Dr Msweden
JF-Expert Member
- Nov 3, 2020
- 2,629
- 9,530
Shukuru Mungu tu kuna wengine wana testes zote lakini hawana uwezo wa kuzalisha,kuna wengine wana watoto lakini watoto hao hao wanakuja kuua wazazi wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa na Testes unaweza toa mbegu zako wakampandikizia mwanamke ukapata dume lako la mbegu likakujari uzee ila siyo mimi....😪😪😪😪Shukuru Mungu tu kuna wengine wana testes zote lakini hawana uwezo wa kuzalisha,kuna wengine wana watoto lakini watoto hao hao wanakuja kuua wazazi wao
Pole ila mimi ni mvivu kuandika na pia natumia simu hivyo nahofia kuandika uzi mrefu na baadae ukafutika nikaanza upya....ni ndefu kidogo vumilia....😪😪😪Sasa lengo lako la kusimulia vipisi vipisi pasipo kumaliza ndio nini?;unakera Hata kama ni mgonjwa.
Najitahidi ila ninapokuwa pekee yangu haya maswali yanakua magumu kujibu
1:-Nahangaika kutafuta mali namtafutia nani.?
2: -unapokosa korodani kuna homoni zinapungua na utendaji kazi unapungua ....
Sasa namuangaikia nani..?
3:-Je naweza kurudisha korodani hizo?
Sijilinganishi na mtu....ila hakuna raha duniani kwa mwanaume kama kupambana mtaani kuzisaka halafu ukirudi umechoka mke anakupokea mizigo mtoto wako anakukimbilia kwa furaha na shibe ya kile unachomtafutia......Ukiishi kwa kujilinganisha na, watu wengine itakuwa ngumu kwako kujiona una thamani yoyote duniani
Jiulize, kwani ukifariki na mali ukamuachia mtoto ambaye atazitawanya au la mtoto afariki kabila yako, zitakuwa na faida gani
Sumu kubwa tunayolishwa ni kuamini kuwa thamani zetu zipo attached na vitu au watu na pale tunapowakosa tunaona chochote tulichonacho hakina faida.. Ila huu ni uongo
Wewe ndiye mtu wa kwanza anaestahili kuinjoi na kufurahia jasho lako kabla ya yoyote yule
Jipende na ujithamini kwa kila kitu ulichonacho lakini kwa kuwa wewe unaona thamani yako ni watoto
Bhasi jaribu uende hata kwa watoto yatima au wagonjwa wasiojiwwza, watolee chochote ulichonacho, zile shukrani pamoja na maombi yao pamoja na kukutegemea, sidhani kama kuna mtu huwa anatoka nje yao bila kujihisi significant kwenye dunia hii
Kiufupi jitahidi utengeneze system ya maisha ambayo itakidhi mahitaji yako na kukufanya ushukuru na kutumia kile ulichobarikiwa nacho. Kuwa na system itakayokuchukulia ww kama ww na sio unavyotamani uwe
malizia story pia 😁😁.. All the best
Sija-complicate sehemu mimi nilikuwa mtoto nisiye na ufahamu wowote kuhusu hili kuja kujitambua it's too late...Relax..umecomplicate sana hili jambo....tulia kwanza...Muombe Mungu akufunulie njia
Mie naona umekata tamaa....Mungu ndo jibu...tulia...kama hakuna tatizo siku isiyo na siku huenda ukafunguliwa kimaajabuSija-complicate sehemu mimi nilikuwa mtoto nisiye na ufahamu wowote kuhusu hili kuja kujitambua it's too late...
Ok ata hivyo hakuna namna ni kuishi tu kama vile sikuwahi exist.....
Mkuu hapa watu wanajaribu kukupa moyo na tumaini kuwa sio wote waliozaliwa walipata watoto. Na kama tatizo limeshatokea na hakuna jinsi toa hayo mawazo ya watoto ishi maisha yako na kwa sasa endelea kujisaidia kuondoa zile outcomes zitokanazo na hilo ttz mfano hasira kukosa hamu ya tendo n.k n.k kwa kutafuta therapy. Pole sana sanaSijilinganishi na mtu....ila hakuna raha duniani kwa mwanaume kama kupambana mtaani kuzisaka halafu ukirudi umechoka mke anakupokea mizigo mtoto wako anakukimbilia kwa furaha na shibe ya kile unachomtafutia......
Sijilinganishi na mtu....ila hakuna raha duniani kwa mwanaume kama kupambana mtaani kuzisaka halafu ukirudi umechoka mke anakupokea mizigo mtoto wako anakukimbilia kwa furaha na shibe ya kile unachomtafutia......
Safi mkuu, Mungu akuongoze katika malezi yaliyo mema.Umetupa funzo kubwa wazazi tuzaapo tuwe tunawacheck wtt wetu yani umenifanya nikaangalie muda huu katoto kangu ka two yrs korodani zake.