Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Amesema wanakuja kufanya usafi au kuzuia maandamano ya Chadema.?
 
Huyo Chalamila ni kichaa mwingine katika orodha ya vichaa. Basi hapo anajiona ametumia akili sana. Ndipo uwezo wake wa akili ulipoishia.
 
πŸ™„πŸ™„
 

Attachments

  • IMG_20240113_003425.jpg
    31 KB · Views: 1
Mbowe kasema maandamamo trh 24, huyu chalamila kasema usafi utafanywa na jeshi trh 23 na 24, haya bwana hao ndio ccm ,wenye kuelewa mchezo ngoja tukae kimya
 
Huyo RC ni mpuuzi. Rais alifanya kosa kubwa sana kumrudisha kwenye uongozi. Huyu hafai hata kuwa meneji wa kilabu ya kuuzia ulanzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…