Naona Kikeke au Kitenge akipewa nafasi ya usemaji ila hasa hasa anaweza kupewa Kitenge kwa sababu amesimama sanana udhalimu wa Liliondo akifanya coveragw kubwa sana kuwafunika wauaji.
Nimekaa pale
Kitenge hana Elimu yakuwa msemaji wa Gavoo! Hapo ni Kikeke
 
Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..

January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..

Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Kadi za CCM zilirudishwa kwa wingi sana huko kusini
 
Tutaona Sasa kama umeme utawaka.

Na hizi lawama ziendelee hivi hivi kwa mkurugenzi mpya Tanesco ngao ukiendelea
Unajua watz ni watu wa ajabu sana!! Hivi tatizo la umeme la nchi hii ni la mkurugenzi? Wanasiasa ndio wachawi wenyewe, Hata huyo anayeingia sidhani kama kuna jipya atakalolifanya ili tatizo hili la umeme liishe!! Sema huyo bwana maharage alikuwa na maneno ya shombo sana
 
Sasa nimekubali mitandao ya kijamii ina nguvu kuliko Tv na magazeti.

Mitandao imemng’oa Maharagwe na makamba wake.
So what? Naye anayeingia hawezi kuondoa tatizo hili la kukatika katika umeme, wanasiasa wameona kutuliza hali ya hewa ni kufanya hivyo tu, ila halina tija.
 

wewe ndio umeongea na mtizamo wako ni sahihi kabisa.
 
Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..

January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..

Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Yetu macho! Muda ni mwalimu!
 
Nimesoma toka mwanzo wa uzi mpaka hapa nilipofikia nilichoona ni tuhuma tuu kwa MC na hakuna aliyeweza kujibu hata baada ya kuulizwa na kutakiwa waorodheshe makosa na matatizo ambayo MC ameyafanya kwa umma na taifa kwa ujumla kupitia au akiwa Tanesco au mabaya aliyoyafanya kwa Tanesco ktk kulididimiza hilo shirika na taifa kwa ujumla

Hakuna shutuma bila tuhuma basi nyie mnaomshutumu tupeni na tuhuma zake
 
Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..

January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..

Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Tatizo ni pale viongozi wanapowekeza upande mmoja wa nchi au Kanda Fulani Kwa manufaa ya kisiasa.

Mwanza,Arusha,mbeya, Kilimanjaro ziara 14 ndani miaka 2 halafu Mtwara ziara 1 ndani ya miaka 2.


Suala la utawala wa Majimbo liwepo ktk KATIBA MPYA
 
Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..

January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..

Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Wameshasaini miktaba ya kuliuza shirika na nishati yote wewe unadhani Kuna Nini. Kasaini lile dili la hewa ya helium aka hewa baridi la karibia dola 30 billioni. Umeme wa bwawa la NYERERE lingeshusha Bei ya umeme Ila unaendwa kuuzwa nje like msumbiji, Uganda si uliona kijana wa maza akaonana na mu7 eti anayo kampuni ya kuuza solar,Kama madini yote yameshauzwa. Mama anauza bandari na mbuga unadhani tutabakia na Nini ,labda wananchi tu ndio waliobakia.
So yule dogo March sijui June akaingia pale kufanikisha miktaba ya dili nene Nene na sijui why jpm hakusaini huu mktaba nadhani Taifa lingefaidi kuliko genge la watu fulani wachache
 

Hii issue kuwa mtu aki underperform mahali anahamishwa badala ya kuwekwa pembeni wapewe candidates wanaoweza hii kazi , ina tu cost sana hii nchi
 
Sawa,ila hana ufanisi.
Ni miongoni mwa akina mama ninaowakubali sana hapa jukwaani kwa michango unayotoa na kuchangia ila kwa hili naona kabisa kuwa unaelekezwa na nafsi kuliko ukweli ulivyo japo haijabadili muono wangu kwako

Wengi inawezekana ni kwa kuangalia nasaba za kiimani kwa jina lake bila kuangalia utendaji wake kuanzia mwanzo mpaka hapo pa kupewa ttcl na hata alipotokea pale tanesco wabaya wanaangalia ukatikaji wa umeme ktk msimu huu(kuna sbb nyingi ambazo zipo nje ya uwezo wake)ila pale kafanya makubwa ya kukumbukwa na kusifiwa kama alivyofanya kwenye mashirika na taasisi nyingine za kiserikali na binafsi alizopitia ktk safari yake ya kitendaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…