Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Nilivyoona jina ni Rebeca nikajua ni wewe.Kuna kitu atakua alikua anapata huyo dada, siku zote kwenye relationships tunapima na kuwa na trade offs;nitakosa hiki ila nitapata kile,naona alikua anatafuta security na heshima ya kuolewa huku akijua mumewe hana pumbuzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz,LOL, hivi huyo mwanaume sio ndezi kweli? unajijua huna pumbuzzz halafu unaenda kutafuta uhusiano? anyway pole zenu Rebeca sidhani kama mtakua na mahusiano ya kimapenzi tena, welcome to singles club,no matter what lazima maisha yaendeleee
"wanandoa hao wanafanya matendo ya ndoa yasiyo yakawaida" umeelewaje statement hiyoMkuu Hivi umesoma kilichoandikwa au nawewe umeamua kuja na nadharia zako tu?,pameandikwa ndoa imevunjwa baada ya kutofanya tendo la ndoa kwa miaka zaidi ya 18,wewe unasema amepelekewa moto akachoka ndo akaamua kuvunja ndoa,bure kabisa.
Uandishi wa habari wa Tanzania ni majanga. Msiamini sana hii habari kama ilivyo. Kuna mambo mengi hayakuandikwa (hisia zangu). Inawezekanaje ndoa iliyokaa muda wote huo ndiyo tatizo lije kuonekana leo? Huyo hakimu alihakikishaje madai ya mwanamke ni ya kweli? Kuna kitu. Lazima kuna kitu.Hahaha dah ila kwa maana hiyo kuna mmoja alipeleka shauri mahakamani. Sasa unajiuliza miaka yote hiyo alikuwa halioni hilo tatizo? Au limejitokeza recently.
Hata kama ni hivyo kwa ndoa ya miaka 21 tukiwapa hao watu labda miaka 25 ndio walioana watakuwa na miaka 46 wangevumiliana tu wamalizie maisha yao.
Ni kweli mkuu sio kirahisi namna hii asee lazima kuna vitu public tumefichwa.Uandishi wa habari wa Tanzania ni majanga. Msiamini sana hii habari kama ilivyo. Kuna mambo mengi hayakuandikwa (hisia zangu). Inawezekanaje ndoa iliyokaa muda wote huo ndiyo tatizo lije kuonekana leo? Huyo hakimu alihakikishaje madai ya mwanamke ni ya kweli? Kuna kitu. Lazima kuna kitu.
Rebeca, PM yako inagoma rafiki. Hebu nifungulie basi.Kuna kitu atakua alikua anapata huyo dada, siku zote kwenye relationships tunapima na kuwa na trade offs;nitakosa hiki ila nitapata kile,naona alikua anatafuta security na heshima ya kuolewa huku akijua mumewe hana pumbuzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz,LOL, hivi huyo mwanaume sio ndezi kweli? unajijua huna pumbuzzz halafu unaenda kutafuta uhusiano? anyway pole zenu Rebeca sidhani kama mtakua na mahusiano ya kimapenzi tena, welcome to singles club,no matter what lazima maisha yaendeleee
Naona walikua wanatumia "dildo" miaka yao yote, ndiyo sababu mheshimiwa Hakimu amea KUIVUNJILIA MBALI hiyo ndoa."wanandoa hao wanafanya matendo ya ndoa yasiyo yakawaida" umeelewaje statement hiyo
Sasa asipokupa, waweza fanya yafuatayo.Kwa hiyo naweza enda mahakamani nikasema mke hanipi mbususu na judge akamuamuru wife anipe mbususu? Sasa judge ata thibitisha vipi kuwa kweli mbususu nimepewa au kunakuwa na shahidi hapo wakati nasasambua mbususu ya mke?
Inawezekana afu kesi km hizi sio zinaendeshwa chamber court? Jamaa hawezi kujiona hana thank maana Siri yake ipo mtaani?Naona walikua wanatumia "dildo" miaka yao yote, ndiyo sababu mheshimiwa Hakimu amea KUIVUNJILIA MBALI hiyo ndoa.
Na hapo kwenye kunikatili kihisia na kimwili sii inabidi anilipe fidia au mdio hamna fidia?Sasa asipokupa, waweza fanya yafuatayo.
Kwenda kumshtaki ustawi wa jamii, msipoelewana huko (bado hatoi) basi mtapewa kibali kwenda mahakamani. Mahakamani waeza omba utengano wa muda (separation) au talaka (decree of divorce) hoja kuu itakuwa mkeo amekukatili kihisia na kimwili.
Ahsante
Namtazama muoaji pia kwa jicho la huruma. Maana kwa hali hiyo alipaswa kuchukua Tahadhari mapema ya kutokuoa. Maana alikuwa anaujua udhaifu wake muda mrefu.
Ebeneza si chibalonza? Au huyo ni Chibalonza RAPA?ebeneza
hana korodani, maana yake hana nguvu za kiume.
Una moyoNishawahi Pata mpenzi mlokole akaniambia ananipenda kweli ila hataki tushiriki hilo tendo
kwakua namimi nilimpenda kweli nikakubali tukapeana ahadi mpaka NDOA kweli mahusiano
yakaanza,siku - wiki - mwezi - miezi - mwaka tuna romance mashine inasimama ila ndio haina pa kwenda
mwaka wa 1 mwaka wa 2 nikapata mchepuko 1 Chance one Goal,huyo katekista wangu tukaachana
ndani ya miaka miwili no kwichikwichi, kitanda kimoja, bafu 1,tunaishi ka tuko beach nikifikiriaga ile kipindi
najiona kama nilikuaga SAMSONI flani hivi mwenye miguvu ya ajabu, katika watu mbinguni tusingekosa ni kipindi cha miaka ile miwili.
sema kuna wakati najionaga nilikuaga boya au niliwekewa limbwata?!! ila kwa yesu hamna limbwata sasa niliwezaje etiiiiiiii? bwana weee mi hata sishangai hao wapeana talaka
wengine tulikufa na kiu na angali tumezungukwa na maji ya kila aina pembeni ila vigezo na masharti ilibidi vizingatiwe.
Sina ujinga huo sasa hivi,kama ni mbingu na niikose eboooo
Mkuuπ π π π π π π π πππHata kama hana korodani ,lakini si anasukuma mashine? Watoto ni zawadi kutoka kwa Mungu,na unaweza hata kuchukua yatima.