Maisha ya ufungwani/ mahabusu ni machungu ndugu zanguni

Nakumbuka nilingia mahabusu ijumaa..siku ambayo mahakama inafanya KAZI mwisho saa9..barua za waeka dhamana Wang wawil zote zilikua zimekosewa kdgo..Hakim akasema zikarekebishwe..MDA huo ni saa nane..mpk warud wakakuta nshapelekwa mahabusu teari..nakumbuka siku iyo watuhumiwa wote tulikua wapya Yani tunaingizwa mahabusu mara ya kwanzA baada ya kukosa mdhamana..Yule askar magereza alietupokea siku iyo alikua kalewa kshnz
Anatukana ovyo asa mtuhumiwa mmoja akaulizwa unaitwa nan..akusikia vzur askar bila kupotza MDA alimtoa wenge wa mambata mpk wafungwa na mahabusu wote waligeuka kuangalia nn kimetokea mana lile mbata lilikua kama bomu😁😁..
Kingine kilichoniboa ni Ile biashara ya kuvuliwa nguo zote unabak uchi mnakaguliwa msiingie na vitu vya kuzuru wengne..kingine ni kupimwa Ngoma taka usitake kama unayo unaanzishiwa doz apoapo
Maliwaton Hamna faragha unakata Gogo uku mnaona..nashukuru nlitoka j3 kuanzia siku iyo niliaapa kuwa mtiifu mtaan nisije rud tena mule..kesi yangu ulikua ni Traffic case..
 
Kwamba Demu mmoja tu apelekee kukufanya uungane na kikundi cha wahuni wa "kataa ndoa (Waoga wa maisha, Wavulana, Mashoga)"?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 

Siyo kuwa kuelekea katiba mpya tutasikia mengi.

Tukiogopa jela au mahabusu ieleweke katiba mpya haipo karibuni.
 
Siyo kuwa kuelekea katiba mpya tutasikia mengi.

Tukiogopa jela au mahabusu ieleweke katiba mpya haipo karibuni.
Ww kama unaona huko ni pazuri nenda kila mtu na maisha yake, katiba mpya inahusiana nn na kwenda jela?
 
Natamani siku Mtu akipata muda aje atolee ufafanuzi kuhusu Jela ya Kiroho maana mziki wake si wa kitoto wawezakuta ni mara 10 ya Jela ya Kimwili.

Mungu atusaidie tuwe wenye hekima siku zote za maisha yetu hapa duniani...[emoji120]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ww kama unaona huko ni pazuri nenda kila mtu na maisha yake, katiba mpya inahusiana nn na kwenda jela?
Usichojua ni kuwa katiba mpya haitapatikana bila kupiganiwa. Kuipigania lazima mahabusu na jela zitahusika.

Kwenye mchakato huo mada kama hizi za kutisha watu tunazitegemea sana. Ila ukweli mchungu mtadanganyana wenyewe.
 
Nilisikia ushuhuda wa jambazi sugu mstaafu anasema.
Jela ni roho, na jela Ina wenyewe, kama kwenye familia yenu hapajawahi mtu kuingia jela ni ngumu kuingia na kama alishawahi possibility ni kubwa kwa members yeyeto wa familia YAKO kuingia.
Aisee hii kweli mshua aliwekwaga ndani ...nilopowekwa na mm siku bamdogo alipokuja kunicheki akanambia hata mshua ashakaa mwaka ndani hivyo nisiwaze
 
Mi nataka kuolewa mwaka huu,Mimi nina mtoto ...je niolewe na mwenye mtoto pia au asiye nae....embu nishauri...usijali kuhusu kuwapata maana mie huwa natongoza ivo nitapata tu
Uache kwanza kupiga, olewa na yeyote kikubwa ni upendo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…