Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

Majibu haya ya Lissu kwa Lema juu ya ujio wake, yananifanye niwaze kuwa kuna Power of Nature iliyo nyuma ya Lissu ambayo hata yeye mwenyewe haielewi

Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake,bali pia yatakuwa pia ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie,ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
Amen, God never fails read:Devotional on Joshua 21:45
 
I really wish angebaki ulaya,labda hataki kuonekana amekua msaliti wa nchi yake kwa kubaki ulaya...anatoa sadaka usalama wake ili tu asionekane msaliti... very sad..
Tizama ndugu kukaa ulaya sio rahisi Marehemu Kambona alishindwa pamoja na kupewa bahati nasibu fedha kibao ziliisha akaona bora arudi nyumbani
 
Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake,bali pia yatakuwa pia ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie,ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
This thing ujio wa Lisu mnaukuza kana kwamba dunia inakwisha kesho. Hapana shaka kwamba Lisu ana bifu na JPM. Anatazama na kutumia nafasi ya uchaguzi kama silaha for revange. Hakuna nguvu wala extra ordinary powers zinazo msukuma arudi Tanzania kipindi hiki zaidi ya chuki. Na kwa wenye akili timamu tunasema "good luck" to him. Yeye she tu.
 
This thing ujio wa Lisu mnaukuza kana kwamba dunia inakwisha kesho. Hapana shaka kwamba Lisu ana bifu na JPM. Anatazama na kutumia nafasi ya uchaguzi kama silaha for revange. Hakuna nguvu wala extra ordinary powers zinazo msukuma arudi Tanzania kipindi hiki zaidi ya chuki. Na kwa wenye akili timamu tunasema "good luck" to him. Yeye she tu.
Muda utaongea.
 
Nilimuuliza haugopi?akajibu siogopi!Nikamwambia,wanaweza kukupiga risasi tena au ukafungwa kwa hila,akajibu NIKO TIYARI kwa lolote.Mungu ni mwema,Kamanda Tundu Lissu kurudi nyumbani kwa mapambano tena ni muujiza wa Mungu mwenyewe.Nitakuwepo Dar es Salam kumpokea siku ya jumatatu-Godbless Lema on twitter.

Maoni yangu
:
Nikisoma katikati ya mistari,napata hisia kuwa, wasiwasi au mashaka haya ya Lema juu ya usalama wa Lissu, si tu ni mashaka ya Lema peke yake,bali pia yatakuwa pia ni mashaka walioyonayo viongozi wengine wa CHADEMA, na Lema kaamua kuweka wazi hili ili umma ujue kuwa Lissu kaamuaa mwenyewe kuja na si kwa kushawishiwa au kushurutishwa na viongozi wenzake katika chama(kuna watu wanaweza kuwaza hivyo).

Kwa mtazamo wangu,pengine jambo kubwa hapa ni kuwa,kuna nguvu kubwa inayomsukuma Lissu na ambayo hata Lissu mwenyewe atakuwa haielewi, na ili malengo yatimie,ni lazima Lissu apite katika hatua alizopita na pengine kuna hatua zingine atapaswa kupita kabla ya kutimia yaliyopangwa kutimia kupitia Lissu iwe ni leo,kesho,keshokuwa au vinginevyo.

Ni hisia zangu pia kuwa, hata katika ngazi ya familia, watakuwa wamejadili hili jambo, ila bado naamini ni nguvu hiyo ndio ili-prevail na ku-influence uamuzi kuwa Lissu arudi.

Hint:Tukumbuke wengi walikuwa hawaamini kama Lissu anaweza kurudi, ila ndio hivyo anarudi.

Let's wait and see how this Power works/influence things.
Nakuapia Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mungu wa Eliya, Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo. Lissu atafika salama na Atagombea urais kwa uhuru na amani tele.

Baba wa Mbinguni aendelee kumlinda kwa Sifa na Utukufu wa Jina lake.
 
"anatoa sadaka usalama ili tu asionekane msaliti" haya maneno yana maana gani?. Ndani ya nchi sijaona mtu mzalendo kama Lisu, tatizo lake kubwa nikuwaeleza wakubwa ukweli huku wakiwa wanakula.
Ni mtu anayejipa ushujaa wa kijinga-jinga tu! Tangu lini Mzalendo akawa wa aina hiyo? Ndo huyu aliyekuwa mtetezi wa makampuni ya madini na kujidai akiumba sheria za kimataifa? Ndo huyu anayewatoza wana CDM wenzake milioni 20 kuwatetea kwenye kesi?

Amesafiri kutafuta msaada ulaya na US sasa hana pa kwenda analazimisha kurudi bila uhakika wa matatizo yake. Afike waliomuwekea dhamana wamtie ndani! Alidhani Ulaya ina ajira za wanasheria wa waafrika? Ulaya inataka wanasayansi wa afrika, yeye na sheria yake apate kazi gani? Ameishia kutesa watoto tu!
 
Nawashauri CDM wapeleke mbele ujio wa Lissu kwa wiki moja nyuma ili pasiwe na sababu ya kuzuia ujio wa Lissu.
 
Ni mtu anayejipa ushujaa wa kijinga-jinga tu! Tangu lini Mzalendo akawa wa aina hiyo? Ndo huyu aliyekuwa mtetezi wa makampuni ya madini na kujidai akiumba sheria za kimataifa? Ndo huyu anayewatoza wana CDM wenzake milioni 20 kuwatetea kwenye kesi?

Amesafiri kutafuta msaada ulaya na US sasa hana pa kwenda analazimisha kurudi bila uhakika wa matatizo yake. Afike waliomuwekea dhamana wamtie ndani! Alidhani Ulaya ina ajira za wanasheria wa waafrika? Ulaya inataka wanasayansi wa afrika, yeye na sheria yake apate kazi gani? Ameishia kutesa watoto tu!
Lisuu mzalendo shujaa kama hutaki kufa Kama mwenzenu
 
Well, mi ni pro-Magufuli kindakindaki.

Ila Lissu akirudi halafu serikali imdhuru au imkamate au imbugudhi kwa namna mmoja au nyingine nitawashangaa sana dola na nikiri wazi hii itatia doa image ya Magufuli niliyonayo kwake.
Basi aje na atuhakikishie kuwa atakaa atatulia, sio aje aanze tena yale makeke yake......ata tu provoke.
 
Hana lolote huyo hakuna hata mmoja anayehangaika naye tuko busy na maombolezo ya Rais Mstaafu Mkapa.
Mko kwenye maombolezo huku mkikumbuka ya Zanzibar. Kuna watu wakisoma post yako hii wanajisikia kutapika maana kumbukumvu ile haipotei mawazoni

 
Hili jambo la msiba mbona linakuzwa sana,kwani wiki hii ya maombolezo watu hawafanyi kazi,na lipi limetangulia ujio wa Lissu au msiba wa Rais mstaafu? Kwani watu si wanaomboleza ndani ya mioyo yao au kuna activity inayoonekana kwa macho inayoitwa maombolezo?
Elewa hapo analosema hekima na busara ndo vitumike
 
Back
Top Bottom