Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

[emoji1787] ila wanaume na hiyo kauli yenu ya sitofanya kitu kabisa huwa inaniacha hoi
Mm hata cku moja siwez mdanganya dem eti stofanya ktu hapaaana huwa spendi kupotezeana muda. Kuna cku nimepata looseball nkaingia nalo geto. Mida ya kulala ananiambia yy analala kwny kiti, nkamwambia haiwesekani ulale kwenye kiti akat kitanda kpo. Akakaza kwamba nkitaka alale ktandan bas nimuahid kwamba atutafanya ktu. Nkamwambia live "mm siwez lala na mwanamke afu nisimt.o.m.be. bas bwana kukawa na kaubish ka hapa na pale mwishoe nkamwambia bas fanya hv kwa kua saiz bado mapema (ilikua saa 6 ucku) wacha nkurudishe nlikokutoa mana nsije nkakubaka buree. Akakubali nkamrudisha
 
Inategemeana na mtu tu braza.Kuna limoja nilikutana nalo tena huko huko tanga yan zitoo kama gogo la Mbuyu
 
Ahahahah....hii ilikua geometric progression mkuu 😂😂😂
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mshana jr nilete vitumbua?
 
Si mseme mnauza ili tujue moja.
Nimekutongoza umekubali, ndani ya saa 1 unaanza kuniambia umeme umeisha, gesi sijui unadaiwa n.k
Huwa inakata stimu sana. Utakuta mwanamke anakuomba 50K unamwambia hauna anakasirika wakati yeye hana hiyo hela.
Na hizo. Nyege zenu siku ya kwanza mnazitangaza ili iweje??

Mbona mnapenda kujiona watakatifu sana,,wakati chanzo ni nyie

Ukitulia na hizo hamu hakuna atakae kuomba pesa zaidi ya dada zenu.
 
😀 😀 😀changamoto sana ndo maana hata mwanamke wa kubebishana sana sijui kutumiana msg siku nzima yani hatudumu hata siku moja
Ahahahaha....braza hata mimi nilikua kama wewe ila bwana nina almost mwez sasa nachatishwa na katoto hapa mpaka najishangaa ndio mimi au 😂😂😂😂..naweza chat almost siku nzima weekend..Af nashaangaa sijaombwa bado hela ndio nashangaa hapa kuna kitu lazima hakiko sawa nsije shtukiwa napigwa na kitu kizito chenye ncha kali bila kutegemea maana siku hiz aahh hapana
 
Wewe wiki?
Mimi Jana niliingia kwenye mahusiano na mdada mmoja maeneo ya Kimara golani. Tulikaa meza moja nikaagiza kitimoto tukashirikiana kula, baada ya beer tulihamia Gest ya jirani kufika saa tano usiku akavunja mahusiano kisa anawahi watoto wake. Yeye ni single maza
 
Late mama alinipatia story moja kwamba wakati mapenzi yakiwa moto hawajafunga ndoa bado wakifika hotelini baba alikuwa anatoa hela yeye ili alipe lakini mama akawa anakataa anamwambia hata yeye (mama) Ana mshahara hivyo atalipa yeye.
Lakini hapa angalau baba alikuwa anaonesha uanamume wake kwa kutaka kulipa ndipo bi mkubwa akawa anakataa
 
Hahaha
 
Alikupiga pumb.u mara ngapi huyo jobless,
 
Mimi week moja tu , yule mhaya alikuwa na shepu moja matata sana , chocolate calor , ila shida ilikuwa sura naona baba ake alikamia shoo hadi akatoa copy Kwa binti yake nilipopata utelezi nikasepa Kwa speed ya mwanga, tukikutana hadi leo ananilaumu japo amoelewa.

Mimi nabaki kumsingizia shetani wa watu kumbe tamaa zangu tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…