Mkanganyiko kukanganya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2022
- 1,204
- 5,053
- Thread starter
-
- #181
Kule nooouma sana,ukisikia muda wakusali utasali kwa roho ya kweli na unyenyekevu automatically πnilishalazwa mahabusu kwausiku mmoja tu na nilinyooka kama rula huko magereza sindontawehuka[emoji119][emoji119]
aiseeKule nooouma sana,ukisikia muda wakusali utasali kwa roho ya kweli na unyenyekevu automatically [emoji23]
Kule kuna vyumba spesho kwenda kukubinya mapumbu,kuponda visigino kwa rungu kama la bezbol, kukuwekea nyaya za umeme kene mti na kuchoneka sindano chini ya kucha.Hivi jela zetu sijui kwa nini hakuna huduma ya kuruhusu manzi wako aje mnapewa chumba maalumu unamgegeda mkimaliza anaondoka unaendelea na kifungo chako
Mpe jibu na ufafanuzi ili aelewe basi ππ€£π€£π€£π€£
Unaandikaga uharo siku zote.Kuna jela za kiroho, hizo hutesa zaidi kuliko jela za serikali
Daaaah hapo ngumuKule kuna vyumba spesho kwenda kukubinya mapumbu,kuponda visigino kwa rungu kama la bezbol, kukuwekea nyaya za umeme kene mti na kuchoneka sindano chini ya kucha.
Alieyeenda jela anieleze vizuriMaisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule kuna
Maisha yanaenda kawaida ikiwa kwa upande wa burudani
- Kupigwa na wababe
- Kunyang'anywa chakula
- Kuteswa
- Kubakwa n.k ni hapana
"Kwaya kwa waimbaji n.k
- Television ipo
- Draft/bao lipo
- Mpira wa miguu upo
Vile vile watu wanapiga ibada kila siku jioni na asubuhi dini zote kuu mbili kwa muda wao. Na pia baadhi ya watu wanasali/swali haswa kwakuwa tegemeo lao lililobaki ni Mungu tu kuwatoa huko.
Changamoto kubwa ni kisaikolojia
Ile hali ya kupangiwa kila kitu kula, kulala, kuamka, kazi ngumu, adhabu, kuhesabiwa inakera sana unaweza rukwa na akili. Maisha ya mahabusu/ ufungwani ili uishi kwa amani fuata taratibu na sheria zao bila shuruti. Ujuaji na ubishi utabondwa/ utataabika sana[emoji23][emoji23]
- Kukosa uhuru
- Kutoona familia/marafiki
- Papuchi hakuna
- Msosi ni ugali mwaka tena ni mchana tu hakuna supper[emoji23]
- Asubuhi uji bila sugar mwaka
Jela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.
Mtu anaonesha ubabe mtaani na kusema "jela siogopi nimeshakaa kwani jela kitu gani??" Ujue huyo mjinga hajawahi pelekwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
NB: Ni machache niliyojua kwa jela hii na kila jela kuna mambo yake
MWISHO
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Yote uliyosema ni sahihi.Kule ukiwa unafata taratibu huna tatizo kwa wafungwa wenzako wala askari.Ukijifanya umerukwa na akili hujali yatakukuta,et unamsikia mtu mtaani anasema mi mgumu nakujichosha kupiga pushup kwenye sakafu!!.Niwambiye tu wagumu wapo kule kama nakoz basi nundu kama ya ng'ombe si we boya mtaani huku.Maisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule kuna
Maisha yanaenda kawaida ikiwa kwa upande wa burudani
- Kupigwa na wababe
- Kunyang'anywa chakula
- Kuteswa
- Kubakwa n.k ni hapana
"Kwaya kwa waimbaji n.k
- Television ipo
- Draft/bao lipo
- Mpira wa miguu upo
Vile vile watu wanapiga ibada kila siku jioni na asubuhi dini zote kuu mbili kwa muda wao. Na pia baadhi ya watu wanasali/swali haswa kwakuwa tegemeo lao lililobaki ni Mungu tu kuwatoa huko.
