Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Nilivyoona jina ni Rebeca nikajua ni wewe.Kuna kitu atakua alikua anapata huyo dada, siku zote kwenye relationships tunapima na kuwa na trade offs;nitakosa hiki ila nitapata kile,naona alikua anatafuta security na heshima ya kuolewa huku akijua mumewe hana pumbuzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz,LOL, hivi huyo mwanaume sio ndezi kweli? unajijua huna pumbuzzz halafu unaenda kutafuta uhusiano? anyway pole zenu Rebeca sidhani kama mtakua na mahusiano ya kimapenzi tena, welcome to singles club,no matter what lazima maisha yaendeleee
Anyways tangazo kuwa upo "single" tumeliona.