Maisha ya Ulaya hasa Norway ni mazuri sana, Bongo bado sana

Mie mwenyeji wangu South Africa nilipomkuta kamkatia bima mbwa nilikata tamaa kabisa kama Tz tutakuja walau kuifikia SA
 
Uwe muelewa na wwwe. Yeye kama kaenda awamu hii na analeta mrejesho alichoona huko , shida iko wapi?
Kwani nimesema kuna shida mama?! Nashangaa tu sasa hivi Stori zimekuwa nyingi. Tena mtu mmoja analeta Stori tano hata watu wakimtimua anafungua uzi mwingine.
 
Mkuu tupeane ramani jinsi ya kuingia huko binafsi nna ndoto za kuzamia moja Kati ya Scandinavian nations toka kitambo Mkuu nikiingia huko tu the rest is upon myself coz binafsi ni hastler super so naamini sitakwama Per Diem
Ukute sasa per diem mwenyewe yupo sisi kwa sisi hapo Manzese, Kigogo mwembe Jando, kwa binti Kahenga Luanga au Buza Kwa Lulenge.
 
Kwani nimesema kuna shida mama?! Nashangaa tu sasa hivi Stori zimekuwa nyingi. Tena mtu mmoja analeta Stori tano hata watu wakimtimua anafungua uzi mwingine.
Huyu jamaa alianzaga kwenye ile id yake nyingine akiwa ukraine halafu akafika Norway. Alichoharibu akaposti picha za mtu yuko Helsinki finland akisema yuko Norway. Watu humu jamvini wakamshutukizia wakamsambulia nakumuambia hizo picha ni za Finland siyo Norway. Toka siku iyo kaingia mitini. Sasa hivi kaja vingine
 
Sasa, jamani utalinganishaje social welfare ya Norway na Tanzania. Mbona bado ndio tunatibu makovu ya adhali za ukoloni? Pia ha viongozi bado Ni kizazi Cha mkoloni tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…