mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
red flag mdada kudata kwa kina kapola.Dady wetu 🙈🙈
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
red flag mdada kudata kwa kina kapola.Dady wetu 🙈🙈
Inawezekana ikawa hivyo ni ngumu kuamini kama ni sadaka tuHuwa kuna mambo mengine pia. Sadaka tu haitoshi kufanya hayo yote. Wana biashara zao za siri.
Bro kanisa ni front bumper tuuDogo alikuwa kajichokea, dini imebadilisha kabisa maisha yake. Ana tembelea Gari, Mercedes Benz G Guard ya zaidi ya bilioni moja.
Sasa kaja kivingine, anahama pale Millennium Tower Phase 2 na kuhamia rasmi Mwenge alikonunua eneo kwa mabilioni ya FEDHA, pale ilipokuwa Century Cinema.
Washikaji, tutafute upako ili tutoboe
Unapata ni swaga zako tu wajinga wapo kama woteFungua na wewe uone kama utapata hata mtu na nusu
Usidanganywe. Ni fedha za kutakatisha.Pesa za waumini hizo. Halafu unakuta muumini hana hata nyumba au eneo
Ushahidi unao? Au ndo story za vijiweni?Usidanganywe. Ni fedha za kutakatisha.
Atakuja kuelewa siku moja,Muumini gani wa kutoa hizo pesa?
Endelea na hesabu mpaka ifike bilion 7.8 ni miaka mingapiKwani hizo pesa kazitoa kwa muumini mmoja?
Imagine una kanisa lenye waumini 1000 halafu kila muumini akatoa shillingi 1000 na zaidi hapo mchungaji anatoka na shillingi millioni moja na zaidi. Na ikumbukwe hiyo ni ibada moja na hapo kuna wengine watakutumia pesa kwenye simu.
Namjua mtu ambaye ni partner wa kapola, wanajiita "the osborns"Inawezekana ikawa hivyo ni ngumu kuamini kama ni sadaka tu
Na kama si sadakapekee, Kwa nn ameelekeza fedha zote hizo kwenye uwekezaji wa kanisa? ambapo kila mtu anaewekeza mahala anatarajia kuvuna zaidi ya hiyo ktk uwekezaji anaofanya! Mwenzie wa kawe hauoni yy anajenga matenti tu, anaogopa kuweka fedha nyingi kwenye jengo la kanisa.Pesa ndefu sana napata mashaka kama ni sadaka tu zimempa ukwasi wote huo.
Basi wanakusanya pesa nyingi sanaNamjua mtu ambaye ni partner wa kapola, wanajiita "the osborns"
wanatoa sadaka zao tofauti na zile za kanisani
aliniambia kuna partner aliwahi kutoa 400M kama shukrani
hapo bado kuna wafanyabiashara wakubwa wanatoa fungu la kumi
na fungu la kumi ni halali ya mchungaji 100%
Kwa wachungaji aina ya kapola, si fungu la kumi pekee lililo halali yao, ni kila mchango na matoleo ya kanisa, yule wa kawe anauza hadi karatasi za mia miaNamjua mtu ambaye ni partner wa kapola, wanajiita "the osborns"
wanatoa sadaka zao tofauti na zile za kanisani
aliniambia kuna partner aliwahi kutoa 400M kama shukrani
hapo bado kuna wafanyabiashara wakubwa wanatoa fungu la kumi
na fungu la kumi ni halali ya mchungaji 100%
Ameziweka kanisani kwa sababu ndio sehem atakapoirudisha pesa aliyoiwekeza taratibu na uzuri ni kwamba kanisa ni lake tofauti na makanisa mengi yanakuwa chini ya ushirika.Na kama si sadakapekee, Kwa nn ameelekeza fedha zote hizo kwenye uwekezaji wa kanisa? ambapo kila mtu anaewekeza mahala anatarajia kuvuna zaidi ya hiyo ktk uwekezaji anaofanya! Mwenzie wa kawe hauoni yy anajenga matenti tu, anaogopa kuweka fedha nyingi kwenye jengo la kanisa.
Kwani Kapola kaanza kuwa mchungaji mwaka huu?Endelea na hesabu mpaka ifike bilion 7.8 ni miaka mingapi
Oh yes$3,000,000 = Tsh 7.8 B