Changamoto kubwa ni kisaikolojia
Ile hali ya kupangiwa kila kitu kula, kulala, kuamka, kazi ngumu, adhabu, kuhesabiwa inakera sana unaweza rukwa na akili. Maisha ya mahabusu/ ufungwani ili uishi kwa amani fuata taratibu na sheria zao bila shuruti. Ujuaji na ubishi utabondwa/ utataabika sanaππ
- Kukosa uhuru
- Kutoona familia/marafiki
- Papuchi hakuna
- Msosi ni ugali mwaka tena ni mchana tu hakuna supperπ
- Asubuhi uji bila sugar mwaka
Jela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.
Mtu anaonesha ubabe mtaani na kusema "jela siogopi nimeshakaa kwani jela kitu gani??" Ujue huyo mjinga hajawahi pelekwa πππππ
NB: Ni machache niliyojua kwa jela hii na kila jela kuna mambo yake
MWISHO
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Yote uliyosema ni sahihi.Kule ukiwa unafata taratibu huna tatizo kwa wafungwa wenzako wala askari.Ukijifanya umerukwa na akili hujali yatakukuta,et unamsikia mtu mtaani anasema mi mgumu nakujichosha kupiga pushup kwenye sakafu!!.Niwambiye tu wagumu wapo kule kama nakoz basi nundu kama ya ng'ombe si we boya mtaani huku.Maisha ya mahabusu/ mfungwa ni magumu na mabaya ila siyo kwa ubaya ule unaovumishwa mitaani kwamba kule kuna
Maisha yanaenda kawaida ikiwa kwa upande wa burudani
- Kupigwa na wababe
- Kunyang'anywa chakula
- Kuteswa
- Kubakwa n.k ni hapana
"Kwaya kwa waimbaji n.k
- Television ipo
- Draft/bao lipo
- Mpira wa miguu upo
Vile vile watu wanapiga ibada kila siku jioni na asubuhi dini zote kuu mbili kwa muda wao. Na pia baadhi ya watu wanasali/swali haswa kwakuwa tegemeo lao lililobaki ni Mungu tu kuwatoa huko.
Changamoto kubwa ni kisaikolojia
Ile hali ya kupangiwa kila kitu kula, kulala, kuamka, kazi ngumu, adhabu, kuhesabiwa inakera sana unaweza rukwa na akili. Maisha ya mahabusu/ ufungwani ili uishi kwa amani fuata taratibu na sheria zao bila shuruti. Ujuaji na ubishi utabondwa/ utataabika sanaππ
- Kukosa uhuru
- Kutoona familia/marafiki
- Papuchi hakuna
- Msosi ni ugali mwaka tena ni mchana tu hakuna supperπ
- Asubuhi uji bila sugar mwaka
Jela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.
Mtu anaonesha ubabe mtaani na kusema "jela siogopi nimeshakaa kwani jela kitu gani??" Ujue huyo mjinga hajawahi pelekwa πππππ
NB: Ni machache niliyojua kwa jela hii na kila jela kuna mambo yake
MWISHO
Kule ni nyumbani kwa wote wakati wowote, omba Mungu akuepushe na kule kuzimu ndogo.
Si vema kumtaja Mungu kwenye hoja zisizo na mashiko kama hii yako... mbona mwana wake alisema ITAKUWA VIGUMU KWA MATAJIRI KUINGIA KWENYE UFALME WA MUNGU.,Na nyie walokole na mambo yenu ya kufikirika,
Unashinda kanisani kila siku,maisha magumu,
Kila siku unaomba Dua tu,harafu unaenda kuomba kazi kwa mchina,asie enda kanisani,ambaye anatumia mbongo yake kutengeneza kampuni,hili wewe unaeshinda unamuomba "Mungu"upate kazi!
Sasa unafikili huyo Mungu akiangalia chini,kati yako wewe na mchina,nani anaonekana wa maana anayeitiisha na kuitawala Dunia!!
A.M nae mfungwa tuMkuu siku natoka askari akanimbia kiutani " usiende waambia habari za huku tutakosa wateja" ππ
Mi nikikerwa huwa napiga wanaume...sa itakuwaje
Sawa mkuu,we tulia nikuvimbishe nunduNaomba unipige[emoji28][emoji28]
Sawa mkuu,we tulia nikuvimbishe nundu