Ego is the Enemy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,201
- 16,246
Yanawalenga vipi na huku hata pH yake sio Ile ya 7.3865 ambayo ndo ya mwili.Maji ya kilimanjaro iliwalenga watu wenye uwezo....
Baada ya wadau kuingia kwa kasi ktk biashara ya maji na kuuza kwa bei ya chini hapo ndipo soko la maji ya kili ilipoanza potea
Ila naona mpaka sasa maji ya kili bado wanawalenga watu fulani tu
Ova
Hapo Kwenye utumbo na miguu ya kuku umeongopa, Ngarenaro, majengo, unga ltd, matejoo haziko Arusha?85% ya wakaazi wa Dar ni masikini wa kutupa!! Wengi huishi chini ya mstari wa dola moja kwa siku sasa watawezea wapi maji ya 1ltr kwa 1000-1500?
Hill water ni 500 tu unapata lita so ni kawaida ndo maana huwezi kuta biashara ya miguu na utumbo wa kuku iringa au Arusha.
Na hapa nishajua Mana nimekugusa. Ukiweka biashara Moshi hakuna wa kununua kazi ni kuuliza huyu jamaa wa wapi.Huna uwezo wa kufikia kutokununua kitu kwa mchaga
Afu wanajitetea ya kwao ni classic kwa u class gani na huku oh yake hata sio favourable mwilini. Cheki Mana ya Mana pH mwilini na magonjwa mengi huwa yanastawi huku mwili ukiwa katika acidic media kuliko alkaline.Mchaga mbaguzi sana yeye anaweka maji ya kilimanjaro tu dukani kwake halafu anakwambia inauzikana sana sasa hivi maji ya Kilimanjaro hawapati soko ndio maana uzalishaji mdogo
Watakutukana sana lakini hoja yako ina mshiko kabisa. Kwa upande wangu maji ya Kilimanjaro yamebadilika sana tu Chumvi ni nyingisana. Pia kuna maji yanaitwa TUKUYU ni mazuri sana.Na hapa nishajua Mana nimekugusa. Ukiweka biashara Moshi hakuna wa kununua kazi ni kuuliza huyu jamaa wa wapi.
Maji ya Kilimakyasharo natawazia chooni mbona ama unataka nipige video call nilionyesha mkuu.Huna uwezo wa kufikia kutokununua kitu kwa mchaga
Wao wanajua ama wanajiamini wao ndio wajanja Tanzania nzima.Watakutukana sana lakini hoja yako ina mshiko kabisa. Kwa upande wangu maji ya Kilimanjaro yamebadilika sana tu Chumvi ni nyingisana. Pia kuna maji yanaitwa TUKUYU ni mazuri sana.
Huku kanda ya ziwa tupo na jamboHill Water ndiyo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.
Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Nakuelewa sana tu, kuna mambo mengi yanaendelea lkn tuombe MUNGU atusaidie tusifikie kila kabila kuwa nchi. Wenzetu wana ubaguzi (wao wanaita umoja) wa hovyo sanaWao wanajua ama wanajiamini wao ndio wajanja Tanzania nzima.
Sawa baabu zao walisoma huku babu zetu wakichunga ng'ombe ilo hatukatai Sasa saivi hatuchungi na watt wetu na wetu watasoma pia.
Kama vipi tutawanyike kila kabila liwe ni nchi inayojitegemea.
Ukabila na udini ni sumu mbaya. Mana ni Imani na Imani Ina nguvu Sana inakuja kuwa sawa na emotions ambazo not controlled
Niambie duka la mchagga uliloenda na kukuta bidhaa zote anazouza ni za wachaga wenzake!! Yaani kuanzia chumvi hadi vibiriti na dawa ya meno,watu mna bichuki vya ki3enge sana na hao wachaga,tena bila sababu ya maana,hebu ona kama wewe hapo umejidhalilisha mchana kweupeJamaa ni nouma Sana yaani kuuza bidhaa za wengine hakuna yaani Wana ukenya Ile mbaya. Itafikia hakuna kununua maduka Yao Mana na wao huwa hawanunui maduka ya wengine aka vyasaka.
Sio kweli kwa dar maji yanayouzika sana kwa sasa ni AFYA!!na ndio yamempiku UHAI, utafiti mdogo nilioufanya hayo hill water yananyweka , huko ushuani, lakini kwa kuanzia kariakoo, tmk, mbagala, buguruni, gongolamboto, kuna hata watu hawayafahamu!!kuna baadhi ya maeneo lita 1.5 ya maji ya Afya Yanauzwa kwa 500!!Hill Water ndiyo yanaongoza kwa kuuzika huku Dar, yakifatiwa na Afya, Masafi etc.
Maji ya Kilimanjaro yapo kwa uchache sana Madukani, sijui Bonite hawana stock ya maji au watu hawayanunui tena.
Sijaona maji ya afya huku manyaraAfya ndio inauzika sana nenda kwa wauza maji wenye maduka wakwambie mimi nauza maji afya ndio inayoongoza Tanzania sio Dar tu
Hayana kitu kiafya sio mazuri mkuu.Kwa mikutano ya wakubwa bado meza zinapambwa na maji ya Kilimanjaro. Kama unajiweza ni maji ya uhakika.
Mwaka 97 Kama ulikuwa mkubwa Mombasa walizipiga kuwa wahamiaji wa makabila mengine warudi kwao waachie wenyeji mji wao.Ruka kama Mangi! Kutwa kudangi dangi! Eeh! Nimewachapa kidudee! Hakichomoki kidudee! ππ
Hill water ni ya nan Mkuu?Mbona Hill water nayo ni ya mchaga ...au wachaga wanabaguana wenyewe????
Hillary SHooHill water ni ya nan Mkuu?
Na maji ya AFYA ni ya nani? πHillary SHoo