Maharage Chande aondolewa TANESCO, apelekwa TTCL. Gerson Msigwa awa Katibu Mkuu Wizara ya Michezo
This is the huge Public deceiving ( shame kwa SHH), ivi kweli mtu kama Maharage kaharibu sehemu then anateuliwa tena sehemu kweli? Kweli jameni?

Kwamba kwa watanzania zaidi ya 20million wenye uwezo na sifa hawaonekani mpaka aliyeharibu point A kuhamishiwa point B kweli? Kweli SHH?

This proves the fact kwamba , Maharage alitumwa kukwapua na kahamishiwa TTCL akaharibu then aje na wazo la kubinafsisha, CCM ni zaidi ya ukoo wa Panya.

Huyu mwamba yangefanyika mawili kama angekuwa kwenye nchi zenye viongozi na uongozi, sio hawa wachumia tumbo,

Mosi, astaafishwe for the public interests

Pili, afunguliwe mashtaka maana tuhuma zake zinathibitika vizuri tu.


Haya yote yana mwisho.
Hana tuhumu yoyote ni katika kuboresha safu mpya chini ya Waziri mpya. Tatizo la umeme kwa nchi yetu lina mjadala mrefu sana sio la kiuongozi wa Taasisi bali ni kimfumo wa kiserikali.

Jiulize leo yale maneno kuhusu gesi ya Mtwara yameishia wapi. Ukikua utaelewa
 
Tulisema ni vigumu shamba boy (Dotto) Naibu Waziri Mkuu akae na Mtoto wa Mjini (Maharage). Ilikuwa lazima mmoja apishe na Kwa mazingira ya Sasa , Mtoto wa Mjini alikuwa lazimaa aende. TAIFA linapangwa upya
Kabisa mzee Niliona hakuna Chemistry ila tunaimani kubwa na Dotto pamoja na huo Ushamba boy ila atafanya kitu Nishati Apo
 
Niko paleee Nasubiria umeme uwake View attachment 2759152
Huyu ana akili kweli hapa?

Matatizo yote duniani na kwa hiyo yote hapa nchini kwetu yanasababishwa na watu wasio na akili, maarifa wala ufahamu wa nini kinachotakiwa kufanywa iwapo litatokea hili au lile...

Na hapa ninaposema watu, basically ninamaanisha wale wenye dhamana ya mamlaka na maamuzi (yaani viongozi) kwa manufaa ya jamii au umma wote kwa ujumla wake..

Mtu anaweza kusingizia kuwa tatizo la umeme hapa nchini ni kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya hewa na hivyo kuleta upungufu wa mvua and consequently kupungua kwa maji ktk mabwawa ya kuzalisha umeme..

Ni sawa kabisa.

Na pengine ukiisikia hiyo kwenye masikio yako, inaonekana ni kama sababu ya kweli vile. Lakini the truth is not, bali tatizo ni la kiuongozi..!!

Kwa sababu kama mtu ni kiongozi mwenye dhamana ya sekta fulani ama nchi kwa ujumla wake na una kila aina ya rasrimali za kukufanya utekeleze majukumu yako ni kwanini usifikiri kuwa hilo linaweza kutokea na ukawa na njia mbadala..?

Majibu ya maswali haya yote ni rahisi tu, kuwa, tuna viongozi maboya, wabinafsi na wanaofikiri kuiba kwa ajili ya matumbo yao na watoto wao..!

Kwa hiyo wao ndio tatizo na kamwe tatizo sio uhaba wa umeme au maji...!!
 
Kikeke akienda magogoni asijichanganye kwenye siasa ataharibu.
 
