Pre GE2025 Majeshi yote yanatarajia kufanya Usafi tarehe 23/24 January 2024 siku iliyopangwa kwa maandamano
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna siku ubabe utaisha huu. Alafu wakistaafu wanakimbilia kutunga vitabu kujutia matendo Yao.

Ila Mungu yupo. Ipo siku yatakwisha tu
 
Hiyo strategy waitumie mara ya mwisho, ipo siku hao wafanya usafi wa dharura wa siku hiyo iliyoingiliana watageuka kuwa waunga makundi! How will you order them to retreat? Ikumbukwe raia ndie mtu pekee mwenye vyeo vyote!
 
Dawa ya moto ni maji, tukutane barabarani na mifagio tuunge mkono juhudi. Kwa wingi wa mamilioni tufagie barabara. Tutachagua wapi tufanye usafi, tusipangiwe wapi tufanye usafi
 
Hii nchi ngumu sana, Na nikiona kijana yeyote anajiita UVCCM huwa napatwa ghadhabu maana napata picha kwamba hakuna tumaini vizazi vyote.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.

My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
Wanasheria wapeleke jiji mahakamani zile kampuni za taka zinapopewa pesa za walipa kodi zinafanya kazi gani na kwanini jiji bado wanawalipa kodi zetu kama hawatimizi majukumu yao.
 
Taarifa ya aina huwa inapokelewa kwa mikono miwili na policcm. Maana hakuna raha wanajisikia kama hii ya kutumiwa na ccm kuhujumu harakati za upinzani nchini.
 
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Albert Chalamila ametangaza kufanyika kwa zoezi la usafi katika Wilaya zote 5 kuanzia January 23 hadi 24 January zoezi ambalo litahusisha Wanajeshi zaidi ya 5000, Polisi zaidi ya 3000, FFU na Vyombo vingine vya dola.

RC Chalamila ameyasema hayo leo katika ibada ya kuwekwa Wakfu Mwangalizi wa Jimbo la Babtist la Dar es Salaam, Makamu , Katibu, Katibu Msaidizi, Mhasibu na Mhasibu Msaidizi ambapo amewataka Wakazi wa Dar es Salaam kutokuwa na shaka watakapoviona Vyombo vya Dola vikifanya usafi.

Chalamila amesema katika kufanya usafi huo pia kutakuwa na magari mbalimbali ya kijeshi kwa ajili ya kukusanya takataka na kuwataka Waumini kuwa Mabalozi wazuri wa kampeni ya usafi ili kupambana na magonjwa mbalimbali.

My Take
Maridhiano na Samia ilikuwa utapeli
Aibu ya Taifa hii
 
Heshima ni kitu cha bure...
 

Attachments

  • IMG-20230307-WA0010.jpg
    IMG-20230307-WA0010.jpg
    80.5 KB · Views: 3
Erythrocyte mkanye mumeo Mbowe ni bora siku hiyo umeweke ndani ukimpa uroda
Uamuzi wa RC Chalamila kuagiza wanajeshi kufagia barabara ili kuwatisha Chadema wasiandamane unastahili kulaaniwa na kila mpenda utawala bora na demokrasia. Ni hatua ya woga/cowardice na aibu. Wanajeshi wetu wasitumiwe kulinda udikteta wa CCM hasa kwa jambo jepesi la kudai mfumo bora wa uchaguzi. Shame on you Chalamila. The world in watching.
 
Back
Top Bottom