breki sifungi
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 694
- 409
kweli chadema ni mzigo, sasa hapa umeandika nn?👍 Kwanini Serikali ya CCM inawatesa investors?
Mkapa alijitahidi sana kuiamini have dunia kuwa Mambo ya Azimio la Arusha hayatajirudia tena, Kikwete akadumisha mahusiano mema sana na wawekezaji mbalimbali.
Sasa ngwe hii, tunajidanganya sana hatuthamini umuhimu wa uwekezaji.
Hala hatujali Ni watu wetu wangapi wanaoathirika kwa kukosa kazi mara tu wawekezaji wanapotimuliwa.
Endeleeni na tabia mbaya tutaona mwisho wake mwema
Pamoja na uwepo wa mada inayohusu kufungwa kwa kampuni ya Dangote hapa nchini iliyoletwa na Mkuu Return Of Undertaker, naomba Moderators muuache Uzi huu kwa maslahi ya mjadala na uelewa.
Kichwa pamoja na maudhui ya uzi wa mtajwa hapo juu ni kuleta habari na kutaka kuaminisha umma kuwa Dangote anataka kufunga kampuni yake kule Mtwara na kuondoa uwekezaji wake hapa Tanzania. Katika kuonesha ukweli huo kumeambatishwa habari ya gazeti la the Citizen la leo.
Kwa msomaji makini ataona na kujua kuwa Dangote ndiye anayepinga kufungwa kwa kampuni yake hapa nchini. Hivyobasi, hana nia ya kuifunga na kuondoka. Yeye ndiye aliyepinga na kufanikiwa kuzuia shauri la kufungwa kwa kampuni yake.
Iko hivi kwenye habari hiyo: Kampuni ya Dangote, kama kampuni nyinginezo, iliingia mkataba wa kuletewa fuel na kampuni ya NSK. Katika kufanikisha hilo, kampuni ya NSK ikachukua mkopo kama mtaji kutoka benki ya Standard Chartered wa bilioni 11.1.
Baada ya kushindikana kulipwa kwa mkopo huo, Standard Chartered ikawashtaki NSK na Dangote. Kufuatia shauri hilo, na katika hali ya kujitetea, NSK akapeleka shauri la kufungwa (winding up) kwa kampuni ya Dangote kwa kushindwa kulipa deni lake kwa kampuni hiyo.
Naye Dangote akawasilisha Mahakamani hapohapo Ombi dogo la kusitisha kwa muda shauri la kufungwa kwa kampuni yake. Ombi lake dogo Dangote ndilo lililotolewa uamuzi kwa kusitisha shauri la kufungwa kwa kampuni yake. Ndiyo kusema, Dangote amefanikiwa kwenye maombi yake.
Kwa kifupi, Dangote ndiye anayepinga kufungwa kwa kampuni yake pamoja na deni linalodaiwa kuwepo dhidi ya kampuni ya NSK. Kwenye mashauri hayo yaliyoripotiwa na the Citizen hakuna mahali Dangote na kampuni yake wameonyesha nia ya kufungwa kwa kampuni hiyo na kuondoka nchini.
Ni vyema kusoma habari kwa makini kabla ya kuandika uelewa ambao wakati mwingine waweza kubeba picha ya kupotosha umma. Dangote ndiye aliyepinga kwa nguvu zake zote kufungwa kwa kampuni yake kwenye mashauri matatu yaliyopo Mahakama Kuu yakihusika kampuni yake, kampuni ya NSK na benki ya Standard Chartered.
Pamoja na uwepo wa mada inayohusu kufungwa kwa kampuni ya Dangote hapa nchini iliyoletwa na Mkuu Return Of Undertaker, naomba Moderators muuache Uzi huu kwa maslahi ya mjadala na uelewa.
Kichwa pamoja na maudhui ya uzi wa mtajwa hapo juu ni kuleta habari na kutaka kuaminisha umma kuwa Dangote anataka kufunga kampuni yake kule Mtwara na kuondoa uwekezaji wake hapa Tanzania. Katika kuonesha ukweli huo kumeambatishwa habari ya gazeti la the Citizen la leo.
Kwa msomaji makini ataona na kujua kuwa Dangote ndiye anayepinga kufungwa kwa kampuni yake hapa nchini. Hivyobasi, hana nia ya kuifunga na kuondoka. Yeye ndiye aliyepinga na kufanikiwa kuzuia shauri la kufungwa kwa kampuni yake.
Iko hivi kwenye habari hiyo: Kampuni ya Dangote, kama kampuni nyinginezo, iliingia mkataba wa kuletewa fuel na kampuni ya NSK. Katika kufanikisha hilo, kampuni ya NSK ikachukua mkopo kama mtaji kutoka benki ya Standard Chartered wa bilioni 11.1.
Baada ya kushindikana kulipwa kwa mkopo huo, Standard Chartered ikawashtaki NSK na Dangote. Kufuatia shauri hilo, na katika hali ya kujitetea, NSK akapeleka shauri la kufungwa (winding up) kwa kampuni ya Dangote kwa kushindwa kulipa deni lake kwa kampuni hiyo.
