*TANESCO:
Haki imetendeka, anao uelewa mkubwa kwenye masuala umeme. Alitolewa REA kwa uonevu.*
 
Maharage ameboronga TANESCO lakini bado anapewa ukurugenzi kwingine....ina maana hakuna wasomi wengine Tanzania hii wenye weledi!?.
Maharage Chande sio tatizo, watu wa business kama yule anafaa huko alikopelekwa TTCL akaongeze mapato sio kwenye public utilities kunakohitaji uzalendo na kulinda wananchi maskini.

Hata January Makamba, huko aliko kunamfaa na ata perfom vizuri maana anapenda sana diplomasia. Diplomasia kwenye energy sector utapigwa na kuumiza wananchi.
 
Hivi maharage ni mtoto wa Mohamed Chande Othman???
 
Hayo ni matumizi mabaya ya kodi. TTCL ishakufa kitambo na limebaki jina tu.
Laini za TTCL zenyewe hazipo.
Hii nchi inachekesha sana
 
Pole kwa sonona sugu uliyonayo, Mama Samia huyooo anachanja mbuga tu
 
Kwa hiyo TTCL ndo imepelekewa mtu incompétent. Yaani mtu kaharibu Tanesco anapelekwa kuwa mkurugenzi shirika lingine.Samia kweli anatuchezea akili.Sema na sisi sijui namna gani vipi.Maana tatizo la umeme tu,lazima tungeandamana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…