Desprospero
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 1,015
- 2,493
Business as usual! Hakuna jipya hapo. Tatizo letu ni mfumo wa utawala si watu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitenge huyuhuyu.?Mmoja kati ya hawa wawili ndiyo atakuwa ni msemaji wa hii serikali yako.
1. Salim Kikeke
2. Maulid Kitenge
Aiseee ndugu yangu, naona kweli matatizo mengine Tz sio mtu, ila ni mifumo mibovu tuliyojiwekea na mambo kuendeshwa kisiasa zaidi, kuliko kuendeshwa kiutaalamu na kufuata abc's za kiuchumi..... endeleeni kula mtori, na nyama mtazikuta chini.....Umeongea jambo la maana mkuu, watanzania tunashindwa kutambua chanzo cha tatizo la umeme kukatika badala yake Tunajikuta tunadili na Maharage..tumekuwa washabiki wa hovyo mnoo.
Nini kilitokea hapo katikati kilichopelekea mabadiliko hasi baada ya Kalemani na wenzake kutolewa wizarani na kwenye shirika la TANESCO respectively?Huyo Maharage ndo alisababisha umeme uwe unakatika a?
Hii nimeipenda pia, wajeda kidogo wana nidhamuWalimuona chuma JPM chizi sasa wanarudi kwenye ramani zake. Mwenyekiti bodi ya Tanesco kapelekwa Meja Jenerali! Hii nchi ukichekacheka utashtuka hata wewe umeuzwa.
Si ametoka kulamba tuzo majuzi hapa ya transformational leadership kwenye mashirika ya umma. Tanzania bana 😁😁😁This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?
Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?
This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.
Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,
Mosi, astaafishwe for the public interests
Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.
Haya yote yana mwisho.
Huu ndio mfumo wa maccm, kulindana kwa hali na mali.This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?
Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?
This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.
Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,
Mosi, astaafishwe for the public interests
Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.
Haya yote yana mwisho.
Kazi maalumu!Niko paleee Nasubiria umeme uwake View attachment 2759152
Habari wakuu? Ivi hapo kwenye Uteuzi wa Dr. Stephen Isaac Mwakajumilo imekaaje hii? Maana Dr Stephen ni mwenyekiti wa Chama Mkoa wa Mbeya! Na Sasa ameteuliwa kuwa DC tena.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi na utenguzi wa Viongozi mbalimbali kama ifuatavyo:
MAKATIBU TAWALA MKOA
- Amemteua Ndugu Said Othman Yakubu kuwa Balozi. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Yakubu alikuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.
- Amemteua Ndugu Gerson Msigwa kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya
Utamaduni, Sanaa na Michezo. Kabla ya uteuzi huo, Ndugu Msigwa alikuwa Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali. Nafasi
iliyoachwa wazi ya Mkurugenzi wa Habari - MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali itatangazwa baadae.
WAKUU WA TAASISI
- Ametengua uteuzi wa Ndugu Abdallah Mohamed Malela, Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Badala yake amemteua Bi. Bahati Ibrahim Geuzye kuwa katibu Tawala Mkoa wa Mtwara. Kabla ya uteuzi huu, Bi Bahati alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA).
- Amemteua Ndugu Mohamed Jumanne Gombati kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Geita. Kabla ya uteuzi huu, Bw. Gombati alikuwa Mkurugenzi Msaidizi
Sehemu ya Maafisa Waandamizi katika Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora.
WAKUU WA WILAYA
- Amemteua Meja Jenerali Paul Kisesa Simuli kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Aidha aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TANESCO, Bw. Omar Issa ataendelea na majukumu mengine aliyopangiwa katika Ofisi ya Rais - Tume ya Mipango.
- Amemteua Ndugu Maharage Chande kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL). Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Chande alikuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO).
Anachukua nafasi ya Mhandisi Peter R. Ulanga ambaye atapangiwa kazi nyingine.- Amemteua Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO). Kabla ya uteuzi huu Ndugu Nyamo - Hanga aliwahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Nishati Vijijini (REA).
- Amemteua Dkt. Erasmus Fabian Kipesha kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu Tanzania (TEA). Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Kipesha alikuwa Mkurugenzi wa Huduma za Taasisi (TEA).
