Kitenge hana Elimu yakuwa msemaji wa Gavoo! Hapo ni KikekeNaona Kikeke au Kitenge akipewa nafasi ya usemaji ila hasa hasa anaweza kupewa Kitenge kwa sababu amesimama sanana udhalimu wa Liliondo akifanya coveragw kubwa sana kuwafunika wauaji.
Nimekaa pale
Kadi za CCM zilirudishwa kwa wingi sana huko kusiniWalau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Ila kipara sasa, sijui akumbukwe Kwa lipi!Jamaa ndiye alisimamia zoezi la kupata umeme ndani ya siku 7
Unajua watz ni watu wa ajabu sana!! Hivi tatizo la umeme la nchi hii ni la mkurugenzi? Wanasiasa ndio wachawi wenyewe, Hata huyo anayeingia sidhani kama kuna jipya atakalolifanya ili tatizo hili la umeme liishe!! Sema huyo bwana maharage alikuwa na maneno ya shombo sanaTutaona Sasa kama umeme utawaka.
Na hizi lawama ziendelee hivi hivi kwa mkurugenzi mpya Tanesco ngao ukiendelea
So what? Naye anayeingia hawezi kuondoa tatizo hili la kukatika katika umeme, wanasiasa wameona kutuliza hali ya hewa ni kufanya hivyo tu, ila halina tija.Sasa nimekubali mitandao ya kijamii ina nguvu kuliko Tv na magazeti.
Mitandao imemng’oa Maharagwe na makamba wake.
Kwa kipara chakeIla kipara sasa, sijui akumbukwe Kwa lipi!
Maharage Chande sio tatizo, watu wa business kama yule anafaa huko alikopelekwa TTCL akaongeze mapato sio kwenye public utilities kunakohitaji uzalendo na kulinda wananchi maskini.
Hata January Makamba, huko aliko kunamfaa na ata perfom vizuri maana anapenda sana diplomasia. Diplomasia kwenye energy sector utapigwa na kuumiza wananchi.
Yetu macho! Muda ni mwalimu!Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Litakuwa ndilo suluhisho?Futa bodi ya wakurugenzi yote iliyoundwa na January kisha rudisha ile bodi ya Medadi Kalemani ambayo ilifutwa na January
Tatizo ni pale viongozi wanapowekeza upande mmoja wa nchi au Kanda Fulani Kwa manufaa ya kisiasa.Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Ila hii nchi kuna mambo yanachekesha sana yani mtu aboronge huku alafu anapelekwa kule hahahaaaaTTCL ijiandae kufa kwa mala ya pili...
Maharage kaja...
Kwanini hajapelekwa mambo ya nje kwa msanii mwenzake?
Ndo maana wakati mwingine naona watawala kama rubbish[emoji849][emoji849][emoji849]Maharage ameboronga TANESCO lakini bado anapewa ukurugenzi kwingine....ina maana hakuna wasomi wengine Tanzania hii wenye weledi!?.
Wameshasaini miktaba ya kuliuza shirika na nishati yote wewe unadhani Kuna Nini. Kasaini lile dili la hewa ya helium aka hewa baridi la karibia dola 30 billioni. Umeme wa bwawa la NYERERE lingeshusha Bei ya umeme Ila unaendwa kuuzwa nje like msumbiji, Uganda si uliona kijana wa maza akaonana na mu7 eti anayo kampuni ya kuuza solar,Kama madini yote yameshauzwa. Mama anauza bandari na mbuga unadhani tutabakia na Nini ,labda wananchi tu ndio waliobakia.Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa Viongozi mbalimbali kama ifuatavyo:
MAKATIBU TAWALA MKOA
- Amemteua Ndugu Said Othman Yakubu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Yakubu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
- Amemteua Ndugu Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
Utamaduni, Sanaa na Michezo. Kabla ya uteuzi huo, Ndugu Msigwa alikuwa Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali. Nafasi
iliyoachwa wazi ya Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali itatangazwa baadae.
WAKUU WA TAASISI
- Ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Badala yake amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA).
- Amemteua Ndugu Mohamed Jumanne Gombati kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Gombati alikuwa Mkurugenzi Msaidizi
Sehemu ya Maafisa Waandamizi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
WAKUU WA WILAYA
- Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Aidha aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, Bw. Omar Issa ataendelea na majukumu mengine aliyopangiwa katika Ofisi ya Rais - Tume ya Mipango.
- Amemteua Ndugu Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Anachukua nafasi ya Mhandisi Peter R. Ulanga ambaye atapangiwa kazi nyingine.- Amemteua Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kabla ya uteuzi huu Ndugu Nyamo - Hanga aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
- Amemteua Dkt. Erasmus Fabian Kipesha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Kipesha alikuwa Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi (TEA).
WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI (MA -DED)
- Ametengua uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini na badala yake amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
- Amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo atapangiwa kazi nyingine.
KATIBU TAWALA WILAYA
- Amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara TC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo. Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine.
- Ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.
- Amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.
Amemteua Ndugu Francis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo. Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.
Katibu Mkuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wataapishwa siku ya Jumanne saa sita mchana Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2759138
View attachment 2759139
View attachment 2759157
Huo bado umeme utakua ni changamoto tu! Iwe competition kama upande wa mawasiliano!!Uwekezaji so ni huo wa Kinyerezi na Bwawa la Mwalimu Nyerere?
Ni miongoni mwa akina mama ninaowakubali sana hapa jukwaani kwa michango unayotoa na kuchangia ila kwa hili naona kabisa kuwa unaelekezwa na nafsi kuliko ukweli ulivyo japo haijabadili muono wangu kwakoSawa,ila hana ufanisi.