Maisha magumu ni sababu kubwa inayofanya watu waanzishe dini

Tunasikia katiba imepita na wakati ni kwasababu binadamu ameamusha ubongo wake kwakufikri zaidi kunavitu vingi vinabadilika 'we need adaptability skills'
 
Mungu ni mmoja tu hakuna cha nafsi tatu acha kumshirikisha Mwenyezi Mungu unakufuru
Mkuu wangu mkienda hivyo hautakuwa mjadala wa kisomi[emoji1787][emoji1787]

Mwenzako ndiyo imani yake inavyosema...Yesu ni nafsi miongoni mwa zile 3 za Mungu...ambazo ni WAYAHUDI NA WAISLAMU tu ndio wanaopinga kwa maandishi yao..
 
Kwenye neno halisi la kigiriki hawakusema kona kuna mtu alishatolea ufafanuzi hili. Neno halisi lilimaanisha miduara.
 
Umesoma ilmu ghaibu...

Hiyo ilmu ghaibu ni elimu gani mkuu?!!!
 
Tunasikia katiba imepita na wakati ni kwasababu binadamu ameamusha ubongo wake kwakufikri zaidi kunavitu vingi vinabadilika 'we need adaptability skills'
Kipindi cha katiba kupitwa na wakati huwa vifungu vyake havitumiki mpaka katiba nyingine ipatikane?!!![emoji1787]
 
Na ndo maan katika mijadala ya dini ukishaona mtu anajadili sijui Yesu alikaa kwenye nini mbona hapa imeandikwa hivi ujue huyo mtu hajakomaa kidini. Kama unataka kujadili dini jadili maswala ya imani. Je Amri kumi zinasemaje na Yesu alisemaje kuhusu hizo amri? Je Yesu aliziishi amri kama za Mussa?
 
Yesu hakuuwawa na wayahudi...acha kuwasingizia [emoji1787][emoji1787]

Kwanza wayahudi hawakuwa na adhabu za kuwatundika watu katika "misalaba"....hapa hebu pachunguze mkuu wangu....

Ni ushahudi upi unao kusema kuwa wayahudi hawakuelewa TRINITY....kwa kuanzia...nipe kwanza references za TRINITY kutokea katika BIBLIA ya kiyahudi kabla hatujaendelea....kwani usiponipa rejea kutokea huko...hautokuwa mjadala wa kisomi kunitolea rejea kutokea BIBLIA YA KIKRISTO kwani itakuwa ni utetezi wa "msukumo" binafsi tu [emoji1787]
 
Haya makanisa yaliyotuletea na kutuambia Bible ni neno la mungu ndio hayo hayo yalitaka kuwaua na kuwafunga Copernicus na Galileo ambao walisema dunia inazunguka Jua, kanisa zamani walifundisha na kuamini dunia ndio center of the universe na kila kitu hata jua vinazunguka dunia (uwongo mtupu)
 
Mbona kuna vifungu vingi vimeonesha quran nd ina assume kuwa dunia ni flat. Tena kuna sehem inachanganya inasema alitangulia kuumba mbingu ikaja dunia na kuna sehem inasema ilitangulia dunia ikaja mbingu.
Toa reference. Mimi nakupa reference hapa.

Book of Daniel, Chapter No.4, Verse No.10 and 11. It says… "In a dream, that the tree grew up into the heaven, and there when the tree grew up into the heaven, it grew up so much, that every one from all the ends of the earth, they could see the tree". Hii ingewezekana pale ambapo dunia ingekuwa ni Flat. Ila kwa dunia duara huwezi kuuona mti pande zote za dunia hata mti uwe na urefu kiasi gani. Kwahiyo hapa bibilia imedanganya.

Quran 79:30, says "And we have made the earth, egg shape"
 
Je wao hawaamini kuwa Mungu alimtokea Ibrahimu kama ilivo katika agano la kale?
 
Quran ilishaeleza muda mrefu namna solar system inavyofanya kazi kabla ya wanasayansi wa kileo kugundua.
 
