Makampuni ya Marekani ya kutengeneza semiconductors waitaka serikali ya Marekani kuiondolea vikwazo China

Makampuni ya Marekani ya kutengeneza semiconductors waitaka serikali ya Marekani kuiondolea vikwazo China

Unaongea kumtoa Marekani halafu umuweke Mchina

Then hapo ndio ume-solve nini?

Wote ni maharamia,yupi mwenye afadhali?Obviously ni USA sababu ya political idealogy yao inafanana na yetu ya democracy!

Authotritanism ni alien kwetu,Magufuli tested it for 5 years kila mwananchi alitaka kuhama nchi!

Thats what I meant in my "looooong post"....!

Hujaelewa bado!

Kiongozi wa africa akikataa matakwa ya us anapewa vikwazo au kufanyiwa figisu nchi ichafuke
Muda mwingine mpka wanaua viongozi wanaowapinga (gadafi)
Niambie mchina mambo ayo anafanya??
 
Unaongea kumtoa Marekani halafu umuweke Mchina

Then hapo ndio ume-solve nini?

Wote ni maharamia,yupi mwenye afadhali?Obviously ni USA sababu ya political idealogy yao inafanana na yetu ya democracy!

Authotritanism ni alien kwetu,Magufuli tested it for 5 years kila mwananchi alitaka kuhama nchi!

Thats what I meant in my "looooong post"....!

Hujaelewa bado!
China hana hata mpango wa kuingilia hiyo Democracy yako wala hataki mataifa mengine yafuate mfumo wake wa utawala

Yeye anachotaka ni muwe trade partners hana kuliwekea taifa lingine masharti.

Huyo ambaye mna democracy pamoja ndiye huingilia internal affairs za mataifa mengine

Sijui nani ana afadhali?
 
Sababu ni national security!

China akipata hizo advanced chips atajenga weapons zenye capability sawa na USA,which is a threat to USA!

Wewe ulitaka nini hasa?
Zamani kabla ya Biden maraisi wa Marekani waliopita hawakujua hili kuwa China inaweza kuzitumia kutegenezea advanced weapons?
 
Zamani kabla ya Biden maraisi wa Marekani waliopita hawakujua hili kuwa China inaweza kuzitumia kutegenezea advanced weapons?
Nonameter 15 sijui n7 zinasaidia nini?

Ulishasoma Physics kweli?

Nanometer 3 kwenda chini ndio kuna shida ,hapo US ndio anaingia ku make sure no one is heading him out!
 
Kiongozi wa africa akikataa matakwa ya us anapewa vikwazo au kufanyiwa figisu nchi ichafuke
Muda mwingine mpka wanaua viongozi wanaowapinga (gadafi)
Niambie mchina mambo ayo anafanya??
Strong countries ni lazima kunyonya weaker countries

Tatizo ni nyie kudhani China ni malaika

They are the same and copy of the other,hakuna mwenye afadhali,ni slave masters wale wale

Binafsi nakubaliana na USA kuua madikteta yote,hayana maana mbwa hao....

Hakuna rais sahihi anaesimamia nchi yake kidemokrasia akaletewa tatizo na yeyote,madikteta na mashenzi of the same ndio yauawe yote,Magufuli inclusive!

Upo hapa unatetea madikteta kama Gadafi,fvck him!

USA na China wote wanyonyaji watupu,washenzi watupu....kukaa hapa na kuanza kusema ni bora utawaliwe na CHina ni yale yale unaleta hujatoa solution
 
Si kweli

Wakiwa namba moja,hakuna taifa litazungumza kitu,wata brutalize anything on their face!

In China and chinese will be executed on broad day light serikali ikikasirika,just imagine wewe maandazi mtu wa huku mavumbuni watakufanyaje?

I dont trust their political system!

I trust democracy hii hii tunayopambana nayo kila siku pamoja na mapungufu yake!
Nchi za Magharibi zimejificha kwenye kivuli cha demokrasia lakini ndio mataifa ya ovyo sana

Miongo kadhaa iliyopita zikiongozwa na Marekani walizivamia kijeshi Afghanstan, Iraq na Libya lakini leo jiulize hizo nchi wamezoacha katika hali gani?

Ndio kwanza wamesababisha machafuko zaidi. Silaha zimetapakaa uhalifu umeongezeka na vikundi vya waasi vimeanzishwa na mauaji
 
Unaongea kumtoa Marekani halafu umuweke Mchina

Then hapo ndio ume-solve nini?

Wote ni maharamia,yupi mwenye afadhali?Obviously ni USA sababu ya political idealogy yao inafanana na yetu ya democracy!

Authotritanism ni alien kwetu,Magufuli tested it for 5 years kila mwananchi alitaka kuhama nchi!

Thats what I meant in my "looooong post"....!

Hujaelewa bado!
Mwanamchi gani alitamani kuhama nchi mnapenda kunakshi uongo wenu mkikaa kwenye vijiwe vyenu vya kupakaa kucha
 
Mwanamchi gani alitamani kuhama nchi mnapenda kunakshi uongo wenu mkikaa kwenye vijiwe vyenu vya kupakaa kucha
Acha unafiki basi

Tuanze kuwataja waliokimbia nchi sababu ya authoritarianism ya Magufuli?

