Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Mbona sioni mahali ambapo serikali inahusika na kesi hii. Tujitahidi kutoongezea chumvi katika masuala ambayo serikali haihusiki vinginevyo umaarufu na ubora wa jamvi letu hili vitakuwa compromised. It's simply a commercial issue, period
Ni upumbavu tu wa wafuasi wa yule kibwetere aliekimbilia kwa amstwedam mkuu.
 
Tunashangilia upumbavu unaofanywa na CCM mpaka wawekezaji wanakimbia . Mpaka mle panya ndio akili zitawakaa sawa.
Kwenye hiyo habari umeona uhusika wowote wa selikali ktika hiyo kesi na ni wapi huyo muwekezaji kaonesha anaondoka?

Kwani ndio kusema Lisu alipokimbia alikimbia na akili zenu zote?
 
Hiyo ni habari nzuri sana kwa chadema leo watashangilia usiku kucha.
Why not, kama Bichwa kubwa lenu mambo yanamshinda kwanini tusishangilie?

Jitu badala lidili na mambo ya msingi ya kuongoza nchi linahangaika na ngono, kuua raia na kufilisi biashara za watu, pumbavu kabisa
 
Kwenye hiyo habari umeona uhusika wowote wa selikali ktika hiyo kesi na ni wapi huyo muwekezaji kaonesha anaondoka?

Kwani ndio kusema Lisu alipokimbia alikimbia na akili zenu zote?
Na vipi kuhusu hiyo clip iliyokuwa attached kwenye uzi?.
 
Mods wamebadili kichwa cha uzi husika. Nilivyosoma mwanzo jamaa alikuwa amepotosha sana.

Vizuri kuhariri habari kama hizi zenye mlengo mbaya za kutaka kutia hofu na kupandikiza chuki kwa raia.
 
Washabiki wa mbelgiji ni wapumbavu sana!

Ndio maana kina Mdee wameona bora wajiendee bungeni kula hela kuliko kuendelea kupiga kelele na wajinga
 
Kwenye hiyo habari umeona uhusika wowote wa selikali ktika hiyo kesi na ni wapi huyo muwekezaji kaonesha anaondoka?

Kwani ndio kusema Lisu alipokimbia alikimbia na akili zenu zote?
Crimea bro
 
Utawala wa kidhalimu unaendelea kuvuruga uchumi, hii miaka 5 itakuwa worse sana kwa Wadanganyika wote.
Itakuwa migumu kwa wapinzani tu, CCM woote wanaishi maisha ya Ulaya
 
Back
Top Bottom