Inaendelea........6
.............................
Pale nilipokua nafanya kazi nikaja kuacha kazi baadae,niliacha kazi maana nilipata ajira serikalini ila ktk mji ule ule nilokua naishi,.
Kwa elimu Yangu na uzoefu nilokua nao nashukuru Mungu niliajiriwa serikalini na kupata nafasi nzuri tu,nafasi ambayo nilikua Nina watu wa chini yangu wengi ambao waliniona kama bosi wao japo sikua bosi mkubwa ila niliwaongoza na kuwapangia majukumu wengi nilowakuta pale,nilifanya kazi vizuri na kujifunza mengi zaidi na nilikua na ushirikiano mzuri baina ya walio chini yangu na juu yangu pia.
Nakumbuka baada ya miezi sita nilipata mteja ofisini kwangu ambae alikua mdada amezaliwa mwaka 1989,Huyu aliitwa Hawa,Hawa alikua binti mzuri,mrefu,mweupe,ana umbo kubwa kiasi,amefungasha mzigo sio wa kitoto,pamoja na kuwa alikuja amevaa gauni LA kitenge lakini umbo lake na msambwanda vilionekana vizuri,baadae nilikuja kumtambua kuwa ni mzaliwa wa mkoa wa Dodoma,alijifunga ushungi wake mzuri.
Nilimkaribisha nae alikuja kwangu kulalamika kuwa mtendaji wa chini yangu anamzungusha kila cku anapokuja na hashughulikii tatizo lake,tatizo lake lilihitaji MTU afike kwake na kuangalia eneo lake kisha kutoa maamuzi,tatizo hilo lilihitaji mtaalamu wa mambo ya afya maana alikua anasumbuana na majirani waliokua wanatiririsha maji machafu kuja upande wa kiwanja chake,Alisha sumbuana sana na afisa mtendaji wa mtaa wake lkn inavyonyesha mtendaji wake hakuweza kumsaidia hivyo akaamua kuja ofisini napo akakutana na MTU anamzungusha tu bila kuchukua hatua,..Mimi sikua MTU wa idara ya afya ila Nilikua na uwezo wa kumuamrisha MTU wa afya akacheki tatizo kwa huyu Dada,.
Nilimsikiliza tatizo lake kisha nikamwomba nilishughulikie,akaniomba namba zangu kisha akaondoka.
Cku ya tatu toka afike ofisini akanipigia kuuliza km nimeweza kufanya chochote,kiukweli sikufanya chochote ila nikamwomba aje ofisini cku inayofuata asubuhi.Nilivutiwa na umbo lake japo ckutamani kuanzisha mahusiano ila tu nilitaka nimwone tena uzuri wake,.Cku inayofuata SAA tatu kamili Hawa huyu hapa ofisini kwangu,tukasalimiana kisha nikamwambia tutaondoka wote kwenda kwenye eneo lake,alifurahi kwakweli.,nikapiga cm kwa kijana mmoja afisa afya nikamwita ofisini akaja,nikamwambia tutaondoka Mimi na yeye na Hawa kwenda kucheki tatizo kwenye eneo lake,nikampigia simu afisa mtendaji wa mtaa wake na kumwambia kuwa tunampitia ofisini kwake kuna mwanachi wake kaleta malalamiko ofisini kwa mkurugenzi.
Tukatoka ofisini kwa kutumia gari ya ofisi hadi ofisini kwa mtendaji wa mtaa wake Hawa,tukaondoka hadi nyumbani kwake,ilikua mtaani tu uswahilini kwenye kanyumba flani kadogo kadogo kamechakaa sana,hata umeme hakana,....
Tulivyofika akaeleza tatizo lake pale,na mtendaji akakiri kuwa analifahamu hilo tatizo ila bado alikua analifanyia kazi,mtendaji akasema kwa kuwa wote na afisa afya wako pale Leo basi watashughulika na kutoa maamuzi,..
Tukaenda kwa wale majirani wa Hawa na afisa afya na mtendaji wakapiga mkwara mzito kuwa kufika Leo SAA Tisa pale pawe pakavu na wakikuta maji machafu bado yanatiririkia kule kwa jirani yao watarudi kupiga faini kubwa kwa uchafuzi wa mazingira.Hawa alishukuru sana na kutaka kutoa sh 40,000 kama shukrani ili tukanywe supu akimaanisha elfu kumi kwa kila mmoja,(Mimi,mtendaji,afisa afya na dereva wetu).
