Majambazi 10 yalijipanga mstari mmoja barabarani usiku kuzuia gari langu lisipite

Msalimie mwamposa
 
Mbona ishu simpo na ndogo sana hiyo?

Mimi niliwahi kugonga mmoja alichelewa kukimbia.

Nikaja kusikia ni polisi jamii hawa sijui katibu wa mtaa.

Nikawaambia wajifunze kusimamisha watu vizuri usiku. Reflector haikupi authority yoyote.

Pole sana mkuu.
 
Hao majambazi hawakuweka hata mawe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] upasue hizo tairi
 
Kumbe lengo ni kuhubiri, anyway naogopa kukutajia hao majambazi maana utaniona nakuchonganisha ila ungeweka wazi hiyo kazi mliyokuwa mkifanya ningetaja bila wasiwasi

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
Majambazi yakashangilia😂😂😂 acha masihara😂
Nalog off
 
Vibaka wazuie gari kwa mikono kuna watu waoga sana aisee mwanaume haitakiwi uwe muoga muoga bhana daah kwa uoga huo unaweza kuwahesabu vibaka kweli ? Vibaka hawana hana siraha yeyote unawaita majambazi...
 
Unavutaga bangi?
 
Bado sijaona comment inayosema;

"Hongera kwa kumiliki Gari"

🤣🤣🤣🤣
 
Naamini kama nisingetaja Jina la Yesu, wasingetoka barabarani. Majambazi yaliyokula bange, si yanaona gari linalokuja mbele yao ni kama panya tu!

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa umenichekesha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wangeweka magogo, na mijiwe mikubwa, ingekuwa hatar.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…