WAKURUGENZI WATENDAJI WA HALMASHAURI (MA -DED)
- Ametengua uteuzi wa Ndugu Hanafi Msabaha, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini na badala yake amemteua Bi. Mwanahamisi Mkunda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mjini. Kabla ya uteuzi huo Bi. Mkunda aliwahi kuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke.
- Amemteua Dkt. Stephen Isaac Mwakajumilo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Nanyumbu. Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Bi Mariam Chaurembo atapangiwa kazi nyingine.
KATIBU TAWALA WILAYA
- Amemteua Ndugu Hassan Bakari Nyange kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara TC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Nyange alikuwa DAS Wilaya ya Namtumbo. Aidha, aliyekuwa Mkurugenzi (DED) wa Wilaya ya Mtwara TC, Kanali Emmanuel Mwaigobeko atapangiwa kazi nyingine.
- Ametengua uteuzi wa Bi. Tatu Said Issike, Mkurugenzi wa Mtwara DC na kumteua Ndugu Abeid Abeid Kafunda kuwa Mkurugenzi (DED) wa Mtwara DC. Kabla ya uteuzi huu, Ndugu Kafunda alikuwa Mwanasheria katika Ofisi ya mkemia Mkuu wa Serikali.
- Amemteua Ndugu Reuben Sixbert Jichabu kuwa Mkurugenzi (DED) wa Halmashauri ya Wilaya ya Masasi. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, Ndugu Erica Yegella atapangiwa kazi nyingine.
Amemteua Ndugu Francis George Mgoloka kuwa Katibu Tawala wa Wilaya
(DAS) ya Namtumbo. Kabla ya uteuzi huo Ndugu Mgoloka alikuwa Katibu Tarafa Mswaki - Kilindi Handeni.
Katibu Mkuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wataapishwa siku ya Jumanne saa sita mchana Ikulu, Dar es Salaam.
View attachment 2759138
View attachment 2759139
View attachment 2759157
Kazi maalumu!This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?
Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?
This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.
Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,
Mosi, astaafishwe for the public interests
Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.
Haya yote yana mwisho.
Mama anaogopa kumuudhi kabisa January.Maharage ameboronga TANESCO lakini bado anapewa ukurugenzi kwingine....ina maana hakuna wasomi wengine Tanzania hii wenye weledi!?.
Awesome mambo ya telecommunication na Ana utaalam huoHii nchi mafisadi na wasio na elimu wala vipaji vyovyote ambao wamepata kazi kwenye system huwa hawana wasiwasi kabisa, kwasababu wanajua hata wakiharibu kazi au kuiba kitakachofanyika ni kuwahamishia kwenye sekta nyingine yenye maslahi kama yale au zaidi kabisa.
Mtu kama Maharage atasaidia nini TTCL ikiwa huku kwingine amefeli au ndio maswala ya trying&error system.?
Kitenge shule hamna!Naona Kikeke au Kitenge akipewa nafasi ya usemaji ila hasa hasa anaweza kupewa Kitenge kwa sababu amesimama sanana udhalimu wa Liliondo akifanya coveragw kubwa sana kuwafunika wauaji.
Nimekaa pale
Kenyatta aliona mbali..siku ya mazishi alimuonya huyo mama kuwa tembelea njia hii hii aliyochonga jamaa..mother akaanza kuchonga njia yake kwa kiburi na majivuno..imeishia bondeni.Walimuona chuma JPM chizi sasa wanarudi kwenye ramani zake. Mwenyekiti bodi ya Tanesco kapelekwa Meja Jenerali! Hii nchi ukichekacheka utashtuka hata wewe umeuzwa.
Ni mtaalam wa mambo ya telecomuication VickyKwa hiyo TTCL ndo imepelekewa mtu incompétent. Yaani mtu kaharibu Tanesco anapelekwa kuwa mkurugenzi shirika lingine.Samia kweli anatuchezea akili.Sema na sisi sijui namna gani vipi.Maana tatizo la umeme tu,lazima tungeandamana.
Sawa,ila hana ufanisi.Ni mtaalam wa mambo ya telecomuication Vicky
Ova
Ni kweli. Hizi ni kiki tu za Kizimkazi. Mabadiliko haya hayana jipyaUkiniuliza ni nini kimetokea nasema 'Hayo ni Mazingaombwe tu'
....Ndio umeme utapatikana?
Watafuteni wahujumu, wapo miongoni mwenu.