bright pledge 255
Senior Member
- Aug 15, 2022
- 140
- 172
du pole sana, jaribu kwenda kwenye hospitali kubwa yaani ambapo wapo ma specialist ,achana na madaktari wa kawaidaNO TESTES,NO SPERM........
Hakuna sperm rafiki 😪😪😪😪
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
du pole sana, jaribu kwenda kwenye hospitali kubwa yaani ambapo wapo ma specialist ,achana na madaktari wa kawaidaNO TESTES,NO SPERM........
Hakuna sperm rafiki 😪😪😪😪
Zimeishatolewa rafiki hakuna kilichobakia ni empty kabisa....du pole sana, jaribu kwenda kwenye hospitali kubwa yaani ambapo wapo ma specialist ,achana na madaktari wa kawaida
Maji maji tu kama kamasiWakati unapump wamatumbi wanatoka au unahis utamu lakn hewa tupu inatoka au majimaji pia yanatoka?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Pole sana mkuu,Sana tu licha ya kuwa kuna muda hisia zinakata
Wazo zuri ila kuasili nadhani itakuja baadae huko at 50's ....hivi sasa naendelea kuchakata akili na kuona alternatives zingine....Pole Sana..maana ukweli Ni kuwa kadri MDA unavyo kwenda ndio uwezo wa kwenye Yale Mambo yetu unapungua.
.ungekwenda tu SA.
Acha kujifikiirisha MDA huo huna Tena ..asili watoto ulee.. mwanamke akija kukuacha ..kisa hamna kitu kule ..uwe na watoto ...
Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
Kwanini uasili mtoto? Ukapandike mke azae mkuu.Wazo zuri ila kuasili nadhani itakuja baadae huko at 50's ....hivi sasa naendelea kuchakata akili na kuona alternatives zingine....
Wazo kuu kwa sasa ni hili la kutafuta sperm nifanye upandikizi walau ila bado nafsi inakataa kuchukua mbegu ya mwanaume kuleta kwanguKwanini uasili mtoto? Ukapandike mke azae mkuu.
Kinachoota na kuzaa shambani kwako ni chako...mengine ni mapokeo tu.
Kuwa mwanaume acha kuwaza hadi kujikosesha amani.
Ikiwa vipi tafuta sperm dona akakutolee upandikiziwe kwa mke yaishe
[emoji3516]Inaendelea
Baada ya daktari ****
Wazo kuu kwa sasa ni hili la kutafuta sperm nifanye upandikizi walau ila bado nafsi inakataa kuchukua mbegu ya mwanaume kuleta kwangu
Sio wewe unaamua badi dunia imekuchagulia mambo 2 upate nyege za mtu au ukose kabisa mtotiInaendelea
Baada ya daktari ****
Wazo kuu kwa sasa ni hili la kutafuta sperm nifanye upandikizi walau ila bado nafsi inakataa kuchukua mbegu ya mwanaume kuleta kwangu