DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
- Thread starter
-
- #61
We huwezi hata kunikaribia Mkuu trust me!🤣🤣Ndo mana nikasema uwe mbele kwahy tutadeal na viherehere wote wa mbele na ww ukiwemo
Nakubali mkuuWe huwezi hata kunikaribia Mkuu trust me!🤣🤣
Tuishie kukutana tu Jf mkuu wangu tukisocialize..
Ila in normal Life huwezi hata mita 2 🤣🤣
Mbowe ni Muigizaji tuIlitakiwa wafanye maamdamano kimya kimya.
Huo ni mtazamo wako.Kwanini wafanye maandamano kwani wameshindwa kufanya njia Nzuri ya kupata suluhisho..
Maandamano sio njia nzuri kwa nchi kama yetu!
Wanasheria wapeleke jiji mahakamani zile kampuni za taka zinapopewa pesa za walipa kodi zinafanya kazi gani na kwanini jiji bado wanawalipa kodi zetu kama hawatimizi majukumu yao.Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.
RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.
Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
sijadharau au nimeongea neno lili mkuu m nmeuliza ni kuwa nae ana uwezo huo mkuuHuyo unayemdharau ni nwakilishi wa rais kwa jiji la dar es salaam
Aibu ya Taifa hiiMkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.
RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.
Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.
My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
Hapo ushajiandaa kupiga watu hamna kingine.Kwani hata wakiachiwa wataweza kufanya maandamano?
Uamuzi wa RC Chalamila kuagiza wanajeshi kufagia barabara ili kuwatisha Chadema wasiandamane unastahili kulaaniwa na kila mpenda utawala bora na demokrasia. Ni hatua ya woga/cowardice na aibu. Wanajeshi wetu wasitumiwe kulinda udikteta wa CCM hasa kwa jambo jepesi la kudai mfumo bora wa uchaguzi. Shame on you Chalamila. The world in watching.Erythrocyte mkanye mumeo Mbowe ni bora siku hiyo umeweke ndani ukimpa uroda
aaah duh kweli nchi ina wenyewe hiiIshapangwa hiyo kwa Amri maalumu mkuu..