Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Mahusiano mafupi kuliko yote ushawahi kuwa nayo

Bora umetupatia somo
Hope wamekusikia
Aliyewatia somo mwenyewe kashatoa boko hapo juu anapanda mabasi mabovu ya kuharibika njian kufika usiku wa manane.Af analala gest badala ya Hotel 😂😂😂
 
Wanawake wa hivi hawapo. Haya ndiyo mapenzi. Mapenzi maana yake ni upendo wa kushare hisia na vitu.
Unakuwa na mwanamke ambaye hawezi kukusupport hata kimawazo tu. mkikutana yeye anawaza atakavyokupiga mzinga.
Late mama alinipatia story moja kwamba wakati mapenzi yakiwa moto hawajafunga ndoa bado wakifika hotelini baba alikuwa anatoa hela yeye ili alipe lakini mama akawa anakataa anamwambia hata yeye (mama) Ana mshahara hivyo atalipa yeye.
Lakini hapa angalau baba alikuwa anaonesha uanamume wake kwa kutaka kulipa ndipo bi mkubwa akawa anakataa
 
Tulikutana mgawani macho yakakutana,nikamkonyeza akanirudishia mkonyezo..!
Haikuwa rahisi kumfuata alipokaa bali nilipomaliza nilienda kwa cashier nikalipa vyake na vyangu, kisha nikatoka nje nikamsubiri
Miaka hiyo hakukuwa na boda hivyo nilikodi baiskeli ya kumsindikiza aendako(alikuwa teyari keshatangulia)

Safari yetu iliishia shamba la migomba.. Kufumba na kufumbua alishasaula na kulala chini huku kachanua miguu.. Ilinichukua sekunde chache kujua ni chizi fuleshi
Mbio nilizotimua baada ya hapo sitakaa nikimbie vile tena maana kugeuka nyuma kaniungia uchi wa mbuzi huku akipiga kelele kwamba lazima nimuoe..[emoji24][emoji24][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Hahaha aling'ang'ana kwenda kwaya me nkamwambia asiende namhitaj mda huo. Nlijua kabisa ataenda ...aliporudi akakutana na kibuti saaafii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sasa mbona ni kama ulikuwa unamtafutia sababu ya kibuti Naka?

Sent from my SM-M115F using JamiiForums mobile app
 
Si mseme mnauza ili tujue moja.
Nimekutongoza umekubali, ndani ya saa 1 unaanza kuniambia umeme umeisha, gesi sijui unadaiwa n.k
Huwa inakata stimu sana. Utakuta mwanamke anakuomba 50K unamwambia hauna anakasirika wakati yeye hana hiyo hela.
[emoji23][emoji23][emoji23] poleni
 
Back then kabla sijaoa, tulitamaniana na dada mmoja ambaye alikuwa ndio kaanza ajira mpya, akiwa amepanga maeneo ya sinza kwa Remy.

Wakati wote tulikuwa tunakutana kwenye kituo cha daladala sinza kwa remy, labda yeye akiwa anashuka kwenye gari au ndio anapanda kuondoka.

Siku hiyo, nikasema na liwalo liwe. Nilipomwona tu, nikaenda kupaki gari kwa mbele. Nikamfata kwa miguu. Tukatembea hadi kwake. Tulipofika tu, akaniambia kuwa siku hiyo ilikuwa zamu yake kununua umeme-basi nikajikamua nikatoa 20k, nikampa. Baada ya stori za hapa na pale nikala tunda halafu nikaondoka.

Kesho yake asubuhi, nilipowasha simu (kwa sababu enzi hizo tulikuwa tunashauriwa kuzima simu wakati wa kulala) zikaingia msgs zake kama tatu, zote zikiwa na ujumbe mmoja, kuwa mwenye nyumba kamkumbusha kulipa kodi, na anatakuwa alipe asubuhi hiyo, kwa hiyo ananisubiri kwa kituoni kwa remy nimpe laki 8.
Basi huo ukawa mwisho wetu. Nilimwacha in less than 24hrs.
800k? Hatari mno. Wewe ulipotoa ile 20k ya umeme akaona yes nshapata pa kuchota hela.
 
kama una hela ukiombwa laki n ammekutana leo unatumaa tuu
Utatuma mara moja tu. Raha ya kumtumia hela mwanamke ni na wewe uwe na uwezo wa kumtumia. Kwamba unaweza ukamwambia njoo muda wowote akaja ukamla. Sasa mie niko Dar mwanamke yuko Singida eti niwe natuma hela si ufala huo. Bora niwe nimezaa naye hapo sawa.
 
🤣 ila wanaume na hiyo kauli yenu ya sitofanya kitu kabisa huwa inaniacha hoi
Warembo mnapenda kudanganywa bwana sijui ni kwanini. yaani mwanaume ukiwa mkweli basi jiandae kungoja sana hata mwaka unaweza ukawa umewekwa kwenye foleni tu unaabiwa unafikiriwa ombi lako.

Kumla mwanamke papo kwa papo ni lazima umdanganye. kama Nyoka alivyofanya kwa Eva pale Eden.
 
Usiku mmoja
Nilitongozwa nkatumiwa kanyimbo ka dedication
Usiku huo huo akaniombe kesho niende kwake akanigegede
Bado sijamjibu namtafutia jibu kenge yule…
 
Nimi hàta dakika haikusha maana aliniuliza kama nimesajili laini kwa alama za vidole nikaona yaisha alijuwa anaitwa sikudhani 🤣🤣🤣🤣
 
Walaaa nilimkataza kwakua nilitaka kumuacha... yalikuwa mahusiano ya kikanisa tunda mpaka ndoa...
Ni kama wewe mwanamke akwambie usiende kazini bika sababu ya msingi.
Mm nilidhani wanawake Wote mnapenda wanaume ambao kwenye mahusiano hawataki sex hadi ndoa, kumbe Nakadori
 
Nilishawahi kuwa kwenye mahusiano, sijui yana husiana na nini.

STAMINA.
 
Back
Top Bottom