Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Why not, kama Bichwa kubwa lenu mambo yanamshinda kwanini tusishangilie?

Jitu badala lidili na mambo ya msingi ya kuongoza nchi linahangaika na ngono, kuua raia na kufilisi biashara za watu, pumbavu kabisa
Mzee wa MIGA unafurukuta na ushoga wako
 

Dangote to test US$90 power plant for Mtwara cement factory​

Dangote to test US$90 power plant for Mtwara cement factory
17 October 2020


Dangote Cement will test run a new US$90m gas-fired power plant in Mtwara, Tanzania, later this month. The plant has been delayed with the outbreak of COVID-19, but it will supply the Mtwara cement plant and reduce Dangote Cement's reliance on coal imports.

The new power plant is due to be fully commissioned in November. The Mtwara plant has not operated at full capacity during 2020, but the new power plant should help energy efficiencies. "We have had mechanical failures of some main equipment in the first four months of the year, and our maintenance to sustain reliability delayed because of the late delivery of material needed for the maintenance of our kiln," said Mr Corcos, Dangote Tanzania country manager.

Published under Cement News11/10

Tagged Under: Dangote Cement Power Plant Tanzania COVID-19 coronavirus East Africa
Dangote kesha sepa zake, wekezeni majungu yenu mliozoea
 
Tuwe wawazi hakuna kitu kibaya kama kushabikia Taifa lako kukimbiwa/kupoteza wawekezaji katika kukuza Uchumi.

Ninafikiri hoja iwe ni namna gani tulikosea kama Taifa na namna gani mwekezaji naye amekosea ili tukubaliane jinsi ya utatuzi wake.

Hata hivyo ni si sawa kulaumu utawala huu eti ndio kikwazo cha yote, pengine baadhi ya issues hazikuwa sawa wakati wa uanzishwaji wa kiwanda hicho awamu iliyopita hivyo katika kuzirekebisha awamu hii labda imeibua issues na visingizio vingine.

Ninaamini kila kitu kitakuwa sawa, kwani uwekezaji wa Dangote hauwezi ukawa ni White Elephant Project ili kunufaisha wawezeshaji waliotangulia na kuliachia Taifa likigubikwa na sintofahamu nyingi juu ya wawekezaji/uwekezaji.
 
Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni, jana Ngurdoto Hotel imekuwa hostel, leo Dangote anafungasha, sijui kesho itakuwa zamu ya nani..

Hakika watanzania tufunge mikanda, nchi imepatwa.
Mkuu Ngurdoto kuwa hostel nini tena kimetokea?
 
Hivi unamuonaje huyu jpm?
Lengo hasa ni kuipeleka nchi wapi
Mi kila nkifikiria simuelewi
Akili zake anawaza nini sijui
Hana uwezo wakuongoza kama kuna mahali alikuwa anaonekana anafanyakazi basi alikuwa kwenye usimamizi mkali sana.
 
Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni, jana Ngurdoto Hotel imekuwa hostel, leo Dangote anafungasha, sijui kesho itakuwa zamu ya nani..

Hakika watanzania tufunge mikanda, nchi imepatwa. B
Dangote alipunguza sana bei ya
sarujii nchini sasa anataka kufunga kiwanda mitaani bei imepaa na saruji haipatikani na huo ni mwanzo tu yajayo yanatisha. Pamoja na maagizo toka juu kama Dangote anaona mazingira ya kufanya biashara ya saruji nchini hayafai, hata Mahakama haitaweza kumzuia kufunga kiwanda chake. Serikali pekee ndio inaweza kuzuia kufungwa kiwanda kwa kutoa ruzuku kufidia hasara iliyojitokeza kutokana na sera au Sheria mbaya za nchi ikiahidi kurekabisha mazingira ya uzalishaji na biashara ya saruji. Miradi miwili mikubwa inayohitaji saruji kwa wingi bado iko kwenye hatua za mwanzo ikiwa na maana mitaani itakosekana kabisa kidogo itakayopatikana itakwenda kwenye Miradi ya Umma.
 
Pamoja na uwepo wa mada inayohusu kufungwa kwa kampuni ya Dangote hapa nchini iliyoletwa na Mkuu Return Of Undertaker, naomba Moderators muuache Uzi huu kwa maslahi ya mjadala na uelewa.