Aisee hii kali kabisa. Ila Kwa nionavyo Mimi.
1. Wizara ya Nishati arudishwe Muhongo.
2. Maharage Chande hata kama uraiani tunaona hajafanya vizuri Ila ndani Tanesco aliwanyoosha Sana wezi. Yaani zile njia za wizi zote alikomesha na Shirika hata mahesabu yake yakaanza kuwa mazuri. Na ninajua kwa kuwanyoosha basi wafanyakazi wakaanza kuhujumu ili aonekane hawezi. Ninakuhakikishia Leo wafanyakazi wa Tanesco watafanya sherehe kwa kuwa fursa za ulaji zitarudi. Yaani walibanwa. Mfano wafanyakazi ofisi za kanda, mikoa na Wilaya walikuwa ni wengi na hakuna KAZI ya maana. Yaani kuajiriwa tu kinansmnanamna unaenda tu kukalia viti vya Tanesco kunywa chai na supu na kupiga umbeya. Huo ukawa mzigo mkubwa Sana kwenye payroll mana unakuwa na wafanyakazi wengi ambao hata hawahitajiki. Kwenye emergency na call ndiyo walipiga mno mno na ndiyo akaweka one call centre. Na wako smart kugawa majukumu kwa zone au ofisi husika ila nako wakawa wanafanya kwa hujuma kutekeleza matatizo ya umeme yaliyokuwa Yana repotiwa centre. Yaani unakuta taarifa ya emergence imeletwa say Tanesco Kurasini lakini warakaa siku hata 3 hawaendi kwenye tukio. Mfano mmoja Mimi binafsi nilipiga simu call centre kuhusu nguzo ya umeme ilivyokuwa hatarini kuanguka. Hakika hawakufika mpaka ikaanguka na ikawagharimu Sana. Niliporudi call centre kuwajulisha walishangaa Sana maana taarifa walishapewa Tanesco Kurasini Ila haikutekelezwa kwa siku 7. Yaani ni kama kulikuwa na kamgomo baridi hivi ili kukwamisha utendaji wa Maharage Chande.

Ila pia hata kama ameondolewa tatizo la umeme halitakwisha kamwe. Kuna hujuma nyingi mno. Hivi.mnajua kuna wauza majenereta? Hivi mnajua kuna fisadi mmoja god father wa Mwezi Mosi anamiliki kampuni ya gas tunazotumia kupikia na mambo mengine?. Ambaye ndiye alikuwa anampa kazi Mwezi Mosi kupigia kampeni gas yake nyumba kwa nyumba? Haya mambo ni magumu kuliko mnavyofikiria mtaani kwetu huku.
Mambo yamekuwa si mambo. Mungu tunusuru tuko kwenye lindi la mahangaiko mengi Sana. Yaani tumesongwa na mambo mengi mno.
Yaani nimechoka Sana Mimi Zogwale.
Ukweli ni huu,lakini wañaukwepa:
1.Wanasiasa kwa kushirikiana na wafanyabiashara wanaumiza shirika.
2.Mikataba mibovu iliyoshinikizwa kwa maelekezo ya wanasiasa inainyonya shirika.
3.Kuwepo makampuni yanayouza umeme wa jenereta kwa Tanesco ni mtihani ambao haujapatiwa majibu mpaka leo!
4.Mahitaji ya umeme yanajulikana iweje upungufu usifanyiwe kazi mapema kuondoa adha ya mgao wa umeme.
5.Miradi ya uzalishaji umeme isiyoisha,ni njama ya kufanikisha biashara wauzaji umeme wa dhatura wamajenereta kwa Tanesco.
6.Mkakati wa kubaini hujuma,kukabiliana na upungufu unaosemwa kila siku upo wapi?
 
Haaaaa. Afadhali wapigaji waanza kupunguzwa. Ila Maharagande na Makamba wanastahihi kufungwa
Sasa mbona wamehamishwa badala ya kufutwa kazi mazima, kwamba Rais kahamisha matatizo kuyatoa Nishati kuyapeleka Mambo ya Nje na TTCL?!.
Hivi nchi yetu imekosa watu smart kabisa hadi kung'ang'ania hao hao walioshindwa?!.
 
Back
Top Bottom