Makampuni ya Marekani ya kutengeneza semiconductors waitaka serikali ya Marekani kuiondolea vikwazo China

Makampuni ya Marekani ya kutengeneza semiconductors waitaka serikali ya Marekani kuiondolea vikwazo China

Strong countries ni lazima kunyonya weaker countries

Tatizo ni nyie kudhani China ni malaika

They are the same and copy of the other,hakuna mwenye afadhali,ni slave masters wale wale

Binafsi nakubaliana na USA kuua madikteta yote,hayana maana mbwa hao....

Hakuna rais sahihi anaesimamia nchi yake kidemokrasia akaletewa tatizo na yeyote,madikteta na mashenzi of the same ndio yauawe yote,Magufuli inclusive!

Upo hapa unatetea madikteta kama Gadafi,fvck him!

USA na China wote wanyonyaji watupu,washenzi watupu....kukaa hapa na kuanza kusema ni bora utawaliwe na CHina ni yale yale unaleta hujatoa solution

Punguza pumba [emoji706][emoji706]
 
Strong countries ni lazima kunyonya weaker countries

Tatizo ni nyie kudhani China ni malaika

They are the same and copy of the other,hakuna mwenye afadhali,ni slave masters wale wale

Binafsi nakubaliana na USA kuua madikteta yote,hayana maana mbwa hao....

Hakuna rais sahihi anaesimamia nchi yake kidemokrasia akaletewa tatizo na yeyote,madikteta na mashenzi of the same ndio yauawe yote,Magufuli inclusive!

Upo hapa unatetea madikteta kama Gadafi,fvck him!

USA na China wote wanyonyaji watupu,washenzi watupu....kukaa hapa na kuanza kusema ni bora utawaliwe na CHina ni yale yale unaleta hujatoa solution

Nilijua una point kumbe we hamnazo..sadam c pia walisema ni dictator na silaha za nuclear anazo...baada ya kumuua na hakuna silaha waliokuta.
Mwisho wa cku bush anakuja kuomba msamaha wtf...asa nimakosa mangapi wamefanya na wako kimya hao mabwana zako
Tatizo una akili za kishoga ndio maana unawapaptikia
 
Si kweli

Hujaishia la pili B

Mtu anaeweza kufungua page JF ni most likely amesoma mpaka Chuo Kikuu

Unachokisema hapa,unadanganya!
Nashukuru kwa kunipa hadhi kubwa


Akaunt ya jf na nyinginezo nilifungua kwa usaidiz kutoka kwa aliyeniuzia sim
 
Nilijua una point kumbe we hamnazo..sadam c pia walisema ni dictator na silaha za nuclear anazo...baada ya kumuua na hakuna silaha waliokuta.
Mwisho wa cku bush anakuja kuomba msamaha wtf...asa nimakosa mangapi wamefanya na wako kimya hao mabwana zako
Tatizo una akili za kishoga ndio maana unawapaptikia
Sadam sio dictator?

Nigga are you outta your mind?

Saddam Hussein sio DICTATOR?

Like really?

Unajua definition ya dictator kweli mzee au upo hapa unaharisha tu?

Vita yeyote iwe halali au isiwe halali by morality zote ni vita na sio halali

USA alikuta weapons of mass ditruction au hakukuta,regardless ni vita na wanadamu walikufa pande zote

Hakuna sababu yeyote duniani inayojusfy vita ya aina yeyote...

USA wangekua na sababu au wasiwe nayo,napinga vita za aina yeyote kwa mwanadamu yeyote

Again,ujue wewe ndio shoga,tupo hapa tunadiscuss vitu tofauti kabisa ila wewe akili yako inawaza mavi ya matakoni

Please do not push your gay thinking on others,thats on you!
 
Naona matusi mengi ila nasikitika sijaona hoja yoyote ya msingi.

Inasikitisha sana

tukiondoa haya matusi ya jamaa hapa, jamaa ana point. Shida ni sisi huku tunashabikia haya mataifa kama simba na yanga yaani unaangalia mazuri tu kwa upande unaoshabikia na mabaya huyaoni.

hauwezi ukaichukia marekani kwa kuamini kuwa utakuwa salama kwenye mikono ya china kwa kusema itakuwa haingilii mambo ya ndani. Hizi nazo ni akili za kitumwa. Wote ni wapiga dili tu.
 
Kiongozi wa africa akikataa matakwa ya us anapewa vikwazo au kufanyiwa figisu nchi ichafuke
Muda mwingine mpka wanaua viongozi wanaowapinga (gadafi)
Niambie mchina mambo ayo anafanya??

Hivi ni nani walioanzisha vuguvugu la kumpinga gadafi pale libya?

Halafu uingiliaji wa nato ulipitishwa na UN Urusi Na china wakiwemo mle ndani. Unadhani ni kwa nini hawaku VETO yale maamuzi ili jamaa wasiingie kama ambavyo hufanya kwenye maamuzi ambayo yameegemea west?
 
Hivi ni nani walioanzisha vuguvugu la kumpinga gadafi pale libya?

Halafu uingiliaji wa nato ulipitishwa na UN Urusi Na china wakiwemo mle ndani. Unadhani ni kwa nini hawaku VETO yale maamuzi ili jamaa wasiingie kama ambavyo hufanya kwenye maamuzi ambayo yameegemea west?
Sahihi
 
17 July 2023,
Washington

View attachment 2691456


Umoja wa makampuni ya kutengeneza semiconductor (chips) nchini Marekani US-based Semiconductor Industry Association (SIA), umeitaka serikali ya Biden kuondoa vikwazo ilivyoiwekea China katika kuiuzia baadhi ya semiconductors na katazo la kutoruhusu makampuni ya Marekani kuwekeza katika uzalishaji wa chips nchini China.

Viongozi wakuu wa makampuni hayo wameutaka uongozi wa Biden kuiondolea vikwazo China kwa sababu China ndilo soko kuu la semiconductors duniani.

Viongozi wakuu wa makampuni makubwa ya Marekani ya kutengeneza chips ya Intel Inc, Qualcomm na Nvidia wamekutana leo Washington na maafisa wa biashara, uchumi na ulinzi wa serikali ya Marekani ili kuzungumzia athari wanazopata kutokana na sera ya Marekani kwa China dhidi ya kuiuzia chips.

Hizi ni sababu kuu mbili za viongozi wakuu wa makampuni hayo kutaka serikali ya Marekani kuondoa vikwazo kwa China;

(1)Kushuka kwa mauzo ya semiconductors kadiri Washington inavyozidi kuiwekea Beijing vikwazo. Hivyo wanashindwa kuelewa hatma ya biashara hiyo.

(2)China kuweka vikwazo vya kuiuzia Marekani madini ya gallium na germanium ambayo ni muhimu sana katika utengenezaji wa semiconductors
.

Baada ya kutathmini changamoto hizo viongozi wakuu wa kampuni hizo kubwa za utengenezaji wa chips kwa pamoja wameutaka uongozi wa Biden kuondoa vikwazo kwa China.


Wakapikie chips ..kiburi cha usa na baada ya miaka 5 jayo China ndo atakuwa mazalishaji wa kwanza kwenye semiconductor industry
 
Back
Top Bottom