Contraband
JF-Expert Member
- Nov 14, 2021
- 1,036
- 2,807
Hahaha... Ukiweza kucheza karata zako vizuri utawin wanawake wengi, unajua wanawake thought pattern yao pamoja na maamuzi yame-base sana kwenye hisia, kwa hiyo ukiweza kucheza na sehemu hiyo, you can hit on the first date, no cap.U hit that punani within three hours! Damn u pro
Very nice...so wee ni kizichakata mbususu tuuHahaha... Ukiweza kucheza karata zako vizuri utawin wanawake wengi, unajua wanawake thought pattern yao pamoja na maamuzi yame-base sana kwenye hisia, kwa hiyo ukiweza kucheza na sehemu hiyo, you can hit on the first date, no cap.
Hahaha... asingenipa heshima yangu bila ya kufanya hivyo. Unajua Nakadori sina maana mbaya ya kusema hivyo lakini, mambo ya mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke, ni kama mchuano baina ya jinsia hizo mbili. Na atakayetumia akili vizuri atamuwin mwenzake na kuwa in-control. Ndiyo maana hata mfunguaji thread, kama ni mwanaume anaweza kuja kulia kwamba amepigwa tukio, na member mwanamke pia anaweza kuja kulia kwamba amepigwa tukio, hiyo inamaanisha alizidiwa akili na mwenzake. Kwa hiyo alivyotaka kunipiga tukio, nikasema huyu lazima nimu-outsmart ili asije akanidharau.Lol ukampasua kwanza ndo ukamuacha sio
Ukiwa mjanja-mjanja, bahati nyingi zitaangukia upande wako.Very nice...so wee ni kizichakata mbususu tuu
Spot on mate...sex is about the transfer of power. Energy is neither created nor destroyed just transfered from one body to another.Hahaha... asingenipa heshima yangu bila ya kufanya hivyo. Unajua Nakadori sina maana mbaya ya kusema hivyo lakini, mambo ya mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke, ni kama mchuano baina ya jinsia hizo mbili. Na atakayetumia akili vizuri atamuwin mwenzake na kuwa in-control. Ndiyo maana hata mfunguaji thread, kama ni mwanaume anaweza kuja kulia kwamba amepigwa tukio, na member mwanamke pia anaweza kuja kulia kwamba amepigwa tukio, hiyo inamaanisha alizidiwa akili na mwenzake. Kwa hiyo alivyotaka kunipiga tukio, nikasema huyu lazima nimu-outsmart ili asije akanidharau.
Kaka wewe wageggede tuu...wao wenyewe wanataka tuwageggede so timiza wajibu wakoUkiwa mjanja-mjanja, bahati nyingi zitaangukia upande wako.
Umemaliza kwa style ya kingese sana mkuu nimecheka eti kwiooo(1)Mimi masaa 4 alinipa namba nikampigia akasema hana hela ya umeme na vocha. Nilikata simu mpaka leo sijampigia
(2) Huyu nilimpa namba ndani ya wiki moja akasema birthday yake anataka nimtumie 200,000 afanye birthday party sijamjibu mpaka leo.
Kwioooo [emoji239][emoji239][emoji239]
Wanaume wengi humu wamevunja mahusiano kisa kuombwa pesa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnafrahisha sana[emoji23]
Na nyie mbona mkitongoza mchana usiku mnataka ku du
Wanataka k za bure
Umemaliza kwa style ya kingese sana mkuu nimecheka eti kwiooo
Huo ni ukahaba mkuuHivi hata one night stand nayo ni mahusiano?
Hyo mlicheza seek and hide...Hahaha... asingenipa heshima yangu bila ya kufanya hivyo. Unajua Nakadori sina maana mbaya ya kusema hivyo lakini, mambo ya mahusiano baina ya mwanaume na mwanamke, ni kama mchuano baina ya jinsia hizo mbili. Na atakayetumia akili vizuri atamuwin mwenzake na kuwa in-control. Ndiyo maana hata mfunguaji thread, kama ni mwanaume anaweza kuja kulia kwamba amepigwa tukio, na member mwanamke pia anaweza kuja kulia kwamba amepigwa tukio, hiyo inamaanisha alizidiwa akili na mwenzake. Kwa hiyo alivyotaka kunipiga tukio, nikasema huyu lazima nimu-outsmart ili asije akanidharau.
Siamini kama kuna mwanaume asiyependa kumgharamia au kumtunza mpenzi wake.Wanataka k za bure
Naam one night stand ya kukusudia na hamna urafiki/bond yoyote ni UKAHABA rafiki yangu hakuna kurembaUmetumia neno zito Glenn
Rejea swali lake..Je one night stand nayo inahesabika?.
Tulikutana mgawani macho yakakutana,nikamkonyeza akanirudishia mkonyezo..!Wakuu habari zenu,
Huku tukiutafuta tafuta usingizi hebu tuambiane mahusiano ambayo umewahi kuwa nayo na yakawa mafupi kuliko yote.....
Ukitoa sababu ya kwanini mlidumu muda mfupi hivyo itakuwa vizuri. Binafsi mahusiano yangu mafupi kuliko yote yalichukua week moja.
Nlijiona tu siko sehemu salama nikaamua kukatisha kwa kumtafutia sababu isiyo na kichwa wala mguu na kuendelea na yangu.
Hadi leo yule kaka ananilaumu na ile sababu niliyomtafutia hajaikubali milele.
Hahahaha[emoji23]Mimi dakika 5 tu nimkutana nae stendi nimetongoza kakubali. Gari ya Gongo la mboto imefika, kaniandikia namba. Kaondoka kupiga simu haipatikani. Mpaka Leo namba haipatikani huu mwaka Sasa