Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Vijana wengi hasa chini ya 27 wanaofanya uafisa usafirishaji pesa wanapata ila ulevi wa pombe, bangi na mirungi pamoja na kuhonga sana ndio kunawagharimu, hawawazi kesho.Basi wateseke hadi ziwakae
Wanakula majani kama ng'ombe.