Naye Dangote akawasilisha Mahakamani hapohapo Ombi dogo la kusitisha kwa muda shauri la kufungwa kwa kampuni yake. Ombi lake dogo Dangote ndilo lililotolewa uamuzi kwa kusitisha shauri la kufungwa kwa kampuni yake. Ndiyo kusema, Dangote amefanikiwa kwenye maombi yake.
Kwa kifupi, Dangote ndiye anayepinga kufungwa kwa kampuni yake pamoja na deni linalodaiwa kuwepo dhidi ya kampuni ya NSK. Kwenye mashauri hayo yaliyoripotiwa na the Citizen hakuna mahali Dangote na kampuni yake wameonyesha nia ya kufungwa kwa kampuni hiyo na kuondoka nchini.
Ni vyema kusoma habari kwa makini kabla ya kuandika uelewa ambao wakati mwingine waweza kubeba picha ya kupotosha umma. Dangote ndiye aliyepinga kwa nguvu zake zote kufungwa kwa kampuni yake kwenye mashauri matatu yaliyopo Mahakama Kuu yakihusika kampuni yake, kampuni ya NSK na benki ya Standard Chartered.
Hawa wafuasi wa loketo ni wajinga sana sisterCrimea bro
Ha ha ha, uje nimecheka kama mazuri vile.
Am coming babes[emoji23][emoji23]
Mimi nipo bongo kila siku.Mkuu rudi bongo twende na mitano tena
Mkuu una maoni gani kuhusu hawa wafuasi wenzio wa Lisu mbona wanaonekana ni wajinga sana?Sasa kampuni kubwa kama Dangote ni ya kushindwa kulipa deni la karibia 20b? Tunashukuru kwa ufafanuzi wako, lakini hapo kuna jambo kubwa la kuangalia.
Acha kusambaza uongo mbwa wewe, dangote cement wanakamilisha station ya CNG ambayo ni kubwa kuliko hata inazotarajiwa kujengwa hapo udsm, dangote cement inakuwa full CNG powered plant,
Badohujasema ww unafikili watakaomia ni wanachema tu yn wataumia mpaka waleambao hawana chama watu wakisema siasa nimaisha nyinyi mnawahadaa tu watanzania endeleeni kutengeneza sera mbovu tuNasikia mtaa wa ufipa muda huu yanashushwa mabox ya konyagi na k.vant [emoji16][emoji23]
Sisi lazima wasikitike maana wananunua cement bei pungufu kwa kuonesha kadi yao ya ccmHiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
Daah ni kweli kabisaMkuu washangilie kwa lipi we unaona habari nzuri hizo
Wote CCM na CHADEMA sote tuna ndugu na pengne tunanufaika na hicho kiwanda
Mfano tu mmoja bila dangote cement
Twigwa na mwenzie mbeya na tanga walikuwa wanajipandishia bei wanavyotaka lkn DANGOTE akaleta ushindani bei ikawa inatulia
Sasa ushangilie kwa kitu kinachoenda kutuumiza
Swali nani wa kulaumiwa ni chadema au mbowe ndo kamkimbiza DANGOTE
hakuna uchumi wa kati wakati Biashara zinafungwa kila uchwao
Huo uchumi una faida gani mafuta yanapanda bei cement haionekani hotel zinageuzwa hosteri viwanda vinafungwa
Halafu unataka tushangilie wakati nchi yetu inadidimia na tunaoathirika sisi wananchi wakawaida
Hahaahahhaahhaahaahhahaaaa ghafla atajigeuza kua msemaji wa DangoteAMFE POLEPOLE atafafanua kesho, ataita press na kusema Dangote hafungi tena kiwanda
Why not, kama Bichwa kubwa lenu mambo yanamshinda kwanini tusishangilie?
Jitu badala lidili na mambo ya msingi ya kuongoza nchi linahangaika na ngono, kuua raia na kufilisi biashara za watu, pumbavu kabisa
Kwahiyo wewe unaona hapo selikali inahusikaje?Hili jambo litakuwa linamsikitisha hata JK, mwaka 2013 au 2014 JK alikwenda Nigeria, Aliko Dangote akamtembeza kwenye kiwanda chake ambacho ni moja ya viwanda vikubwa vya saruji duniani. Baadaye Dangote ndio akaja kujenga hiki kiwanda Tanzania. Dangote aliletwa Tanzania na JK, baada ya JK kuondoka ndio Dangote akaanza kupata misukosuko. Wakati hiki kiwanda kinajengwa, Aliko Dangote alikuwa anakuja na ndege yake binafsi anatua moja kwa moja Mtwara anaangalia ujenzi unavyoendelea kisha anapaa siku hiyo hiyo anarudi Nigeria. Usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
Ukibanwa kwenye tumbuou hapo utatoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.Why not, kama Bichwa kubwa lenu mambo yanamshinda kwanini tusishangilie?
Jitu badala lidili na mambo ya msingi ya kuongoza nchi linahangaika na ngono, kuua raia na kufilisi biashara za watu, pumbavu kabisa