Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

Wewe ni kinyozi?
 
WAtu wa nchi hii wabinafsi sana mkuu
 
Umesema wanakesha makazini maana yake kuna ujira.
HTa mimi hukesha kazini hayo sio mareso...hawa hawajui wanamsubiri nani
 
Hapa ndipo mnaanzaga kujikataa, sasa kwani ukisema ukweli wewe ni bodaboda kuna shida gani?
 
Inategemea location
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…