Makampuni ya Marekani ya kutengeneza semiconductors waitaka serikali ya Marekani kuiondolea vikwazo China

Hii ndio ile inaitwa mwaga mboga namwaga ugali AU unapigana na mtu unamkaba koo yeye anakamata huku kwa chini katikati ya miguu...
 
Hii ndio ile inaitwa mwaga mboga namwaga ugali AU unapigana na mtu unamkaba koo yeye anakamata huku kwa chini katikati ya miguu...
Hatari sana. Hapa kwa maneno mengine sera ya Biden ya kutoiuzia China chips imekosolewa na watengenezaji chips wa Marekani, wametumia lugha ya kidiplomasia kupunguza makali kulinda heshima ya mzee
 
Insikitisha kuona serikali inaweka sera au sheria za kibiashara ambazo zinaumiza wazalishaji wa ndani. Sijui kama Pro-NATO wanatambua hilo
Humo USA hakuna wataalam wa kuliona Hilo mapema?

Haya mambo hata na Urusi wamefanya hivi hivi kuhusu nishati na nafaka,,Leo wanalia
 
Naona wakubwa wanabanwa MBUPU mchina kamkazia Blaza USA huku Urusi akiwamwagia uji wa motomoto Ulaya hakika ni fahari kuyashuhudia haya ktk kizazi hiki na msije mkadhani pro USA hawajaiona hii thread.
 
NIlikuwa nawaambia watu humu kuwa wafanyabiashara wa Marekani hawapendezwi na sera za nchi yao za kibishara dhidi ya China ukizingatiaChina ni soko kubwa sana duniani
Daah!! Kumbe China inahitajika Sana na marekani sikujua hili, wote wanahitajiana sasa sijui marekani wataidhibiti vipi China kiuchumi
 
Wataalam hawakufanya research kabla ya kuweka katazo hilo? Nashangaa mbona!
 
Na baada ya miaka 5 .China atakitosheleza kwa chip. Hizo za marekenai watakaangia mayai chips

[emoji630]
 
Yule mpiga punyeto wa kimataifa atasema hizi ni propaganda za Urusi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…