Ila sisi nadhani maisha yetu ni mafupi zaidi ya jamii zingine duniani.
Just imagine mtu mpaka unagonga 25 bado hata shule hujamaliza! Uje umalize, uanze kutafuta cha kufanya 30 hii hapa. Uanze sasa kujipanga mara kujenga sijui familia sijui nini 40 imeshabisha hodi! Hapo kama Mungu kakubariki ndio unaanza kuishi ishi angalau kidogo japo majukumu nayo watoto kusomesha, wazazi wameshazeeka, extended family, magonjwa nyemelezi, nk wakati huo ukichungulia life expectancy inasoma 50! Dah.. sasa apo mtu unaishi saa ngapi?