Kichwa pamoja na maudhui ya uzi wa mtajwa hapo juu ni kuleta habari na kutaka kuaminisha umma kuwa Dangote anataka kufunga kampuni yake kule Mtwara na kuondoa uwekezaji wake hapa Tanzania. Katika kuonesha ukweli huo kumeambatishwa habari ya gazeti la the Citizen la leo.

Kwa msomaji makini ataona na kujua kuwa Dangote ndiye anayepinga kufungwa kwa kampuni yake hapa nchini. Hivyobasi, hana nia ya kuifunga na kuondoka. Yeye ndiye aliyepinga na kufanikiwa kuzuia shauri la kufungwa kwa kampuni yake.

Iko hivi kwenye habari hiyo: Kampuni ya Dangote, kama kampuni nyinginezo, iliingia mkataba wa kuletewa fuel na kampuni ya NSK. Katika kufanikisha hilo, kampuni ya NSK ikachukua mkopo kama mtaji kutoka benki ya Standard Chartered wa bilioni 11.1.

Baada ya kushindikana kulipwa kwa mkopo huo, Standard Chartered ikawashtaki NSK na Dangote. Kufuatia shauri hilo, na katika hali ya kujitetea, NSK akapeleka shauri la kufungwa (winding up) kwa kampuni ya Dangote kwa kushindwa kulipa deni lake kwa kampuni hiyo.

Naye Dangote akawasilisha Mahakamani hapohapo Ombi dogo la kusitisha kwa muda shauri la kufungwa kwa kampuni yake. Ombi lake dogo Dangote ndilo lililotolewa uamuzi kwa kusitisha shauri la kufungwa kwa kampuni yake. Ndiyo kusema, Dangote amefanikiwa kwenye maombi yake.

Kwa kifupi, Dangote ndiye anayepinga kufungwa kwa kampuni yake pamoja na deni linalodaiwa kuwepo dhidi ya kampuni ya NSK. Kwenye mashauri hayo yaliyoripotiwa na the Citizen hakuna mahali Dangote na kampuni yake wameonyesha nia ya kufungwa kwa kampuni hiyo na kuondoka nchini.

Ni vyema kusoma habari kwa makini kabla ya kuandika uelewa ambao wakati mwingine waweza kubeba picha ya kupotosha umma. Dangote ndiye aliyepinga kwa nguvu zake zote kufungwa kwa kampuni yake kwenye mashauri matatu yaliyopo Mahakama Kuu yakihusika kampuni yake, kampuni ya NSK na benki ya Standard Chartered.
Asante kwa ufafanuzi murua.
 
Sawa, ila yatupasa tujiulize sababu ya Dangote kushindwa kulipa madeni ni matokeo ya biashara hiyo kuwa sio nzuri hapa nchini au ni matatizo binafsi ya muwekezaji mwenyewe?
Kubali hoja ya msingi kwanza ya Wakili Msomi Mselewa, hayo maswali mengine yakupasa kuuliza uongozi wa Dangote.
 
Siyo huyo tu atakaye fungasha vilago Kwa kushindwa kufanya biashara

Hii inaitwa ni Anguko la kibiashara Duniani na kujengwa upya Kwa Uchumi wa Dunia Kwa mfumo mpya na mashariti mapya ya World Bank,

Miradi mingi ya Serikari itasimama na kote Duniani ispokuwa kwenye Baadhi ya nchi zilizoandaa na kuuleta huo mfumo Duniani,

Hutauza Wala kununua, hii ni Kwa wasomaji wa Biblia pekee,

Wakati Dunia inajiandaa Kwa maambukizi mapya ya Corona ambayo yatakuwa ni tishio na yaliyoongezwa nguvu mara dufu, nchi zote zitalazimishwa Ku lock down nchi zao na msukumo wa kufanya hivyo, utatolewa na WB na usipofanya hivyo Ka nchi kenu kanatemgwa na hakatasaidiwa Kwa chochote, na hutafanya biashara mahali popote

Duniani kote kwenye swala la ajira litazidi kutesa watu na itafikia mahali ofsi nyingi zitafungwa, na maisha haya magumu si hapa Tu Tz Bali ni Dunia kote, tunazidiana kidogo tu kutokana na namna ya chumi zilivyokuwa kabla ya Corona

Mwenye sikio na asikie. Dunia lazima ifikie tamati yake
Huu unabii/ufunuo umeupata wapi?
 
Back
Top Bottom