luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Acha kubwatuka wewe mla kichuri,hujui kuwa biashara za mengi wenye hisa ni watoto wake wawili? Na zinafanya vizuri tu mbonaMaji ya Kilimakyasharo natawazia chooni mbona ama unataka nipige video call nilionyesha mkuu.
. Sema waafrika pia hatuna uwezo wa kurithi biashara,ulizaliwa baba akiwa nazo unabweteka.
Mengi biashara zake akaachia MTT wa dada na wa Kaka yake watt wake hakuna kitu.
Waafrika tunafeli Sana tunajua ukabila na udini ngono na dance na hakuna kitu.
Cheki Kama biashara labda yaweza kwenda mpaka kizazi Cha 5.
Mangi bana, weee ni mkibosho mmarangu,mmachame ama mie ni kyasaka so unawajua vyasaka akina vishoia.
Egoism inakutafuna mangi,ego is demon residing to your soul
Maji ya Kilimanjaro ni Brand kubwa mzee yamatumika mahotel makubwa, hiyo ya kuwa na chumvi ni market sabotage.