Yaani mtu kapanda mlimani karudi na vipande vya mawe eti vimeandikwa amri 10, akasema zimetoka kwa mungu na nyie mnakubali na hakuna ushahidi wowote, ngano za Biblia sometimes nacheka sana
 
Achana na mambo ya historia kama tunajadili dini hapa. Natak unambie kwanini Muhammad alioa mtoto mdogo wa miaka 6 wakati Yesu aliagiza waachezi watoto wadogo waje kwangu kwa maan ufalme wa mbingu ni wao.
 
Je wao hawaamini kuwa Mungu alimtokea Ibrahimu kama ilivo katika agano la kale?
Kabla hatujaendelea...

Mkuu umekubali kuwa wayahudi hawakumuua yesu ?!!

Umekubali kuwa wayahudi hawakuwa na adhabu za kuwatundika wakosefu katika misalaba?!!
 
Achana na mambo ya historia kama tunajadili dini hapa. Natak unambie kwanini Muhammad alioa mtoto mdogo wa miaka 6 wakati Yesu aliagiza waachezi watoto wadogo waje kwangu kwa maan ufalme wa mbingu ni wao.
Sasa mimi na wewe nani anajadili historia. Yani maandiko ya kitabu chenu unayaita historia. Ina maana yashaexpire au. Mnafikiria kuyabadilisha au kuandika injili nyingine
 
Yaani mtu kapanda mlimani karudi na vipande vya mawe eti vimeandikwa amri 10, akasema zimetoka kwa mungu na nyie mnakubali na hakuna ushahidi wowote, ngano za Biblia sometimes nacheka sana
Umeona mambo hayo sasa nd ambayo shetani amewafunga. Unaacha kujadili hayo yaliyoletwa wewe unajadili jinsi yalivyoletwa aisee. Tuambia kuiba ni vizuri au sio vizuri? Uzinzi na uasherati unafaa? Je kuabudu sanamu kwafaa? Je kuua kwafaa? Je kumzema jirani yako uongo kwafaa? Je kumtamani mke wa jirani yako kwafaa? Kutopumzika baad ya kazi za siku sita kwafaa? Je kutomuheshimu baba yako na mama yako kwafaa? We unakuja sijui na mambi ya mawe hayo hayakuhusu yaliwahusu wao.
 
Kwenye imani hapo ndiyo muhimu sana wiki 4 zilizopita nilikuta watu wanabishana kwamba kwanlni Mungu hamungamizi shetani kama ni kweli ana mpenda mwanadamu nikawajibu shetani nikwaajili ya binadamu kujifunza' 'reflective practice' nakwamba chaajabu nikwama shetani ukimuomba anajibu kwa wakati lakini Mungu anajibu wa wakati anaotaka yeye maana anatujua vizuri kwa maana nyingine unapokuwa msafi wa kiroho unakuwa karibu na Mungu hatakujibiwa unajibiwa kwa wakiti wekeni vifungu kwa hili nilolisema
 
Quran ilishaeleza muda mrefu namna solar system inavyofanya kazi kabla ya wanasayansi wa kileo kugundua.
Christianity ilikuwepo tangu 1st century na Islam ilikuja sana in 7th century, kwa hiyo unaweza kuona hiyo knowledge ilikuwepo tayari so sioni ajabu kama uislam walipatia, halafu nyie mnajua dunia ipo billions of years leo mnataka kutuambia vitabu na hadithi zisizo na kiaka hata 1000 ndio neno la mungu na kila kitu na asiyeamini ni moto
 
Achana na mambo ya historia kama tunajadili dini hapa. Natak unambie kwanini Muhammad alioa mtoto mdogo wa miaka 6 wakati Yesu aliagiza waachezi watoto wadogo waje kwangu kwa maan ufalme wa mbingu ni wao.
Mkuu....

Genesis 1:28

Wayahudi walikuwa wanaoana kuanzia kupevuka(12 mpaka 15 kwa wasichana)....

Je una reference kuwa Muhammad alimuoa binti wa miaka 6 na akaanza kukutana naye kimwili kipindi hicho ama alimsubiri apevuke?!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…