Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
hivi kweli kulipa 23,000 dar moro unaona hela kubwa? wakati izo mkienda bar mnabwia bia zote kwa siku moja.tatizo ni VIWANGO VYA NAULI! Dar Moro ilitakiwa iwe sawa na Bus ili watu wawe wanachagua wenyewe nyie mkaweka 23,000 kama sio.kuhujumu mama ni nini?! pili biashara hii ni biashara endelevu sio ya kutafta faida mwaka.mmoja hii ni SERVICE hivyo majibu yake yawe kama daraja la kigamboni ambalo bei ni sawa na pantoni! tuache laana kwenye kodi za watanzania
Wabongo mnapenda vitu vizuri Kwa bei rahisi ndio maana mwendokasi unapata hasara. Hiyo 23000 walioiweka sio bei ya wao kupata faida Mzee.tatizo ni VIWANGO VYA NAULI! Dar Moro ilitakiwa iwe sawa na Bus ili watu wawe wanachagua wenyewe nyie mkaweka 23,000 kama sio.kuhujumu mama ni nini?! pili biashara hii ni biashara endelevu sio ya kutafta faida mwaka.mmoja hii ni SERVICE hivyo majibu yake yawe kama daraja la kigamboni ambalo bei ni sawa na pantoni! tuache laana kwenye kodi za watanzania
kwamba jf hutumiwa na watu wenye akili kubwa.hivi kweli kulipa 23,000 dar moro unaona hela kubwa? wakati izo mkienda bar mnabwia bia zote kwa siku moja.
Hata ikiwa Bure labda nisiwe na kazi kama baba levoBure au?
Tumeahirisha majaribio mpk trh 26 march 2025 ili tuitumie km njia ya kampeni wkt wa uchaguzi mkuu
Nasubiria mrejesho
ππππKwani mjusi wenyew umeanza safari mda gani mbn mwatutisha
Wote tulipewa bure tatizo ni maumbo tuKwa sababu walipewa bure.
PoleniSaa 4 π€£
Inaelekea Iko extra-comfortable, hadi watu wanalala!
Wamesema Behewa moja ni Power BankUmeme utakuepo siku hiyo?
Sasa mbona unajiita mnyongesivyo ndugu unakosea sana mkuu
Kumbe Safari ulimaanisha safari ya tren yenyewe. Dah mimi nilishawaza kitu kingine kabisaHaikuwa kwenye top speed, na kulikuwa na misosi kama vile safari ambavyo zitakuwa...
Lakini bado hizi coaches sio kama zile treni za Ulaya ambazo huwa na leather coaches, ila si mbaya...
Ila ukweli usemwe dakika 90 badala ya 240 ni fair kabisa Kwa hiyo naulihivi kweli kulipa 23,000 dar moro unaona hela kubwa? wakati izo mkienda bar mnabwia bia zote kwa siku moja.
Watu wana roho ngumu sana, yaani ufanyiwe majaribio na hawa hawa Watz ambao kuna mwaka Daktari alipasua kichwa badala ya mguu π€π€π€π€Hata ikiwa Bure labda nisiwe na kazi kama baba levo