Mahakama yavunja ndoa iliyodumu miaka 21 bila wanandoa kushiriki tendo la ndoa

Upo.Huu wimbo ni maarufu sana. "Mahali nimefika,nimeona wema wako,na sasa ninasema wewe ni ebeneza.
Weeeeeee famous hivyo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila aisee sio bure watakua na shida. No offense but kuna wakati wokovu ukizidi unakua kama brainwashed flani hivi

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo naweza enda mahakamani nikasema mke hanipi mbususu na judge akamuamuru wife anipe mbususu? Sasa judge ata thibitisha vipi kuwa kweli mbususu nimepewa au kunakuwa na shahidi hapo wakati nasasambua mbususu ya mke?
 
Ila wanaume Bwana

Mtu unajiona una udhaifu lakini unaoa mwanamke.....kwani ukikaa singo ungekufa?

Yaani mwanamke akuvumilie tu

Ni uonezi wa hali ya juu.
 
Mkuu Hivi umesoma kilichoandikwa au nawewe umeamua kuja na nadharia zako tu?,pameandikwa ndoa imevunjwa baada ya kutofanya tendo la ndoa kwa miaka zaidi ya 18,wewe unasema amepelekewa moto akachoka ndo akaamua kuvunja ndoa,bure kabisa.
 
ni miaka 18 sio 21 kwenye ndoa...!! unavyo copy hbr copy kwa uhakika mkuu.
 
Haijafafanuliwa Vizuri. Kwani ukiwa na Korodani moja Mtwangio hautwangi?
Hawana Watoto?
Kama Mtwangio hautwangi, mama alikuwa anajipoza wapi?
Kwa hiyo walati wanatafuta Mali zote hizo walizojaliwa kuwa Nazi walikuwa wanaishia kulala kama MTU na Dada yake?

Mkuu, unaposema suala hili limemtia aibu. Gani?
Kwani ukizaliwa na kilema cha kuwa na mguu mmoja tu, no aibu? Gani?
Kwa mini mhusika aingir aibu kwa vile amezaliwa na korodani moja, as long as Mtwangio unatwamga kinu inavyotakiwa na Wazungu wanatoka, hata kama no kwa Ujazo was Korodani moja tu????[emoji52][emoji52]
 
Miaka iliyobakia anatafuta nini tena Rebecca?
...Badala ya kusmua tu kuzeeshana na mzee mwenza was miaka 21 ya kukaliana uchi chumbani??!![emoji53]

Wanawake!!

Mkiambiwa Mtesti Mitambo ya Mtombo kabla ya Ndoa, mnazoooza. Matokeo take ndio haya sasa ya mwenzenu Rebecca!? [emoji34][emoji34][emoji34]
 
Kuna kitu atakua alikua anapata huyo dada, siku zote kwenye relationships tunapima na kuwa na trade offs;nitakosa hiki ila nitapata kile,naona alikua anatafuta security na heshima ya kuolewa huku akijua mumewe hana pumbuzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz,LOL, hivi huyo mwanaume sio ndezi kweli? unajijua huna pumbuzzz halafu unaenda kutafuta uhusiano? anyway pole zenu Rebeca sidhani kama mtakua na mahusiano ya kimapenzi tena, welcome to singles club,no matter what lazima maisha yaendeleee
 
Ndio mazala hayo upelek moto ety mpka ndoaa
wee njoo nikupeleke moto ili tujueane vzur [emoji23]
 
Ukose pumbu ukose na Mali kaona sio fair
Hahaha dah ila kwa maana hiyo kuna mmoja alipeleka shauri mahakamani. Sasa unajiuliza miaka yote hiyo alikuwa halioni hilo tatizo? Au limejitokeza recently.

Hata kama ni hivyo kwa ndoa ya miaka 21 tukiwapa hao watu labda miaka 25 ndio walioana watakuwa na miaka 46 wangevumiliana tu wamalizie maisha yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…