Tuanze kutaja?

1.Yusufu Manji
2.Hans Pope
3.Tundu Lissu
4.Godbless Lema
5.Lazaro Nyalandu
6.Wenje
7.Erick Kabendera
8.Ansbert Gurumo
9.Mimi Mwenyewe
10.Tusiowajua
11.Tusiowajua
12.Tusiowajua
13.Tusiowajua
14.etc
15.etc
etc

Acha uqumer
 
Nchi za Magharibi zimejificha kwenye kivuli cha demokrasia lakini ndio mataifa ya ovyo sana

Miongo kadhaa iliyopita zikiongozwa na Marekani walizivamia kijeshi Afghanstan, Iraq na Libya lakini leo jiulize hizo nchi wamezoacha katika hali gani?

Ndio kwanza wamesababisha machafuko zaidi. Silaha zimetapakaa uhalifu umeongezeka na vikundi vya waasi vimeanzishwa na mauaji
Vita wanafanya wote tu

Yote ni makosa na haitakiwi

China inapigana na India kila siku mpakani,wanadai kipande cha India ni chao

Urusi imevamis Crimea,hakikutosha kavamia Ukraine mazima

North Korea ndio anatishia kupiga bomu dunia nzima

Mataifa makubwa yote ni war mongers and yanafanyia mataifa madogo dhambi ili kujinufaisha wao

Reagrdless,hatuko hapa kujustify sin kwa more sin..zote ni sin whether ni West au East

Cha ajabu wewe unaona kama East ndio malaika unaona ni heri East wakutawale...of which kutawaliwa ni kutawaliwa tu regardless

Vita wanafanya wote
 
SI KWELI

Hata hayo mataifa yalishapinga hizo habari China haijawahi kufanya mambo kama hayo kwa mataifa mengine

Sri Lanka bado ni sovereign state haiko chini ya China

Kwa nini unapenda kutumia matusi mkuu?
Kuna taifa gani soverignity yake ipo chini ya Marekani?

Kuna taifa gani "linatawaliwa" na Marekani?

Sri Lanka ni taifa huru,ila China can Influence somethings in Sri Lanka sababu ya deni wanalowadai,ndio maana ile bandari ni kama ardhi ya China na Sri Lanka cant say anything

Nadhani huelewi unachomaanisha

Hakuna taifa "linatawala" taifa jingine dunia ya leo

Unachosemea ni taifa moja kufanya meddling ya internal affairs ya taifa jingine kwa maslahi yake,mataifa yote makubwa yanafanya hizi "meddling" ili kulinda maslahi yao kwenye mataifa hayo

China anafanya,USA anafanya,na wengine wanafanya

Nashindwa kukuelewa upo hapa unachagua malaika na mashetani wakati wote ni mashetani regardless
 
I dont trust their political system!

I trust democracy hii hii tunayopambana nayo kila siku pamoja na mapungufu yake!

Political System zote zina shida boss no matter upo upande gan bt kuingilia internal affairs za nchi za wenzako ni far worse
 
Political System zote zina shida boss no matter upo upande gan bt kuingilia internal affairs za nchi za wenzako ni far worse
Political system zote zina shida ila DEMOCRACY ni far more superior than the rest!

Hii ni proven

Sasa basi katika issue ya meddling ya internal affairs hiyo ni fair game

Kila taifa makubwa kwa madogo yanfanya hii meddling ya internal affairs/espionage!

Russia ilifanya meddling ya US elections

Israel ilifanya espionage na Iran

China inafanya espionage,meddling na even war threats kwa Taiwan

Tanzania ilifanya kwa Uganda

Rwanda imefanya kwa Tanzania na Uganda na Congo,etc

Hakuna taifa lipo immune na internal meddling/espionage

Sema wanazidiana kwenye meddling,kuna wanafanya kwa ukubwa zaidi ya wengine tokana na capabilities

Kwa macho yako unaona USA zaidi,China,Israel,Rwanda,Tanzania,Iran,Russia,etc zipo,tofauti ni intensity na ukubwa

Meddling ni fair game tu...maana duniani ni survival of the fittest,ni lazima utaingiliwa tu na mtu kutaka kuchukua chakula chako,thats the FACT of life!
 
I dont trust their political system!

Tajir... China na Marekani zina utofauti kweny mambo mengi sana, Kuanzia social norms, administrative policies, Economic reforms na vastest difference katika political ideology zao... Tunajua mmoja ni Democratic na yet ni Capitalist na huyo mwengine ni Communist, Hapo political ideology zote zina mazuri yake and vice versa.

Tukija kwenye ni ipi Political ideology nzuri kwanza kabisa tutaangalia Je System hiyo inafanya kazi vizuri kwa wananchi na utawala kwa ujumla kwa kuleta matokeo chanya? Hapa ni lazima uangalie na nature ya watu wa eneo husika ... Kila Political ideology ina Loopholes
 
Tajir... China na Marekani zina utofauti kweny mambo mengi sana, Kuanzia social norms, administrative policies, Economic reforms na vastest difference katika political ideology zao... Tunajua mmoja ni Democratic na yet ni Capitalist na huyo mwengine ni Communist, Hapo political ideology zote zina mazuri yake and vice versa.

