Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo TTCL ndio dump? Kama jitu ni hovyo lipelekwe ofisi ya CCM sio ya umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kwa hiyo TTCL ndio dump? Kama jitu ni hovyo lipelekwe ofisi ya CCM sio ya umma
Kiongozi ni mwanasiasa na mwanasias ni maneno mengi kazi kidogoNyie ni mayai sana,mkipewa challenges hamuwezi kutafuta solutions sahihi.
Hawa watoto wa mjini kwa asilimia kubwa ni mabogus hakuna mfano pale wanapokabidhiwa majukumu, bado nawaza ni kwanini hali iko hivyo.Tulisema ni vigumu shamba boy (Dotto) Naibu Waziri Mkuu akae na Mtoto wa Mjini (Maharage). Ilikuwa lazima mmoja apishe na Kwa mazingira ya Sasa , Mtoto wa Mjini alikuwa lazimaa aende. TAIFA linapangwa upya
Muda wowote anaingia pale.Naona nafasi ya salim kikeke ipo wazi kabisa pale ikulu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Bora yeye,maana Kitenge yeye alipata zero kabisa.
Mmoja kati ya hawa wawili ndiyo atakuwa ni msemaji wa hii serikali yako.Hivi nafasi ya msemaji wa serikali itangazwe tu apply tufanyiwe usaili.
Kikeke.... kutokana na ' exposure' kidogo labda aliyonayo anaweza kujaribu, mradi apunguze ' selfie' kwenye mitandao......Salim Kikeke form four alilamba Division 4 , kwenye ile shule iliyokuwa inamilikiwa na kanisa pale usa river arusha.
Yunus anamtafutia nafasi Salim Kikeke kuweni makini na wanaoswali Ijumaa
Bora wamuweke KikekeMmoja kati ya hawa wawili ndiyo atakuwa ni msemaji wa hii serikali yako.
1. Salim Kikeke
2. Maulid Kitenge
Yawezekana ukawa na hoja but nakuhakikishia matatizo ya umeme nchi hayatakoma bila kufanya uwekezaji kweny sekta ya nishati ya umeme!! CCM washafeli kitambo san na tanesco yao, nakuhakikishia hata bwawa likianza uzalishaj umeme utakua ni changamoto tu!!Walau sasa Nishati kutatakata kidogo..
January na Maharage walikuwa virusi na wahujumu wa taifa..
Naona ziara ya Mtwara imefyeka watumishi wengi sana. Madudu yalikuwa mengi bila shaka.
Hahahaha ila wee jamaaMaharage alivyoingia tu TTCL kwenye line yangu ya TTCL mtandao umeanza kusoma 2G kutoka 4G
Huyu jamaa kirusi narudi zangu tigo aisee
Umeongea jambo la maana mkuu, watanzania tunashindwa kutambua chanzo cha tatizo la umeme kukatika badala yake Tunajikuta tunadili na Maharage..tumekuwa washabiki wa hovyo mnoo.Ukiniuliza ni nini kimetokea nasema 'Hayo ni Mazingaombwe tu'
....Ndio umeme utapatikana?
Watafuteni wahujumu, wapo miongoni mwenu.
Naunga mkono hojaIkitokea kapewa Kitenge nitaamini kwamba hili taifa limeoza kwa kiwango cha mwisho kabisa na kwamba hakuna namna ya kulirekebisha zaidi ya mapinduzi.
Itakuwa ni dharau kubwa sana.