Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila mkuu,Hili nalijua sana lkn inategemea uko wp
Ninaunga mkono mapambano lkn ninasikitishwa na kukesha bila mtejaIla mkuu,
Ni bora kijana wa kiume atoke akahaso mtaani, hata kama ni bodaboda kuliko kumaliza chuo na kubweteka kulala ndani tu...
Hakuna mitaji ya kuwekeza biashara kubwa, watu wataishije, hakuna ajira rasmi...lakini pia hakuna maisha rahisi.
Huyo jamaa analinganisha bodaboda anaekesha hajui anamsubiri nani na mtu anaefanya night shift Ulaya akilipwa si chini ya €15 kwa saa.Umesema wanakesha makazini maana yake kuna ujira.
HTa mimi hukesha kazini hayo sio mareso...hawa hawajui wanamsubiri nani
PambanaTanzania
Kutokujua kuwa huwajui ndilo tatizo kubwa nchi hii.Huyo jamaa analinganisha bodaboda anaekesha hajui anamsubiri nani na mtu anaefanya night shift Ulaya akilipwa si chini ya €15 kwa saa.
Muda wowote ni wa kulala, unafikiri rubani anaeyatakiwa awafikishe watu Marekani kutoka Africa kuhudhuria kikao cha biashara atalala huko angani usiku??Hakuna kitu nisichokipenda kama kufanya kazi usiku.
Usiku ni muda wa kulala
Wewe lala tuHakuna kitu nisichokipenda kama kufanya kazi usiku.
Usiku ni muda wa kulala
Kwanini aoe na anajua hajajipata.. vijana mnaona na mnajua hamna uwezo wa kuhudumia familiaWakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.
Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali
Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...
Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Ulikokotoa vipi ukapata 75%75% ni kweli
Mbona watu wanafungua maduka na wanakaa siku nzima bila wateja, bidhaa zipo na wateja hamna.Ninaunga mkono mapambano lkn ninasikitishwa na kukesha bila mteja
😂😂😂nacheka kama mzuri ila usiendekeze anaweza zima mtoto ikawa case watoto wenye wa Gen Z hawana tofauti na BroilersHakika kabisa mshahara hautoshi.Mimi Huwa namalizia hasira zangu za mshahara mdogo kuwa chapa watoto wenu fimbo nyingi kuanzia kumi.
Sehemu zingine makampuni mazuri kuanzia saa mbili asubuhi mpaka saa tisa malipo tofauti kutoka saa Tisa mpaka saa mbili inaongezeka na saa mbili mpaka saa nne hivyo hivyo tena kuanzia hapo inakua double na bonus ya wiki au mwezi juu yake hawa wadogo hawataki kutoka kujaribu fursa nje kisa kubaki kudanganyana tu hapa...Huyo jamaa analinganisha bodaboda anaekesha hajui anamsubiri nani na mtu anaefanya night shift Ulaya akilipwa si chini ya €15 kwa saa.
Kama kawa.Wewe lala tu