Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Ndio nilikuwa najiulizaKwa sasa haijawekwa wazi ila hiyo nafasi itatangazwa baadae
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Lets wait and see
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio nilikuwa najiulizaKwa sasa haijawekwa wazi ila hiyo nafasi itatangazwa baadae
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
GOING BACK TO THE ROOTS:Kabla shetani wa uachama ,uswahiba,udugu hajajijenga Tanzania wakuu wa wilaya walitokana na Makatibu Taarafa.Wakurugenzi wa wilaya walitokana na mwekahazina wa wilaya.afisa miipango au afisa utumishi (watu wanaojua halmashauri vizuri).Hongera kwa katibu tarafa wa Mswaki.Kaonyeshe tofauti.Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Unamkumbuka timu nzima ya januari ilivyolalamikiwa mapema kabisa baada ya kupewa wizara ya nishati,kuanzia bodi hakuna hata mmoja aliekubalika na hiyo tumeishuhudia baada ya kufeli kwa kiasi kikubwa sana ndani ya miaka miwili nchi imeingia kwenye giza nene haijawahi kutokea tangu Uhuru sasa naona samia kaona aibu anawahamishia sehemu nyingineAmeharibu huku amemaliza ametafutiwa sehemu nyingine ya kwenda kuharibu, na kwa jinsi Ttcl ilivyo maji ya shingo naona inaenda kufariki mazima
Na ndio nataka niitumie...😅TTCL ijiandae kufa kwa mala ya pili...
Maharage kaja...
Kwanini hajapelekwa mambo ya nje kwa msanii mwenzake?
Ndo nachowaza hichohichoSalim kikeke sasa🤔si apewe
Ungejuaa..[emoji848][emoji848]Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Kwahyo Meja Jenerali atatumia mbinu za medani kuzuia umeme usikatike? CCM must go…Walimuona chuma JPM chizi sasa wanarudi kwenye ramani zake. Mwenyekiti bodi ya Tanesco kapelekwa Meja Jenerali! Hii nchi ukichekacheka utashtuka hata wewe umeuzwa.
Maharage hana uzoefu wowote na masuala ya Nishati. Maharage amebobea kwenye TelecommunicationsIna maana hajaboronga, ila alikuwa akifanya waliyokuwa wakitaka yaafanyike, kuhujumu TANESCO na hatimaye igawiwe kwa Wajomba.
Hawawezi kumpa kutokana na sababu kadha wa kadha. Tunza hii commentSalim kikeke sasa🤔si apewe
Kama kuna mtu ameitengeneza Tanesco basi ni Maharage. Bahati mbaya wananchi mnaishi kwa mihemko. Rais amebugi hapo. Tanesco wamemchezea mchezo naye amejaaMaharage ameboronga TANESCO lakini bado anapewa ukurugenzi kwingine....ina maana hakuna wasomi wengine Tanzania hii wenye weledi!?.
Wakimuacha na awamu hii ni kupoteza moja ya talent kubwa sanaaYunus = Kikeke
Tutaona Mkuu ila napenda apeweHawawezi kumpa kutokana na sababu kadha wa kadha. Tunza hii comment
Kasoma electronics sawa,ila uongozi hawezi.Tokea lini mzaramo akawa kiongozi mzuri?Amna maharage kule Ndio sector yake uku ni connection tuu alipewa ila sio issue zake
Alivyoacha BBC alisema ni wakati wa kuja kutumikia taifaNdo nachowaza hichohicho
Bora yeye,maana Kitenge yeye alipata zero kabisa.Salim Kikeke form four alilamba Division 4 , kwenye ile shule iliyokuwa inamilikiwa na kanisa pale usa river arusha.
Yunus anamtafutia nafasi Salim Kikeke kuweni makini na wanaoswali Ijumaa
Tumefikiwa wazaramoKasoma electronics sawa,ila uongozi hawezi.Tokea lini mzaramo akawa kiongozi mzuri?
Nyie ni mayai sana,mkipewa challenges hamuwezi kutafuta solutions sahihi.Tumefikiwa wazaramo