Papaaa mukuubwaaa
JF-Expert Member
- Jan 26, 2023
- 1,534
- 1,511
KivipiMi nikikerwa huwa napiga wanaume...sa itakuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KivipiMi nikikerwa huwa napiga wanaume...sa itakuwaje
Vibao vya usoKivipi
We ni me au keMi nikikerwa huwa napiga wanaume...sa itakuwaje
KeWe ni me au ke
Naomba namba yako upo mkoa ganiVibao vya uso
Njoo dm
🤣🤣🤣Ili unipige kwenzi?Naomba namba yako upo mkoa gani
No,asanteNjoo dm
Mahakamani Kama ukisomewa shitaka ukakana alaf ukakosa mdhaminiKupima Ngoma mahabusu yapolisi au mahakama
Sawa ila we kwenu huko nangulukulu ulikua unalima mihogo enzi hizoUlikuwa mshamba
Unajua me nani? Au unaandika Kwa kujisikiaSawa ila we kwenu huko nangulukulu ulikua unalima mihogo enzi hizo
Nijue ili iweje, we tujadili mada hapa yaishe hapahapaUnajua me nani? Au unaandika Kwa kujisikia
Vifaa vya kunyolea wanagawa wenyewe huko?KULE UTAOGA KILA UCHWAO NA HAKIKISHA HANA NYWELE POPOTE COZ UKIOGA UNAPEWA NAMBA NA ASKARI SELO,!!
JIONI MKIINGIA UNAKABIDHI NAMBA MNAKAGULUWA NYWELE ZA KWAPA,VUZI OLE WAKO WAKUTE NYWELE NI KICHAPO!!
UNAKAGULIWA CHAWA NA KUNGUNI ILI HALI UMEWAKUTA NAZO
Vifaa vya kunyolea vinauzwa km unafedha unamiliki chako pekea yako!!!Vifaa vya kunyolea wanagawa wenyewe huko?
Shukran mkuuPole mkuu
Kweli wenye pesa wanakula poa tu,wanafuliwa na hawaburuzwi kazi za ovyo!! Kuna kaunafuu flani hivi ila kwa asilimia ndogo coz sheria na utaratibu ni kwa woteUsiende jelA kwa michongo ya kiboya..ukiwa na hela na network kazi ngumu na vyakula vibovu utavisikiA na kuviona kwa wenzako
Niliingia Central ya Mkoa Ijumaa saa 12 jioni, J3 mahakamani na kupata dhamana na kutoka.Kule wiki utaona ni miaka
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna watu huwa wanalazimisha kuwekwa huko hasa hawa tunaowadai na hela hawataki kuzilipa. Akilazwa huko siku mbili tu ya tatu hela analipa zote