Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Vijana wengi hasa chini ya 27 wanaofanya uafisa usafirishaji pesa wanapata ila ulevi wa pombe, bangi na mirungi pamoja na kuhonga sana ndio kunawagharimu, hawawazi kesho.Basi wateseke hadi ziwakae
Ila boda boda hawa hawa wakiona sket wanachanganyikiwa ili hali wana wake majumbaniWakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.
Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali
Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...
Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Tusijifananishe na walioshindwa,Nimesema nchi nyingi sio nchi zote.
Boda boda ni kazi ila sio ajira.Boda boda wana pesa, sema wanapitia ukurasa wa 'ulimbukeni' unasababishwa na umasikin.
Hakuna watu wanajua kuhonga kama boda, unaeza kumuona kalala hana kazi lakini ana miadi na demu mkali kwenye expensive lodges.
Bodaboda ni kazi ila sio ajira.Si huyu huyu bodaboda huwa mnasema ana kipato kuliko mwalimu?
Hili nalijua sana lkn inategemea uko wpNa kuna bodaboda hadi leo anamilki boda zake tatu, moja anatumia na mbili amewapa watu wanamletea 10k kila mmoja.
Maisha hayajawahi kuwa rahisi hata kidogo, hiyo sekta unayoona kuna ugumu Sana wa maisha, kuna watu wanalaza 40k+ kwa siku, wanalea, wanasomesha na wanajenga.
Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.
Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali
Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...
Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Poleen sana nyie ndio mmeshikilia tabia za watoto wetu ila mnalipwa mshahara mdogo sanaMimi kama mwalimu naona sisi ndiyo tunashida sana kuliko bodaboda.kipato chetu hakitutoshi.bora kipindi Cha nyuma tulikuwa tunapata chochote kupitia ada na michango lakini baada ya kufutwa wametuvunja moyo kabisa.
Burundi kuna unafuuHaya sio mapambano ni mateso
Hakika kabisa mshahara hautoshi.Mimi Huwa namalizia hasira zangu za mshahara mdogo kuwa chapa watoto wenu fimbo nyingi kuanzia kumi.Poleen sana nyie ndio mmeshikilia tabia za watoto wetu ila mnalipwa mshahara mdogo sana
Na ndio hawahawa wanatucheka na kutukejeli wabeba boksi hatuna kitu tunaishi maidha magumu tunalala nje.Wakuu kuna wakati mawahurumia sana vijana wetu, wanapitia hali tete sana.
Nililazimika kutoka saa 8.30 na kurudi saa 9.30.
Kila kijiwe cha boda boda nakuta vijana wamelala chali usingizi juu ya boda boda zao hata hawasikii hata mlio wa gari.
Mji umetulia hautii matumaini yoyote kwao angalau hata kuokota abiria hata mmoja.
Kijana huyu:
1. Huenda pkpk ni ya mkataba au
2. Anadaiwa rejesho na mmiliki
3. Huenda ana familia inasubiria apeleke chochote
4. Ana deni mahali
Ooh Mungu saidia vijana wetu hii hali sio kabisa...
Mama Abdul wakumbuke vijana wetu wenye elimu na hawana ajira
Ndiyo kauli yao bhanaSi huyu huyu bodaboda huwa mnasema ana kipato kuliko mwalimu?
Unapoteza muda na huyo jamaa. Ana thread kabisa anakwambia Ulaya Kuna shida kuliko Tz.Mkuu usilinganishe Ulaya na Tanzania kwenye kupata mafanikio...idadi ya wanaofanikiwa Nchi zilizoendelea kwa wageni ni kubwa kuliko nyumbani..
Mashogaa wameingiajee hapaa? KhaaaahNdio wao mashoga
Sema kweliii? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe Canada haipo hivyo, vijana hata kazi hawataki wanabembelezwa