Mahakama yazuia ombi la kampuni ya NSK kuifilisi Dangote Cement

Hivi nyie wote akili zenu zinafanana? Kitu gani cha ajabu kampuni kufilisika? Hii hoteli inayoitwa Dar es salaam Serena toka ijengwe imeuzwa mara ngapi? Unajua sababu? Dangote hawezi kuwa mjinga awekeze kiwanda cha multi million alafu afunge tu kwa kisingizio eti mazingira ya uwekezaji hapa Tanzania sio mzuri
 
Wewe si ulimtuma Lissu na amekimbilia kwa Amstwrdam?
 
Kwahiyo wewe unaona hapo selikali inahusikaje?

Kuzuia mzunguko wa pesa mtaani kwa kusomeshwa watu namba Ili wasimudu kununua.Kama tu hata kununua mhogo wa kula watu hawana pesa ndo za kununua cement wataweza?
 

Purchase power imekufa kwa mujibu wa awamu ya kishindo
 
Uchumi wa vibanda kisha habari

Mitano tena!
 
Hadi walima mchicha bonde la Msimbazi ulalamika mboga zinakomaa shambani wateja hakuna wanapata hasara mboga ikifika mda wake lazima ichumwe. Kama wengi Wana kula mara 4 kwa wiki ( ukila leo kesho deshi )badala ya mara 3 kwa siku sababu ya ukata . Biashara gani itatoka
 
Hii nchi inazidi kutumbukia shimoni, jana Ngurdoto Hotel imekuwa hostel, leo Dangote anafungasha, sijui kesho itakuwa zamu ya nani..

Hakika watanzania tufunge mikanda, nchi imepatwa.
Hivi mmesoma vizuri hayo maelezo ama mnacoment tu? Au me ndo sielewi!! Dangote na NSK wamefunguliwa kesi na Standard Charted walipe deni, NSK kapeleka ombi la kiwanda kufungwa then Dangote kaenda kupetition kiwanda kisifungwe. Anafungasha how? He is the one wanting to stay.
 
Dangote hajafilisika wala udhani kama anashindwa lipa deni la tsh billioni 5.5.

Most likely issue hapo kuna contract dispute kati ya Dangote na supplier wake NSK inayofanya malipo kucheleweshwa.

NSK mtaji kakopa bank yupo behind his payment schedule kutokana na Dangote kuchelewesha malipo.

Bank kamburuza NSK mahakamani apate hela yake, NSK nae kupata mkopo Dangote alimdhamini kama guarantee Bank. Kwa hivyo standard charter kawaburuza wote mahakamani mkopaji (NSK) na guarantor (Dangote) wampe chake.

Wakati mgogoro huo aujatatuliwa NSK kakimbilia mahakamani na yeye kutaka Dangote auzwe apewe chake.

If you ask watu kama kina NSK ni wale wafanyabiashara waliozoea tender za serikali waki breach hamna madhara wala penalties, kaboronga kwa Dangote mgogoro ndipo ulipoanzia hapo.

Hizi ndio sababu supplier wengi na wajenzi wengi wanalilia kufanya kazi na serikali kwa sababu ni mteja ambae zoba kwao.

Miundombinu iliyopo itavutia wawekezaji wakubwa watanzania tusipokuwa serious supplying tender zitachukuliwa na makampuni ya kikenya yaliyosajiliwa Tanzania halafu tuanze kulia kulia ilhali we are not serious business people, compared to our neighbours.
 
TIC ipo chini ya JOHN POMBE, hakuna kitakacho haribika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…