YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Huo ni utapeli kwenyewekwanini alioa wakati hasukumi mashine? kajitakia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni utapeli kwenyewekwanini alioa wakati hasukumi mashine? kajitakia
Aaaah wap, hujawahi kuona mtu kafika na mkewe au mumewe wakiwa na miaka Miwili tu au tatu ya ndoa halafu baada ya hapo humuoni kaolewa au kuoa au kuwa na Mtu mwingine pembeni? Hujawahi ona?Inategemea kwenye issue gani ,kwenye issue hii ya Rebecca hapo hakuna uvumilivu maana zablon jogoo hapandi mtungi,zablon amefanya kosa kuoa huku akijua ana tatizo,hapo hakuna kuvumilia kwasababu tatizo la zablon ni kubwa ,kuna ya kuvumilia lakini sio kwenye "UCHAKATAJI" ,lengo la ndoa ni kuja kuijaza dunia sharti la kwanza lazima viungo vya uzazi kwa wote iwe vinafanya kazi swala la kupata mtoto au kukosa ni matokeo(yapo nje ya uwezo wetu).
kwanini alioa wakati hasukumi mashine? kajitakia
Kuna mdada aliolewa 1999 amezaa na mumewe watoto 4...mume ni prof ..kifup huyo dada kapewa room Moja kwa nyumba walojenga ya kupangisha na kiwanja kimoja na 2m...aisee nilibak nashangaa ..lakin Mungu alivyo mwema yule dada sasa hv ana hela sana..amesimamia mishe zake sasa hv anaishi vizuri mnoo..mumewe kila siku namuona anahangaika na mamichemsho ya buku ya kongoroMgao unaangalia vigezo vingi, ikiwepo kiasi cha mchango ktk upatikanaji wa mali n.k wala si mateso uliyopata mtu ndoani...
Kuna mdada aliolewa 1999 amezaa na mumewe watoto 4...mume ni prof ..kifup huyo dada kapewa room Moja kwa nyumba walojenga ya kupangisha na kiwanja kimoja na 2m...aisee nilibak nashangaa ..lakin Mungu alivyo mwema yule dada sasa hv ana hela sana..amesimamia mishe zake sasa hv anaishi vizuri mnoo..mumewe kila siku namuona anahangaika na mamichemsho ya buku ya kongoro
Mnielemishe. Korodani ndiyo nini?.
Ah huyo lazima alikua ana ntu wakeWana wake mna pitia mengi! Na mna mengi pia!
Miaka 21 njia ya huyo mke inakuwa haijaziba kweli embu wana wake tuambieni ukweli ?
Ikiwa ni hivyo unadhani kwanini wamekaa 18 yrs bila tendo hilo ?!Kazi ya korodani ni kubeba begu tu mjomba
ya kutoridhika na mgao wa mali mawakili wa kutetea wanawake na wa haki za binadamu kesi hiyo tafadhali .Msaidieni apate mgao mkubwa walau asilimia 75 minimumKesi ipi?
Ndugu yangu kwa kipindi kile nilikua wamoto kiroho yani ukija hata wewe nakutoa mapepoAlikuona fala,alikuwa anasuguliwa kwingine huyo,yaani apate ujasiri wa kula na wewe anaoga halafu hupigi,dah we wa wapi jombaa
Inategemea Nani kaenda kuomba talaka mahakamani huyo atahesabika Kama chanzo Cha ndoa kuvunjikaHata mimi nashangaa. Huyo mwanamke akili hana kwa mateso aliyopata miaka yote robo tatu ya mali alitakiwa achukue
Mkuu Mali za pamoja ndio hugawanywa nusu nusu isipokuwa Mali binafi let say mnanyumba mbili za pamoja alafu mume ananyumba yake moja (hati inasoma jina lake) mume atapewa nyumba moja Kati ya mbili walizojenga pamoja pia atachukua na nyumba yenye hati yake ya umiliki maana kuwa kwenye ndoa hakukuzuii kutafuta Mali binafiAsante
Hahahahahah mkuu nimecheka sana kumbe haya mambo yapoNishawahi Pata mpenzi mlokole akaniambia ananipenda kweli ila hataki tushiriki hilo tendo
kwakua namimi nilimpenda kweli nikakubali tukapeana ahadi mpaka NDOA kweli mahusiano
yakaanza,siku - wiki - mwezi - miezi - mwaka tuna romance mashine inasimama ila ndio haina pa kwenda
mwaka wa 1 mwaka wa 2 nikapata mchepuko 1 Chance one Goal,huyo katekista wangu tukaachana
ndani ya miaka miwili no kwichikwichi, kitanda kimoja, bafu 1,tunaishi ka tuko beach nikifikiriaga ile kipindi
najiona kama nilikuaga SAMSONI flani hivi mwenye miguvu ya ajabu, katika watu mbinguni tusingekosa ni kipindi cha miaka ile miwili.
sema kuna wakati najionaga nilikuaga boya au niliwekewa limbwata?!! ila kwa yesu hamna limbwata sasa niliwezaje etiiiiiiii? bwana weee mi hata sishangai hao wapeana talaka
wengine tulikufa na kiu na angali tumezungukwa na maji ya kila aina pembeni ila vigezo na masharti ilibidi vizingatiwe.
Sina ujinga huo sasa hivi,kama ni mbingu na niikose eboooo
Yapo sana sana basi tu unaweza ona jambo flani gumu kumbe kuna wengine ndio maisha yao hayo.Hahahahahah mkuu nimecheka sana kumbe haya mambo yapo
Tuseme yoooote, ila mimi akili yangu inawaza jinsi rebecca alivyotoa ushahidi usio na shaka [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]Ndugu yangu kwa kipindi kile nilikua wamoto kiroho yani ukija hata wewe nakutoa mapepo
nikikupiga maombi utahisi umeombewa na TB JOSHUA nilikua natandika ma preyaaaaaa si kawaida
kwa hiyo lile sharti kwangu lilikua very simple sikuliona kama sharti maana ndio maisha yangu yalikua hivyo
na kwakipindi chote sikuwahi muwazia mabaya eti anachepuka huuko,walaaa Nilimuamini katekista wangu na zaidi nilimpenda.
Unaweza kuzaliwa hivyo, au zikawa zimebaki ndani hazijashuka chini kwenye scrotumJamaa alipeleka wapi Pumbu au alizaliwa hivyo 🤔