Ujio wa Major General Kisesa Simuli ulete TIJA kubaini ikiwa palikuwa na hujuma kusababisha nyufa katika Bwawa JNHP.
 
Bwana makeke atakuwa anasema" kutoka ikulu magogoni mimi Salimu Kipepe na prado langu jeusi mtanikoma😂😂
 
Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..

January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..

Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
TaNesCo ni dude kubwa linalotisha sana mkuu
 
Uwekezaji so ni huo wa Kinyerezi na Bwawa la Mwalimu Nyerere?
 
Anaweza asiwe kati ya hao mnaohisi watakuwa WASEMAJI

KIKEKE na KITENGE.

Atateuliwa mtu mwingine kabisa....
 
Tatizo la utendaji hafifu ni kuteuana makada kufanya kazi za kitaaluma.
Ndio maana mna shindwa ku perform mna baki kuiba tuu.
Yaani pesa ina toka hazina na kupelekwa halmashauri nila maelekezo. Baadae mna zipiga . Sisi tuna ongezewa kodi.
Mungu ana waona maCcm
 
Sio msikivu, watu wamepiga kelele muda mrefu.

Rais alithubutu kumwambia Makamba..." mwanangu wanataka nikutumbue wewe piga kaxi"

Huu sio uongozi bali hisani na sio msikivu hadi yaharibike
Wewe ulitaka kelele moja tu amtoe ? ulitaka ukipiga kelele tu asijiridhishe kwa namna yake?, kama ulitaka Rais wa kukurupuka kwa namna hiyo basi vuta subira …sio Samia Suluhu Hassan

Sent from my SM-G9500 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…