Tukija kwenye ni ipi Political ideology nzuri kwanza kabisa tutaangalia Je System hiyo inafanya kazi vizuri kwa wananchi na utawala kwa ujumla kwa kuleta matokeo chanya? Hapa ni lazima uangalie na nature ya watu wa eneo husika ... Kila Political ideology ina Loopholes
Unaongea sahihi

Ila nabishana na wewe

Wanadamu wote ni sawa,suffering and confort to human beings are felt the same

Hii tabia ya kusema "jamii fulani ni tofauti" hivyo system yake ni sawa wawe wanafanywa hivyo ni excuse communists use to brutalize their citizenry!

Ukweli ni kwamba political system bora ni ile inayoleta maximum possible human comfort to people,and this is with no question so far ni DEMOCRACY!

Kama tunaamini maumivu na furaha wanadamu wanafeel the same at the same intensity maana wote tuna mioyo na nyama,then usije nieleza ujinga wa eti Mchina ana feelings za kibinadamu tofauti na mtu wa America au Africa or elsewhere hivyo ana haki ya kua brutalized na CCP maana ni "culture" yao,thats madness!
 
Political System zote zina shida boss no matter upo upande gan bt kuingilia internal affairs za nchi za wenzako ni far worse
Political system zote ni hovyo ila tunaangalia yenye afadhali...na yenye afadhali by far ni DEMOCRACY!

This is a FACT,just google up,na ulisoma shule vizuri!

Kuingilia nchi zingine,I mean "meddling" ni mambo ya kawaida nchi zote zinaingiliana na kufanyiana espionage kwenye mambo mbali mbali

Hiyo ni fair game

Sijaelewa kwenye kuingilia nchi ingine kuna nchi gani dunia hii haifanya "espionage"....taja hiyo nchi tuone!

Labda nchi isiyo na ubalozi nchi yeyote,nchi isiyo na usalama wa taifa popote,nchi isiyo na jesho lolote...labda ndio haifanyi espionage

Labda uniambie North Korea,ila nao washafanya espionage sana South Korea na kuua ndugu wa Kim aliekimbilia huko baada ya kukorofishana nae!

Ni fair game tu,hakuna cha afadhali,nchi zote ni as guilty as charged!
 
Political system zote ni hovyo ila tunaangalia yenye afadhali...na yenye afadhali by far ni DEMOCRACY!

This is a FACT,just google up,na ulisoma shule vizuri!

Kuingilia nchi zingine,I mean "meddling" ni mambo ya kawaida nchi zote zinaingiliana na kufanyiana espionage kwenye mambo mbali mbali

Hiyo ni fair game

Sijaelewa kwenye kuingilia nchi ingine kuna nchi gani dunia hii haifanya "espionage"....taja hiyo nchi tuone!

Labda nchi isiyo na ubalozi nchi yeyote,nchi isiyo na usalama wa taifa popote,nchi isiyo na jesho lolote...labda ndio haifanyi espionage

Labda uniambie North Korea,ila nao washafanya espionage sana South Korea na kuua ndugu wa Kim aliekimbilia huko baada ya kukorofishana nae!

Ni fair game tu,hakuna cha afadhali,nchi zote ni as guilty as charged!
Boss tukingumzia Democracy kwa uelewa wako imebeba maana ipi?
 
Boss tukingumzia Democracy kwa uelewa wako imebeba maana ipi?
Mkuu

Tumefikia maswali ya kinafiki hivi,REALLY?

Tumesoma Civics na topics za Democracy Form1,Form2,Form3 na Form4...

Mtihani wa Form 4 Civis tulifanya swali la Democracy na A ukapata

Ukaenda Advance,Form5 na Form6 umesoma GS,topics za Democracy ulisoma na ukafanya Necta yake

Umeende Chuo Kikuu cha DSM,mwaka wa kwanza umesoma DS umesoma topics za Democracy semester zote mbili na soma ukafaulu

Ndugu,punguza unafiki

Eti leo watu wazima tupo humu tunaulizana nini maana ya "Democracy",acha kunitukana wazi wazi namna hii!

Please!
 
Mkuu

Tumefikia maswali ya kinafiki hivi,REALLY?

Tumesoma Civics na topics za Democracy Form1,Form2,Form3 na Form4...

Mtihani wa Form 4 Civis tulifanya swali la Democracy na A ukapata

Ukaenda Advance,Form5 na Form6 umesoma GS,topics za Democracy ulisoma na ukafanya Necta yake

Umeende Chuo Kikuu cha DSM,mwaka wa kwanza umesoma DS umesoma topics za Democracy semester zote mbili na soma ukafaulu

Ndugu,punguza unafiki

Eti leo watu wazima tupo humu tunaulizana nini maana ya "Democracy",acha kunitukana wazi wazi namna hii!

Please!
Nilieishia la pili B nalazimika kula buyu
 
Back
Top Bottom