Mahusiano ya kimapenzi kati ya kaka na dada wa tumbo moja

Inategemea ukaribu wao dada na kaka, na pia inategemea mazungumzo yao kaka na dada ni aina gani, hivi viwili huleta mahusiano ya karibu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa mtu mwenye akili sawa, hata ukiwa unaimbisha kabinti dada yako wa damu akapita, stimu zinakata sasa sijui unaanzaje kushika hata chupi ya dada ako
 
Mabinti siku hizi wanamavazi ya ajabu sana.
Niliwahi kuongea na ndugu mmoja,
Alinambia x anavaa vibaya sana.kwa mwanaume rijali yoyote hawezi kuvumilia uvaaji ule akamwacha apite salama.
Alinambia hajawahi fanya naye chochote,
Ila aliwahi mtamani kwa sababu ya mavazi yake anayovaaa

My take....wazazi wawe waangalizi na mavazi wanayovaa watoto mbele ya ndugu zao.kaka mmoja...
Acheni uzungu...
 
Haya mambo yanawatokea tu wale wanaoyaanza wakiwa wadogo hata wasijue kuwa sio sahihi..wakija kujua its wrong wamenogewa,wanateseka kuacha,kama ushoga vile


There's no way una mahusiano na watu nje ya familia afu uweze kuwa na mahusiano na ndugu zako pia..haipo
 
Kuna ukweli hapa
 
1. Usiruhusu Watoto wako wa kike na wakiume kulala chumba kimoja au kitanda kimoja hata kama ni wadogo kamwe usiwazoeshe kulala kitanda kimoja, weka mpaka kati ya wakike Na wakiume.

2. Zungumza Na wanao mara Kwa mara, wafumdishe maadili mema haswa ya kuheshimiana Na pia kujitambua , dada ni nani Na kaka ni nani.

3. Hakikisha wanao wanapata mafundisho ya kidi, nyumbani au kanisani au madrasa au msikitini bila kukosa.

4.
 
mara nyingi hii inatokana na too much uzungu na jufungia watoto ndani..ni bora kumfungia kijana wa kiume na beki 3 ndani kuliko yeye na dada yake hususani kwa vijana waliopo kwenye kipindi cha balehe.......mwisho wa siku huwa wanakulana wenyewe kwa wenyewe...

jamani jambo la msingi ni kuwapa elimu ya afya ya uzazi na kuwapa freedom huku ukimonitor mwenendo wao..lasivyo utavuna viumbe visivyokuwa na majina....
 
Hilo la kufuatilia ukoo nakubal asee..niliishi sehemu moja..
Kaka na Dada walikuwa wanakulana ikaleta shida.. Uncle yao mmoja akawa anwapa hela ya guest wasiwe wanafanyia nyumbani..
Kuja kuskia..karbia robo ya ukoo wanakulana..ko ishakuwa kama laana wao wanaona kawaida tu
 
umechambua kwa usahihi kabisa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umetoa somo la kutosha hongera na asante kwa ushauri mzuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…