Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
inaonekana walijadili uwezekano huo kwenye kikao cha ndani, waziri mmoja wa masuala ya ulinzi akatoa siri hiyo alipohojiwa, Netanyau akampiga stop kuhudhuria vikao tangu jana.
Walishawapulizia maelfu na maelfu ya Askari wa Hamas wamekufa ndani ya TunnelsWawapulizie dawa ya kuua wadudu, maana binadamu unaishije Kama panya?
yes of course, na inaweza kusambaa hadi kwenye nchi yao. hawawezi kufanya hivyo, though Netanyau alisema kwamba, hawana mpango kupiga nukes kwasababu wanajali maisha ya raia. sasa hatujui kama raia wakiondoka wote bado atakuwa na huruma hizo.Just rumors tu, nuke wa head kwa sehem ndogo kama gaza ni overkill. madhara yake yana last life time
Sidhan kama wataruhusiwa
Mbona umeenda mbali sana umesahau Wamasai wa Loliondo na Ngorongoro?Kama Tanzania na Afrika tungeelekeza macho yetu na akili zetu Kwa waafrika wenzetu wanao uliwa huko Sudani na Kongo Kwa urafi wa aridhi na uchu wa lasilimali za Afrika kunako fanywa na Waarabu na wazungu
Kwa hali ilivyo hata palestina yenyewe ikae mkao wa tahadharindio kinachoenda kutokea ukiona hamas wamechinja wale mateka israel ikajua kuwa kwenye mahandaki hakuna raia wake aliye hai, wanapiga sumu. kuna waziri mmoja alihojiwa jana akaropoka kuwa wana mpango kupiga gaza kwa nuklia, Netanyau amemsimamisha asihudhurie vikeo tena manake anatoa siri za kambi. raia wakiondoka wakajua kuwa pale wamebaki wapianaji wa hamas peke yake, kuna bomu litapigwa pale manake tangu awali Netanyau alisema anataka kukikfanya kieneo cha Gaza kuwa deserted island, yaani kisiwa asichoishi mwanadamu yeyote. kwasababu ameona wakiishi pale, wanamrushia roket.
Wewe Unaweza ingia pangoni mwa nyoka.. Ndugu...Wanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
Mwambie Kwanza Anaweza kukugonga KichwaNyoka akiingia kwenye shimo ardhini ambalo njia ya kutokea au za kutokea unazijua unamfata shimoni wa nini kupoteza muda!?,unaziba mashimo tu kwa vitu vizito anabakia hukohuko bila hewa. Hakuna msiba, hakuna mazishi. Unakuwa umekata mzizi wa fitina. Maisha mengine yanaendelea.
Unajua kanuni za Jeshi.Wapo Tayari aridhini Gaza.Ahahaha wale jeshi la machoko waoga
Yes nilisikia kamsimamisha huyo waziri!ndio kinachoenda kutokea ukiona hamas wamechinja wale mateka israel ikajua kuwa kwenye mahandaki hakuna raia wake aliye hai, wanapiga sumu. kuna waziri mmoja alihojiwa jana akaropoka kuwa wana mpango kupiga gaza kwa nuklia, Netanyau amemsimamisha asihudhurie vikeo tena manake anatoa siri za kambi. raia wakiondoka wakajua kuwa pale wamebaki wapianaji wa hamas peke yake, kuna bomu litapigwa pale manake tangu awali Netanyau alisema anataka kukikfanya kieneo cha Gaza kuwa deserted island, yaani kisiwa asichoishi mwanadamu yeyote. kwasababu ameona wakiishi pale, wanamrushia roket.
hajamsimamisha kazi, kampiga stop kuhudhuria vikao. manake anatoa siri za yale waliyojadili kwenye vikao. alihojiwa tu na radio akachanika mdomo kuongea waliyoyajadili ndani.Yes nilisikia kamsimamisha kazi huyo waziri!
Bila mateka shughuri ilikuwa imeishakwanza hapo ni kwasababu tu wanajua kuna mateka wao humo kwenye mashimo, isingekuwa hivyow angeshafanya kile marekani ilifanya mapango ya tolabora taliban, walipiga sumu mchezo ukaisha.wameachwa chini kuwa chakula cha mchwa.
Lengo ni kuwaangamiza sio kuwakamataWanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
HAWATASIKILIZWA KAMWE.hii vita haitaisha hadi panya wote wa hamas wakamatwe na kuwa castrated. walichokoza wenyewe. na sasaivi raia wameshaondoka Gaza hivyo hakuna sababu hata ya cease fire kule kaskazini wala kupeleka msaada wala kurudisha umeme au kupeleka mafuta. hamas wataishiwa silaha, chakula, maji, mafuta ya majenereta na watajitokeza na kusalenda.ndio maana wameshaanza wapo tayari kuachia mateka 15 in exchange of cease fire ya siku mbili tu. imagine sasaivi hamas wanaomba poo ya walau siku mbili tu.na jeuri yote ile.
hamas wenyewe wamekiri kuteka raia. hii sio drama kwasababu iran amekuwa akikijenga icho kikundi kwa muda mrefu. hakuna drama hapo. ila kwa walichokifanya, ardhi hiyo imeshabebwa ama la haitakaliwa. wote wataenda kujikunyata kule kusini na sidhani kama watakuja kurudia tena kuchokoza israel.Hii mbinu ya Israel kupora ardhi ya wapalestina nimeipenda sana. Yaani Israel ime-dramatize kuwa raia wake wametekwa na Hamas halafu dunia imeaminishwa ikaamini. Ndipo sasa Israel ikapata uhalalali wa kuwapigia wapalestina
MileleHamas hawatarudia ujinga tena
Propaganda hizo. Hayo majeshi ya Rwanda. Hamas wanawavuruga sana mayahudiWanabomoa badala ya kuingia humo na kupambana nao Kisha kuwakamata!
yaani badala ya kusema tuaachia mateka wote ili msitishe vita, wanasema wanaachia 15 kati ya 250. wanafikiri israel atawasikiliza? Netanyau alisema, kukubali kusitisha vita in exchange na mateka ni sawa na kusalenda kwa hamas jambo ambalo hawajajiandaa kulifanya. hilary clinton pia alishauri kwamba kila mwaka wakipigana huwa wanakuja na issue ya mateka, sasahivi ipigwe hadi mwisho manake umekuwa ndio mchezo wao.HAWATASIKILIZWA KAMWE.
Mzee Huruma alishakufa tangu 07/10/2023. Mzee aliyebaki, na yupo fit ni mzee wa Kisago tu na huyo alikuwa ni adui wa mzee Huruma. Ole ni kwa HAMAS.yes of course, na inaweza kusambaa hadi kwenye nchi yao. hawawezi kufanya hivyo, though Netanyau alisema kwamba, hawana mpango kupiga nukes kwasababu wanajali maisha ya raia. sasa hatujui kama raia wakiondoka wote bado atakuwa na huruma hizo.