Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
- Thread starter
-
- #21
Win win situation ilitawala sana wakati wa hao maraisiHakuna kipindi cha historia ambacho China na Marekani zilikuwa na uhusiano mzuri sana wa kiuchumi kama wakati wa tawala za hawa viongozi wa Obama, Hu Jintao, Bush, Jiang Zemin, Clinton
Ni mababu lakini hawana busaraWin win situation ilitawala sana wakati wa hao maraisi
Trump na Biden ndio wamekuja kuharibu
NATO tiiiim!!Habari mbaya sana hii kwa watanzania fulani!
Insikitisha kuona serikali inaweka sera au sheria za kibiashara ambazo zinaumiza wazalishaji wa ndani. Sijui kama Pro-NATO wanatambua hiloNATO tiiiim!!
Na Mchina anazidi kuwekeza billions of dollars kwenye R&D ya kuzalisha chips apunguze utegemezi wa US-based chipsInsikitisha kuona serikali inaweka sera au sheria za kibiashara ambazo zinaumiza wazalishaji wa ndani. Sijui kama Pro-NATO wanatambua hilo
Hii ndio ile inaitwa mwaga mboga namwaga ugali AU unapigana na mtu unamkaba koo yeye anakamata huku kwa chini katikati ya miguu...17 July 2023,
Washington
View attachment 2691456
Umoja wa makampuni ya kutengeneza semiconductor (chips) nchini Marekani US-based Semiconductor Industry Association (SIA), umeitaka serikali ya Biden kuondoa vikwazo ilivyoiwekea China katika kuiuzia baadhi ya semiconductors na katazo la kutoruhusu makampuni ya Marekani kuwekeza katika uzalishaji wa chips nchini China.
Viongozi wakuu wa makampuni hayo wameutaka uongozi wa Biden kuiondolea vikwazo China kwa sababu China ndilo soko kuu la semiconductors duniani.
Viongozi wakuu wa makampuni makubwa ya Marekani ya kutengeneza chips ya Intel Inc, Qualcomm na Nvidia wamekutana leo Washington na maafisa wa biashara, uchumi na ulinzi wa serikali ya Marekani ili kuzungumzia athari wanazopata kutokana na sera ya Marekani kwa China dhidi ya kuiuzia chips.
Hizi ni sababu kuu mbili za viongozi wakuu wa makampuni hayo kutaka serikali ya Marekani kuondoa vikwazo kwa China;
(1)Kushuka kwa mauzo ya semiconductors kadiri Washington inavyozidi kuiwekea Beijing vikwazo. Hivyo wanashindwa kuelewa hatma ya biashara hiyo.
(2)China kuweka vikwazo vya kuiuzia Marekani madini ya gallium na germanium ambayo ni muhimu sana katika utengenezaji wa semiconductors.
Baada ya kutathmini changamoto hizo viongozi wakuu wa kampuni hizo kubwa za utengenezaji wa chips kwa pamoja wameutaka uongozi wa Biden kuondoa vikwazo kwa China.
Hatari sana. Hapa kwa maneno mengine sera ya Biden ya kutoiuzia China chips imekosolewa na watengenezaji chips wa Marekani, wametumia lugha ya kidiplomasia kupunguza makali kulinda heshima ya mzeeHii ndio ile inaitwa mwaga mboga namwaga ugali AU unapigana na mtu unamkaba koo yeye anakamata huku kwa chini katikati ya miguu...
Walikurupuka.Insikitisha kuona serikali inaweka sera au sheria za kibiashara ambazo zinaumiza wazalishaji wa ndani. Sijui kama Pro-NATO wanatambua hilo
Humo USA hakuna wataalam wa kuliona Hilo mapema?Insikitisha kuona serikali inaweka sera au sheria za kibiashara ambazo zinaumiza wazalishaji wa ndani. Sijui kama Pro-NATO wanatambua hilo
watu wa mistarimistari au wapi maana wale wale viumbe wako wa kila aina Yani dogii ina nafuu wale hawaeleweki eleweki🤣🤣Habari mbaya sana hii kwa watanzania fulani!
Daah!! Kumbe China inahitajika Sana na marekani sikujua hili, wote wanahitajiana sasa sijui marekani wataidhibiti vipi China kiuchumiNIlikuwa nawaambia watu humu kuwa wafanyabiashara wa Marekani hawapendezwi na sera za nchi yao za kibishara dhidi ya China ukizingatiaChina ni soko kubwa sana duniani
Viongozi wakubwa wa US wanapopishana Beijing ujue sio bure!Wamekalia kuti kavu!Daah!! Kumbe China inahitajika Sana na marekani sikujua hili, wote wanahitajiana sasa sijui marekani wataidhibiti vipi China kiuchumi
Ni hofu ya kupitwa kiuchumi ndiyo iliyowafanya kuanza kuiwekea vikwazo China, kumbe ni tayari walishachelewaWin win situation ilitawala sana wakati wa hao maraisi
Trump na Biden ndio wamekuja kuharibu
Na baada ya miaka 5 .China atakitosheleza kwa chip. Hizo za marekenai watakaangia mayai chipsChangamoto wanazokumbana nazo ni kubwa kwa sababu haya tuseme mzigo mnao kwenye stock unadoda kwa sababu soko lenu kubwa limepigwa pin. Mtalipaje gharama za operating cost
Ok haya wakisema wafanye uzalishaji wamepigwa pin na China kupata madini muhimu
Ndio maana mwisho wa siku hao viongozi wanabaki kusema hawaelewi hatma yao
Wataalam hawakufanya research kabla ya kuweka katazo hilo? Nashangaa mbona!
Watatambuaje wakati akali zao zilishatoka na marinda?Insikitisha kuona serikali inaweka sera au sheria za kibiashara ambazo zinaumiza wazalishaji wa ndani. Sijui kama Pro-NATO wanatambua hilo
Yeah inaonekana hivyoNi hofu ya kupitwa kiuchumi ndiyo iliyowafanya kuanza kuiwekea vikwazo China, kumbe ni tayari walishachelewa