Maisha ya bongo ni magumu mnoo vijana wa kiume wanapitia pagumu...Hasa bodax2

Ila boda boda hawa hawa wakiona sket wanachanganyikiwa ili hali wana wake majumbani
 
Hili nalijua sana lkn inategemea uko wp
 

Mkuu maisha ni chain.

Hata wengine waliokuzidi wanaona na wewe unateseka while wewe unaona normal.

Huenda wewe una ki-Raum chako unaamka asubuhi saa 12 unaenda ofcn kwenye A/C lakini Mwingine Fogo anaamka saa nne LC 300 inamsubiri nje ,mtu huyo na yeye anakuonea huruma unateseka.

Huyo bodaboda na yeye akipita barabarani anaona jamaa mbavu wanachimba zege na sululu kuanzia asubuhi mpaka saa 12 jioni na yeye anaona wanateseka.

Kama unapata kipato kwenye shughuli yeyote siyo mateso.
 
Boda ni janga la taifa,wanalala kwasababu wamelewa chochote kwao halal,mirungi,bangi,gongo na wanawake wanaopakia wa nakopwa.
Sasa hapo unamuonea huruma ya nini wakati hata abiria ukipanda hizo boda anaweza kukuangusha popote akakuvunja miguu.
 
Na ndio hawahawa wanatucheka na kutukejeli wabeba boksi hatuna kitu tunaishi maidha magumu tunalala nje.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…