAMSONI flani hivi mwenye miguvu ya ajabu, katika watu mbinguni tusingekosa ni kipindi cha miaka ile miwili.

sema kuna wakati najionaga nilikuaga boya au niliwekewa limbwata?!! ila kwa yesu hamna limbwata sasa niliwezaje etiiiiiiii? bwana weee mi hata sishangai hao wapeana talaka

wengine tulikufa na kiu na angali tumezungukwa na maji ya kila aina pembeni ila vigezo na masharti ilibidi vizingatiwe.

Sina ujinga huo sasa hivi,kama ni mbingu na niikose eboooo
 
Mungu amsaidie jamaa asifanye jambo la kipuuzi maana kapoteza mke na aibu yake imeshawekwa wazi kwa kila mtu wake wa karibu.. Mungu amsimamie aseee

Na kwa mnaodhihaki wakati hamjaweka jitihada yoyote kuwa hivyo mlivyo. Ombeni
Mungu asiwakumbushe kuwa
"kabla hujafa, hujaumbika"...
 
Kupigwa mti ni haki ya mke, pasi na kupigwa miti si angebaki kwa wazazi wake, kwani alikuwa anakosa nini kqw wazazi wake? mwanamke anakwenda kwa mwanaume kwa misheni moja tu, kupigwa mashine, usipompa lazma akimbie.


sasa korodani ndio linafanya mapenzi au dushee?
Bila korodan dushe linasimama vp?
System nzima ya uzazi ya mwanaume (male reproductive system)lazima ihusike sio nusu nusu
 
Siamini kama dada aliweza kuhimili ashiki kwa miaka yote 21 ?
 
Asante
Vifuatavyo vyaweza kuwa sababu za msingi kwa mahakama kuvunja ndoa;
Uzinzi / adultery
Ukatili / cruelity
Kutelekeza / desertion
Sasa kwa hoja ya huyo mama kukosa haki yake ya ndoa ni ukatili kwakweli physical n mental.
Hivyo basi mahakama ilikuwa sahihi kuvunja ndoa hiyo.
Kifungu cha 144 cha sheria ya ndoa ya 1973 kinasema baada ya ndoa kuvunjika kinachofata ni mgawanyo wa mali (wababa hawakipendi hiki kifungu kweli)
Sasa katika mgawanyo wa mali mahakama huangalia vitu vifuatavyo;
-extent of contribution (kiswahili mnisaidie)
- mila za sehemu husika
-watoto kama wapo

Kuna kesi marufu ya Bi Hawa versus Iddi Seif ( wamama wanaipenda kweli)
Inasema ya kwamba kile kitendo cha mwanamke kufanya shughuli za nyumbani, kulea watoto na kumuhudumia mume kinatosha kabisa kupata mgao wa mali ya mumewe.
Japo kuna majaji wanakubaliana na hiyo hoja lakini kwa angalizo kwamba mgao usiwe hamsini kwa hamsini 50/50.

Pia nikosa kwa mwanamme kumnyima mkewe d*d* na ikithibitika anaweza kumuliwa kumlipa mkewe faini au ampe (au vyote kwa pamoja)
Pia ni kosa kwa mwanamke kumyima mmewe uch** ikithibitika atamriwa mpe (mwanamke hana option ya kulipa faini katika hili😂😂)
Nawasilisha
 
Watu wamefanyiwa operesheni wakaondolewa korodani moja,na wako ndoani na pia wana watoto.Itakua jamaa hakua nazo kabisa na mke anataka walau watoto,wakafikia walipofikia.
Haijafafanuliwa Vizuri. Kwani ukiwa na Korodani moja Mtwangio hautwangi?
Hawana Watoto?
Kama Mtwangio hautwangi, mama alikuwa anajipoza wapi?
Kwa hiyo walati wanatafuta Mali zote hizo walizojaliwa kuwa Nazi walikuwa wanaishia kulala kama MTU na Dada yake?

Mkuu, unaposema suala hili limemtia aibu. Gani?
Kwani ukizaliwa na kilema cha kuwa na mguu mmoja tu, no aibu? Gani?
Kwa mini mhusika aingir aibu kwa vile amezaliwa na korodani moja, as long as Mtwangio unatwamga kinu inavyotakiwa na Wazungu wanatoka, hata kama no kwa Ujazo was Korodani moja tu????[emoji52][emoji52]
 
Back
Top Bottom