Nikamkatalia na kumwambia ile ni kazi yetu na hapaswi kutulipa,akajaribu kunishawishi lkn nikagoma,na wakati huo akinambia alikua ananitext kwenye cm yangu ili wale wengine wasishtukie.Baadae tulimwacha pale na kumwambia kama kuna lolote basi awasiliane na mtendaji wake na asipomsikiliza anicheki mimi.Ishu ya Hawa ikawa imeishia hapo nasi tukarudi kuendelea na mambo mengine.
Baada ya cku 2 Hawa akanipigia cm kunishukuru sana kwa msaada niliompa,ila kuna kitu nilijiuliza,binti mzuri kama yule anakaaje kwenye kale kanyumba kabovu vile?,kapo uswahilini,choo kibovu hakijapauliwa wala hakina mlango,na hata umeme na maji hakuna,binti mwenyewe mzuri,anajipenda na anaonekana anafanya kazi zuri tu.
Ikabidi nimuulize kama ana nafasi aje ofisini,nae akakubali akijua ni masuala ya kule kwake.
Alipofika baada ya kusalimiana na maongezi mawili matatu nikamuuliza pale tulipokwenda ni nyumbani kwake?..Akajibu kuwa ile ni nyumba ya urithi wa mama yake,baba yàke alifariki muda mrefu yeye akiwa shule ya msingi na mama yake amefariki mwaka uliopita,akasema yeye ni mtoto pekee na hana Dada wala kaka wala wadogo zake wa kuzaliwa tumbo moja,na baada ya mama yake kufariki basi nyumba ile ya mama yake yeye ndio anaimiliki na aliamua kuweka mpangaji maana yeye haishi pale bali amepanga mahali pengine.Akafunguka zaidi kuwa sasa anafanya kazi kwenye shirika moja pale mjini ila sipendi kulitaja hapa.Akanikaribisha kwake jioni nikitoka kazini maana nimemsaidia sana.
Jioni kweli nilipotoka kazini akanielekeza kwake nikafika na ka Toyota Porte kangu,.Nikaingia hadi ndani..
Kwake palikua pazuri sana tu,na alipanga chumba na sebule.
Kitu cha kwanza nikauliza hapa unaishi na nani?.....
Wanawake bwana?.....Mungu anawaona,
Akajibu pale anaishi mwenyewe,...akadai kuwa aliolewa na jamaa ila wakaachana muda mfupi tu na sasa anaishi mwenyewe,Nikapenda sana jinsi anavyoishi,kwenye TV kaweka channel ya dini panasomwa quran,mezani nikaona msahafu wa tafsiri akasema huwa anasoma akiwa hana kazi nyingi jioni.Tukaongea sana hadi SAA mbili ucku,nikamweleza kuwa Mimi Nina mke.
Akapika nyama na ugali tukala,nikajiachia kama baba mwenye nyumba.Baadae nikaaga na kuondoka kwenye SAA mbili na nusu.
Basi tukaendelea kuwasiliana Mara kwa Mara na tukazoeana sana.Akanikaribisha tena kwake jioni nyingine nije nimpe kampani maana anadai yupo bored sana,nikaenda kweli.
Tukapiga stories nyingi,akapika nikala,huku akinisifia kuwa mkewangu anafaidi sana,hapo ndio akapandisha mashetani yangu ya NGOno.nikajikuta narusha mistari Mara kabla cjafika mbali akaja karibu yangu na kunipapasa paja huku akiniambia nisiendelee kusema mengi,yeye akadai alishavutiwa nami tangu pale nilipoonyesha busara na kumsaidia kwenye suala lake,tukaacha maongezi na kuanza kudendeka Mara tunatoana nguo pale pale sebuleni Mara akakamata koni na kuinyonya vizuri,Mara kidogo akaikalia...
Aloo tulikulana kavu kavu cku ile na Hawa maana ckujiandaa kwenda kula MTU na hivyo sikua na zana(Nashukuru Mungu alikua mzima maana nilikuja kupima miezi ya mbele),Kiukweli Hawa anajua mapenzi bwana,mtoto chuchu hazijanyonywa na mtoto bado,mtoto yupo tight hatari,nikajikuta SAA tano inanikuta pale ikabidi niage na kuondoka.nikafika home na kuleta uongo wangu bahati mzuri nikaeleweka............
........itaendelea soon