Ndo maana narudia ulitishiwa, polisi hana uwezo wa kukufunga kwa kutengeneza kesi.Mkuu yule alisema kabisa sikuachii hii kesi yangu, nikikuacha hapa kituoni wengine nikikabidhi shift mtamalizana.
Chagua moja unipe changu nikuruhusu au niandike sammans we wa kufungwa tu ili tukose wote.
Namwambia sina hela hapa.
Anasema nyumbani je?nikazuga sina, huna mtu unamjua ukakope ndo ikawa twende.
Nikampa mambo yakaisha.
Ni njaa tu
Naomba uje unipige na mimi!Mi nikikerwa huwa napiga wanaume...sa itakuwaje
Ulikaa mda gan?Mwaka jana mwezi kama huu nakumbuka niko jela napagamisa ndomoli,, salute skangaga kilikinjana skombizo kapatin 27π
Siyacwala emapondweni izooo owensiπͺ
Kweli kabsa.Mungu atusaidie tukaingia uko..Hi mada ni kama sala. Maana ipo kujenga zAid
Niliingia mwezi wa kwanza nikatoka mwezi wa kumi na moja,,, south Africa lkn sio bongo ila jela jela tuUlikaa mda gan?
Hao unaowapiga ni mashoger au wanawake wenzio.Mi nikikerwa huwa napiga wanaume...sa itakuwaje
Mkuu umenichekesha,mkanza kuigiza na hela umetoa nikuwa mpole tu..Siku hapo msimbazi center ilala nakunja kona wale jamaa wa boda na mabunduki yao hawa hapa wanapiga mkono, paki pembeni vp kunani?
"We umetuchomekea siku ya usalamabarabarani, "
hata sijui mi nimekunja kona yangu niendelee na safari.
Hapo nimepaki africenter ikabidi niwashtue "e bwana mi nna kiu tupate japo moja moja huku tukiongea.
Wakavua magwanda zama bar.
Mule kuelewana nikawapa walichotaka, tunatoka wamevaa migwanda yao wako "si tutazuga gari yako ilikua mbovu tunacheck usalama π€£π€£π€£e bana fungua bonet,check oil nawakasukuma ile gariπ€£,
gari chaser ilikua one kick drive automatic haina ubovu wowote service nimefanya full siku 5 tu zimepita
Mind you hapo nimepigwa buku 40 tayari bila kosa,
Sukuma kidogo nikawasha imewaka eeh?
Mimi yaah asante sana maafande.πππ
Bongo nyoso sana full comedy
Huyo Naondoka tunapungiana mkono km hakuna lililotokea.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Mungu ibariki Tanzania π
Futa kauli hiiKuna jela za kiroho, hizo hutesa zaidi kuliko jela za serikali
Sasa ufanyeje,mi nataka niondoke niendelee na mambo yangu wao wanaona soo kuondoka hivihivi ikabidi tuzuge kidogo.Mkuu umenichekesha,mkanza kuigiza na hela umetoa nikuwa mpole tu..
Hofu ni kwa watu wa mtandao (Gomola), itakuwa ni kunajisi jela.Hivi jela zetu sijui kwa nini hakuna huduma ya kuruhusu manzi wako aje mnapewa chumba maalumu unamgegeda mkimaliza anaondoka unaendelea na kifungo chako
Angalau namfahamu mtu wa karibu na mimi ambaye amekuwa akifanya huu upumbavu kwa mtoto wake wa kumzaa mwenyewe; kwa motive ambayo inaonekana kuwa ni mali. Lengo ni kumtoa kafara mtoto ili aweze kupata mali. Unajua dizaini ya watu ambao mwili ni sawa na kopo tu ambalo huwa linabaki tupu baada ya kutolewa bidhaa liliyokuwa limehifadhiJela ni kubaya, kugumu usijempeleka mtu kwa kumwonea/kumbambikia kesi ni laana. Pia kama kuna kesi yeyote ambayo unahisi itakupeleka jela jitahidi sana mmalizane uraiani usijepelekwa huko.
Jela labda getoni kwake ila sio maweni,karanga nk ππMbona hussein machozi aliimba bora arudi jela baada ya kuona maisha magumu mtaani?
Ndo bin adamu mwepesi kusahau ahadiUkitoka unasahau ahadi yako
Ameongea bila kutafakari.We hujaotewa ,
mume wa Kajala mpk leo sijui kaishia wapi, na yule wa Wema?
Mramba aliyesema tule majani ndege inunuliwe jiwe kacheza nae kadance kule mpk kakubali kufagia muhimbili.
Kuna yule mwamba wa kaskazini TRA Enzi zake humgusi sijui wamemalizana nae au vp.
Amina mkuu, Mungu mwema sana omba sna yasjijekukuta ya jela hata nduguyo pia usimsukumie mtu jela ni laana kwa taabu atakazozipata muleHi mada ni kama sala. Maana ipo kujenga zAid
Amuulize Zumaridi [emoji3]Endelea kudanganywa na manibii wenu awoo nenda jela ya serikali ndyo utajua hujui