Hata kama akitoa sperms haziwezi kuwa na vile viluwiluwi. Zikuwa mfu kutokana na joto la tumbo. Hapa lazima aelewe kwamba korodani ziligomea tumboni wakati wa development hazikushuka!!vipi kuhusu sperms zinatoka au la?
Kuna wanawake wana maksudi yaani anakubambikizia mimba wakati hana mahara pa kuipeleka (kwani aliyempatia hana kitu) ila siku mwenye mtoto akipata pesa, hizo dharau utakazokutana nazo siyo za nchi hii....mwishoni anakupatia ukweli wote yaani sipati picha utakavyolia na mtoto anaondoka na kukuacha na aibu ya maishaπͺπͺπͺπͺπͺπͺ[emoji3516]
MKUU,
KWA SASA WEWE JIKITE KWENYE TASNIA YA UDUFUAJI BUMUNDA BILA WASIWASI,
KUNA "KE" WENYE TABIA YA KUBAMBIKIA WATU MIMBA.
UNKNOWINGLY WATAKUBAMBIKIA MIMBA,
NA WEWE UIKUBALI BILA PURUKUSHANI,
HAPO UTAKUWA UMEMALIZA KESI!!!
UMENIELEWA VIZURI WEWE??
Daah kuna mdada aliniandama sana anataka mchezo nami nikaona hii mbona sio kawaida nikashtuka kumbe amebeba mimba anachagua baba wa kulea mtoto.[emoji3516]
MKUU,
KWA SASA WEWE JIKITE KWENYE TASNIA YA UDUFUAJI BUMUNDA BILA WASIWASI,
KUNA "KE" WENYE TABIA YA KUBAMBIKIA WATU MIMBA.
UNKNOWINGLY WATAKUBAMBIKIA MIMBA,
NA WEWE UIKUBALI BILA PURUKUSHANI,
HAPO UTAKUWA UMEMALIZA KESI!!!
UMENIELEWA VIZURI WEWE??
Wala usilee mbegu ya wengineSuala la kulea mbegu za wengine labda huko baadae sana
Naunga mkono, good Idea,na testosterone therapy kwa wingi.KWA SASA WEWE JIKITE KWENYE TASNIA YA UDUFUAJI BUMUNDA BILA WASIWASI,
KUNA "KE" WENYE TABIA YA KUBAMBIKIA WATU MIMBA.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Sasa lengo lako la kusimulia vipisi vipisi pasipo kumaliza ndio nini?;unakera Hata kama ni mgonjwa.
Na hapo yawezekana alikuona na chochote kitu....vipi siku baba harari wa mtoto akazipata..??πππDaah kuna mdada aliniandama sana anataka mchezo nami nikaona hii mbona sio kawaida nikashtuka kumbe amebeba mimba anachagua baba wa kulea mtoto.
Nafikiri kila akinikumbuka hana hamu kwa jinsi ambavyo niliruka viunzi.
Ndipo alipojifungua siku moja akarusha picha na baba wa mtoto...nilicheka sana..usoniulize nilicheka nini
Najua alichopigia hesabuNa hapo yawezekana alikuona na chochote kitu....vipi siku baba harari wa mtoto akazipata..??πππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaahWakati unapump wamatumbi wanatoka au unahis utamu lakn hewa tupu inatoka au majimaji pia yanatoka?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa lengo lako la kusimulia vipisi vipisi pasipo kumaliza ndio nini?;unakera Hata kama ni mgonjwa.
Ila walimwengu mna maneno balaa. Hamjui hata kubembeleza mgonjwaπ€£π€£π€£π€£Sasa lengo lako la kusimulia vipisi vipisi pasipo kumaliza ndio nini?;unakera Hata kama ni mgonjwa.